31 Agosti, 2024 kufanyika Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM. Dr Nchimbi, Mnyika, Shaibu na wengine Watashiriki

za ndaaaaaniiiiii nasikia katibu wa kijani anataka kulala mbeleee asitokeeee
 
Nchimbi Tanzania one msingi,O.level, A level na best student university

Mnyika lazima aimbe hakeluya
Hakuna TO wa hivyo nchi hii, humu ndani kuna wasomi kibao. Sijawah kusikia hiyo kitu japokuwa nchimbi kanipita madarasa matano
 
Kabisa tupo tayar kulipia matangazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…