Ndio wapi huko mkuu?
2nd runner nitatoa 5000 kunogesha ushindiTangu nimejiunga JF 2010 mpaka leo nimepata likes 29,927(Hizi hazihusiani na lile jukwaa ambalo hata ukijamba unapata LIKE). Nawashuru wote walio-LIKE posts zangu zinazofika 30,806. Kwa kuwekea mkazo shukrani zangu naahidi Vocha ya 10,000/- kwa mtu atakaekuwa wa 30,000 ku-Like posts zangu. Usijisifu una mbio wasifu na wanaokufukuza!
2nd runner nitatoa 5000 kunogesha ushindi
Jr[emoji769]
We jamaa ni tapeli sana unasema huko majuu kumbe unakula vumbi na sisi kijiwe fikra...!Mazee hupajui Kijiwe Fikra na unaishi hapa hapa Dar??
Ukipata naomba buku 5 tu.Nitumie hiyo 10 kbs
Ukipata naomba buku 5 tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] people are posting bana.. LIKES LAKI 7,LAKI 6 LAKI 5 nk...Mshana unatisha!
Mabandiko zaidi ya elfu 95 na umejiunga 2012!
Ila kuna yule Numbisa....Rutashubanyuma asipoangalia anaweza akatimuliwa vumbi.
Umefanya ubunifu wenye tija... Tunaweza kufanya kitu kikubwa sana... Naongeza zawadi... 3rd runner atapata naye 5000/=Mitakupa support ya nguvu mpaka zifike 30,000. Ila hiyo Tsh 10,000 ikiniangukia ninaomba umpatie mtoto yatima akinywa soda yeye ni furaha yangu na yako.
Dollar ya wapi? Isije kua ya Namibia tuHiyo pesa itatumwa kwa dola
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] people are posting bana.. LIKES LAKI 7,LAKI 6 LAKI 5 nk...
Jr[emoji769]