Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo serikali isipokuwa makini, mauaji ya watu ovyo yatashamiri kisa dili la figo, kama yalivoshamiri kwa maalbino kisa dili.
Umenifanya nicheke kwa sauti ayse,Mimi siyo figo moja tu, niko tayari kuziuza zote 2 nilizonazo. Haya maisha yanazingua sana.
Kama nitakosa connection ya kwenda Ukraine ndani ya wiki ijayo, kituo kitakachofuata ni hapo Muhimbili.
😀😀👊 Unajua mkuu hili life kuna wakati linatufanya tuwe kama vikatuni.Umenifanya nicheke kwa sauti ayse,
😂🤣😂😀😀👊 Unajua mkuu hili life kuna wakati linatufanya tuwe kama vikatuni.
😀😀👏 Mungu ni fundi sana aiseee. Alitupa viungo viwili viwili ili kimoja kitumike na kingine kiwe spare (kama spare tyre vile). Kuuza kimoja ni sawa kabisa.Kwanza viungo ambavyo viko pair tulipewa ziada sasa mfano mtu una pumbu mbili zote za nini kwani moja haiwezi zalisha mbegu ? Sana sana nikifikisha miaka 60 naastafu mbususu kama vile waajiriwa nanavyostaafu kazi nauza kende zote
Eti figo mbili ,mapafu mawili ,macho mawili serikali isikilize tu vilio vyetu jobless,na graduate wakubali utaratibu tufanye yetu tuuze tupate mitaji hapo maisha yanakuwa safi
😂😂😂Ngoja kidogo sheria ipitishwe... Na watangaze bei elekezi.
Utasikia tz imeongoza kuuza figo ktk soko la dunia..
Ni kweli kabisa[emoji3][emoji3][emoji122] Mungu ni fundi sana aiseee. Alitupa viungo viwili viwili ili kimoja kitumike na kingine kiwe spare (kama spare tyre vile). Kuuza kimoja ni sawa kabisa.
umenena ukweli mtupu, hapa ndiyo hofu yangu ilipohapo serikali isipokuwa makini, mauaji ya watu ovyo yatashamiri kisa dili la figo, kama yalivoshamiri kwa maalbino kisa dili.
Usiwe na hofu mkuu figo ainunuliwi kama nyanya sokoni.umenena ukweli mtupu, hapa ndiyo hofu yangu ilipo
Usiwe na hofu mkuu figo ainunuliwi kama nyanya sokoni.
Kusaidia tu cyokuiuza inabidi utoe bure kwani wew c ulipewa bure
Bei gani? Hawataki na viungo vingine?Hospitali ya Taifa Muhimbili imetoa ripoti ya takwimu zinazoonesha kupokea maombi ya wananchi 36 walioomba utaratibu wa kuuza figo zao ili kukabiliana na ugumu wa maisha.
Takwimu hiyo imetolewa jana wakati wa maadhimisho ya siku ya kukabiliana na ugonjwa wa Figo duniani.
Awali, Ofisa Ustawi wa Jamii kutoka kitengo cha figo Muhimbili, Halid Mahenga alinukuliwa hivi karibuni akisema kuwa kati ya Januari hadi Februari, watu sita walikwenda hospitalini hapo wakiulizia utaratibu wa kuuza figo zao.
Aidha, Mahenga katika taarifa yake kwa umma, alisema kati ya mwaka 2019 na 2020 idara yake ilipokea maombi ya watu watatu waliohitaji kupewa utaratibu wa kuuza figo zao, huku mwaka 2021 wakipokea watu wengine 27 ambao baadhi yao wamedai chanzo kuwa ni ugumu wa maisha.
Hata hivyo, ameeleza kuwa wakati serikali ikiendelea kufanyia kazi maandalizi ya sheria ya upandikizaji wa viungo, hospitali hiyo kwa sasa inaendelea kuzingatia misingi yote ya maadili kitaaluma katika upandikizaji wa figo.
“Ni muhimu watu wakatambua kwamba ni makosa kisheria, mgonjwa akihitaji upandikizaji hospitali itazingatia kanuni zinazohitajika kwa mtu anayetakiwa kuchangia figo kwa mgonjwa mwenye uhusiano wa damu” Alisema Mahenga
Hospitali ya Muhimbili tayari imepandikiza figo kwa wagonjwa 68 tangu kuanza kwa huduma hiyo nchini mwaka 2017, huku wagonjwa 110 hadi 120 wakipewa huduma ya usafishaji figo kila siku hospitalini hapo
Chanzo: TanzaniaWeb
Waswahili tunajuanaHii deal imekaa poa, ajuaye bei naomba anijuze