36 wajitokeza kuuza figo Hospitali ya Taifa Muhimbili

Huyo ni mjinga.
 
Hii inawezekana ikawa ni fursa ya kibiashara.
 
Haya mambo unaweza kudhani ni utani ila kama watu wanafikia hali hiyo ni hatari sana. Wanaweza wakaibuka watu wakatumia fursa hiyo wakawa wanazinunua illegally na yakawa majanga. Mmemsikia binti wa Uganda aliyeenda Uarabuni kufanya kazi za ndani karudishwa hana figo na haongei wala kutembea.
 
Katika moja ya vitu alivyofanya Jakaya ni kuandaa mazingira,misingi na kuboresha upatikanaji wa huduma za afya na matibabu ambazo tulikuwa zinapatika nchi za Asia na Ulaya hapo Hospitali ya Muhimbili. Tutakukumbuka Sana Mzee wetu.
Umeamua kusifia kwenye hakuna
Sasa huo si ndio wajibu wa serikali? Hapo ni sawa na kumsifia ng'ombe kula majani
 
Tumefikia huku aisee..shida hizi mhh
 
Mimi siyo figo moja tu, niko tayari kuziuza zote 2 nilizonazo. Haya maisha yanazingua sana.

Kama nitakosa connection ya kwenda Ukraine ndani ya wiki ijayo, kituo kitakachofuata ni hapo Muhimbili.
Ungeuza na moyo kabisa mkuu.

Ili upige mshindo wa nguvu,

Utanuwe maisha.
 
Katika moja ya vitu alivyofanya Jakaya ni kuandaa mazingira,misingi na kuboresha upatikanaji wa huduma za afya na matibabu ambazo tulikuwa zinapatika nchi za Asia na Ulaya hapo Hospitali ya Muhimbili. Tutakukumbuka Sana Mzee wetu.
Ongezea na hospital ya kisasa kabisa ya magonjwa ya MOYO (JKHI)
 
Umeamua kusifia kwenye hakuna
Sasa huo si ndio wajibu wa serikali? Hapo ni sawa na kumsifia ng'ombe kula majani
Ulitaka nimsifie nani? Mbowe au marehemu? Kusifia ni sehemu ya motisha kwa waliopo madarakani lakini pia ni faraja kwa waliostaafu. Wangapi wamepita hawakufanya?
 
Aiseee wakinunua wasimsahau prof jay
 
Ni kwl mkuu ,

Lakini sio ya kuuza kiungo chako cha mwili..
Tumechagua kujiajiri kwa kuuza viungo vyetu. Kule kwenye Government, NGOs na agencies nyinginezo hatupi ajira. Mitaji ya kujiajiri hatuna. Watoto wao ambao wana access ya mitaji (eg. the Mwinyi family) wala hawajiajiri zaidi ya kupata ulaji mnono kule Zenji na Bara.TUTAIPATA MITAJI KWA KUUZA FIGO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…