3 years Anniversary in JF

3 years Anniversary in JF

Mwanaume unatakiwa uwe na msimamo. Unachokifanya inatakiwa uwe umekifanyia upembuzi kwa kina. Kubadili ID mara kwa mara inaonekana hujiamini, hujikubali. Kuwa na msimamo bana.

Japo huo ni uamuzi wako ila ingependeza ubaki na msimamo wa ID uliyoanza nayo kama baadhi ya member kama Nyani Ngabu, Chamoto, Chakaza, Joka Kuu, jmushi, n.k waliojiunga tangu JF ianzishwe.
Na sa hivi kabadilisha tena

Vinci bwana [emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom