Ahaaaaa kumbe.Terms and conditions...vigezo na masharti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii 10,000 naona kama haitakuwa nami mpaka jioni...😎😎
Shukran mkuuWakuu, mpaka sasa hivi nina Likes 30,032 na Likes 59 za mwisho zimetoka kwa Heaven Sent ni wazi yeye ndio mshindi. Ila inawezekana huyu ni robot au? Maanake amewezaje kutoa Like 59 kwenye muda mfupi?! Kabla ya kumpa zawadi yake naomba ridhaa yenu ridhaa yenu
Mshana Jr Sky Eclat Mrs Van Nokia83 Nyani Ngabu
Wooooooozer. Jamani mbona kulike ni rahisi hivyoWakuu, mpaka sasa hivi nina Likes 30,032 na Likes 59 za mwisho zimetoka kwa Heaven Sent ni wazi yeye ndio mshindi. Ila inawezekana huyu ni robot au? Maanake amewezaje kutoa Like 59 kwenye muda mfupi?! Kabla ya kumpa zawadi yake naomba ridhaa yenu ridhaa yenu
Mshana Jr Sky Eclat Mrs Van Nokia83 Nyani Ngabu
NimekujaHeaven Sent njoo uchukue zawadi yako.
Huku kwetu tukuyu nasuka rasta amazing. Hopefully ka week kangu kataendelea na offer tuEasy Monday!
Kwa muujibu wa punguzo la bei, shilingi elfu kumi unapata bia kumi.
Ukiamua kupika ubwabwa familia inasaza.
Kwa wadada angalau, visaluni vyetu vya uswahilini unaweza kuosha nywele, ukatengeneza kucha na marekebisho madogo madogo.
The week starts with a blast hahaa!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una mahesabu....Easy Monday!
Kwa muujibu wa punguzo la bei, shilingi elfu kumi unapata bia kumi.
Ukiamua kupika ubwabwa familia inasaza.
Kwa wadada angalau, visaluni vyetu vya uswahilini unaweza kuosha nywele, ukatengeneza kucha na marekebisho madogo madogo.
The week starts with a blast hahaa!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nitumie namba yako PM nikutumie asap
Hongera mamy!Huku kwetu tukuyu nasuka rasta amazing. Hopefully ka week kangu kataendelea na offer tu
Mji mgumu huu kaka, bila mahesabu hapakaliki!Mkuu una mahesabu....