Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binafsi sio mtu wa kukubali kitu kwakuwa kila mtu anakubali: lakinihao M23 unaowasema nchi nyingi zz Afrika pengine unazodhani zinauweza zilichemka, na rekodi yetu pale tunapokwenda tunafanikisha. Tunabebwa na rekodi.Ambayo nchi za afrika zimechemkajwtz kwa kutoa doze kwa wakorofi kama m23 hakika ni hodari!