Sheria hiyo inatungwaKwani hakuna utaratibu wa kusaini kusaidia wenye shida na viungo pindi unapofariki wanatoa wanachohitaji?
Kwa kweli unakuta mtu anauza kwa mfano halafu baada ya miaka miwili anaishiwa hela
Anachanganyikiwa anaenda tena kuuliza kama wananunua na Kende auze
Huyo ni mjinga.Kwani hakuna utaratibu wa kusaini kusaidia wenye shida na viungo pindi unapofariki wanatoa wanachohitaji?
Kwa kweli unakuta mtu anauza kwa mfano halafu baada ya miaka miwili anaishiwa hela
Anachanganyikiwa anaenda tena kuuliza kama wananunua na Kende auze
Hii inawezekana ikawa ni fursa ya kibiashara.Hospitali ya Taifa Muhimbili imetoa ripoti ya takwimu zinazoonesha kupokea maombi ya wananchi 36 walioomba utaratibu wa kuuza figo zao ili kukabiliana na ugumu wa maisha.
Takwimu hiyo imetolewa jana wakati wa maadhimisho ya siku ya kukabiliana na ugonjwa wa Figo duniani.
Awali, Ofisa Ustawi wa Jamii kutoka kitengo cha figo Muhimbili, Halid Mahenga alinukuliwa hivi karibuni akisema kuwa kati ya Januari hadi Februari, watu sita walikwenda hospitalini hapo wakiulizia utaratibu wa kuuza figo zao.
Aidha, Mahenga katika taarifa yake kwa umma, alisema kati ya mwaka 2019 na 2020 idara yake ilipokea maombi ya watu watatu waliohitaji kupewa utaratibu wa kuuza figo zao, huku mwaka 2021 wakipokea watu wengine 27 ambao baadhi yao wamedai chanzo kuwa ni ugumu wa maisha.
Hata hivyo, ameeleza kuwa wakati serikali ikiendelea kufanyia kazi maandalizi ya sheria ya upandikizaji wa viungo, hospitali hiyo kwa sasa inaendelea kuzingatia misingi yote ya maadili kitaaluma katika upandikizaji wa figo.
“Ni muhimu watu wakatambua kwamba ni makosa kisheria, mgonjwa akihitaji upandikizaji hospitali itazingatia kanuni zinazohitajika kwa mtu anayetakiwa kuchangia figo kwa mgonjwa mwenye uhusiano wa damu” Alisema Mahenga
Hospitali ya Muhimbili tayari imepandikiza figo kwa wagonjwa 68 tangu kuanza kwa huduma hiyo nchini mwaka 2017, huku wagonjwa 110 hadi 120 wakipewa huduma ya usafishaji figo kila siku hospitalini hapo
View attachment 2146838
Chanzo. https://www.tanzaniaweb.com/TanzaniaHomePage/health/Muhimbili-Watu-36-walijitokeza-kutoa-figo-601085
Usifikirie figo inanunuliwa kama nyanya sokonihapo serikali isipokuwa makini, mauaji ya watu ovyo yatashamiri kisa dili la figo, kama yalivoshamiri kwa maalbino kisa dili.
Umeamua kusifia kwenye hakunaKatika moja ya vitu alivyofanya Jakaya ni kuandaa mazingira,misingi na kuboresha upatikanaji wa huduma za afya na matibabu ambazo tulikuwa zinapatika nchi za Asia na Ulaya hapo Hospitali ya Muhimbili. Tutakukumbuka Sana Mzee wetu.
Ungeuza na moyo kabisa mkuu.Mimi siyo figo moja tu, niko tayari kuziuza zote 2 nilizonazo. Haya maisha yanazingua sana.
Kama nitakosa connection ya kwenda Ukraine ndani ya wiki ijayo, kituo kitakachofuata ni hapo Muhimbili.
Ongezea na hospital ya kisasa kabisa ya magonjwa ya MOYO (JKHI)Katika moja ya vitu alivyofanya Jakaya ni kuandaa mazingira,misingi na kuboresha upatikanaji wa huduma za afya na matibabu ambazo tulikuwa zinapatika nchi za Asia na Ulaya hapo Hospitali ya Muhimbili. Tutakukumbuka Sana Mzee wetu.
Huyo ni mjinga.
Ulitaka nimsifie nani? Mbowe au marehemu? Kusifia ni sehemu ya motisha kwa waliopo madarakani lakini pia ni faraja kwa waliostaafu. Wangapi wamepita hawakufanya?Umeamua kusifia kwenye hakuna
Sasa huo si ndio wajibu wa serikali? Hapo ni sawa na kumsifia ng'ombe kula majani
Ndugu yangu haya maisha yamekuwa magumu mno hadi tumekuwa kama macartoon fulani hivi. So desperate kabisa!Ungeuza na moyo kabisa mkuu.
Ili upige mshindo wa nguvu,
Utanuwe maisha.
Ni kwl mkuu ,Ndugu yangu haya maisha yamekuwa magumu mno hadi tumekuwa kama macartoon fulani hivi. So desperate kabisa!
Unataka tu-undergo extinction? Yale makitu acha yabaki ila figo tunaziuza fastaaaa!Uzeni haswa hizo sehemu za siri zinazowasumbua na hazina madhara kama kuuza figo
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Tumechagua kujiajiri kwa kuuza viungo vyetu. Kule kwenye Government, NGOs na agencies nyinginezo hatupi ajira. Mitaji ya kujiajiri hatuna. Watoto wao ambao wana access ya mitaji (eg. the Mwinyi family) wala hawajiajiri zaidi ya kupata ulaji mnono kule Zenji na Bara.TUTAIPATA MITAJI KWA KUUZA FIGO.Ni kwl mkuu ,
Lakini sio ya kuuza kiungo chako cha mwili..