36 wajitokeza kuuza figo Hospitali ya Taifa Muhimbili

36 wajitokeza kuuza figo Hospitali ya Taifa Muhimbili

Kikwete alijenga hadi university Teaching hospital mloganzila. Wakaja watu wa ajabu wakaishusha hazi hospitali ya mloganzila nakuwa ordinary hospital.
 
Kwanza viungo ambavyo viko pair tulipewa ziada sasa mfano mtu una pumbu mbili zote za nini kwani moja haiwezi zalisha mbegu ? Sana sana nikifikisha miaka 60 naastafu mbususu kama vile waajiriwa nanavyostaafu kazi nauza kende zote

Eti figo mbili ,mapafu mawili ,macho mawili serikali isikilize tu vilio vyetu jobless,na graduate wakubali utaratibu tufanye yetu tuuze tupate mitaji hapo maisha yanakuwa safi
 
Figo bila kuendana vinasaba ni bure tu,lazima ifeli mana ndio mana tunaona ndgu wa familia ndio wanatakiwa kutoa sio mtu baki
 
Kwanza viungo ambavyo viko pair tulipewa ziada sasa mfano mtu una pumbu mbili zote za nini kwani moja haiwezi zalisha mbegu ? Sana sana nikifikisha miaka 60 naastafu mbususu kama vile waajiriwa nanavyostaafu kazi nauza kende zote

Eti figo mbili ,mapafu mawili ,macho mawili serikali isikilize tu vilio vyetu jobless,na graduate wakubali utaratibu tufanye yetu tuuze tupate mitaji hapo maisha yanakuwa safi
😀😀👏 Mungu ni fundi sana aiseee. Alitupa viungo viwili viwili ili kimoja kitumike na kingine kiwe spare (kama spare tyre vile). Kuuza kimoja ni sawa kabisa.
 
This Life no balance

Sheria inataka figo itolewe na ndugu tu, na sio mtu baki... wakimaanisha iwe Bureeeeeee

Wakati nchi za wenetu Figo ni ghali sana
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili imetoa ripoti ya takwimu zinazoonesha kupokea maombi ya wananchi 36 walioomba utaratibu wa kuuza figo zao ili kukabiliana na ugumu wa maisha.

Takwimu hiyo imetolewa jana wakati wa maadhimisho ya siku ya kukabiliana na ugonjwa wa Figo duniani.

Awali, Ofisa Ustawi wa Jamii kutoka kitengo cha figo Muhimbili, Halid Mahenga alinukuliwa hivi karibuni akisema kuwa kati ya Januari hadi Februari, watu sita walikwenda hospitalini hapo wakiulizia utaratibu wa kuuza figo zao.

Aidha, Mahenga katika taarifa yake kwa umma, alisema kati ya mwaka 2019 na 2020 idara yake ilipokea maombi ya watu watatu waliohitaji kupewa utaratibu wa kuuza figo zao, huku mwaka 2021 wakipokea watu wengine 27 ambao baadhi yao wamedai chanzo kuwa ni ugumu wa maisha.

Hata hivyo, ameeleza kuwa wakati serikali ikiendelea kufanyia kazi maandalizi ya sheria ya upandikizaji wa viungo, hospitali hiyo kwa sasa inaendelea kuzingatia misingi yote ya maadili kitaaluma katika upandikizaji wa figo.

“Ni muhimu watu wakatambua kwamba ni makosa kisheria, mgonjwa akihitaji upandikizaji hospitali itazingatia kanuni zinazohitajika kwa mtu anayetakiwa kuchangia figo kwa mgonjwa mwenye uhusiano wa damu” Alisema Mahenga

Hospitali ya Muhimbili tayari imepandikiza figo kwa wagonjwa 68 tangu kuanza kwa huduma hiyo nchini mwaka 2017, huku wagonjwa 110 hadi 120 wakipewa huduma ya usafishaji figo kila siku hospitalini hapo

Chanzo: TanzaniaWeb
Bei gani? Hawataki na viungo vingine?
 
Back
Top Bottom