Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiingereza siyo uongozi, wachina, warusi, wajapani hawaongei kiingereza lakini wapo vizuriHao ndo wasomi wetu ambao badae serikali inawapa uongozi, mfano hii jamaa unapewa uwaziri wa ujenzi, baada ya miaka kadhaa anapewa urais wa kusukumizwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata hivyo hizi huwa ni tabia ya wanawake, wanaume huwa tunahakikisha mwenzetu anapata mwanamke, hatubaniani. Ujanani Tuliazimana mpaka locations za kumaliza game.Kabisa mkuu,wanaume tunaharibiqna.Si Amini katika mitandao lakini wadada ninavyo wajua wakishaona Jinsi mshikaji alivuo kosolewa anapoteza mvuta sqna.
Samahani kwanza nadhani ulikusudia jina lako kuwa 'Endocrinologist' labda?I'm a man with 38yrs ,an Engineer by professional with Bachelor degree.A Christian ,174cm tall,67kg ,black and white.
Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania,from any domination ,with any education level.
Haha nilishamuelewa Mr. Engineer. Yaani hata ye aelewi rangi yake haha.I'm certain you know what he meant.
Nisaidie kuelewa "Black and White" nijitose[emoji6][emoji854][emoji846]
Sorry it is typing error ,corrected
Yet you are still wrong.Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania,from any domination ,with any education level.
Ahsante ila mm nshampataWacheki hawa warembo financial services na Kelsea
Eeh kumbe ndio maana...nkw it makes senseAhsante ila mm nshampata
Oh...so sweet, hope to see you soon.[emoji6][emoji854][emoji2096][emoji2096][emoji2096]Haha nilishamuelewa Mr. Engineer. Yaani hata ye aelewi rangi yake haha.
I missed you so much....
Tena kamkomalia balaaMkuu unahakika wewe ni mwanaume ?
Uzi unahusu wanawake wewe unakuwa wakwanza kucoment ,halafu unakosoa tongozo la mwanaume mwenzako kweli?
Ha ha ha
Kwani msomi lazima ajue kuandika/kuongea kingereza kwa ufasaha?Hao ndo wasomi wetu ambao badae serikali inawapa uongozi, mfano hii jamaa unapewa uwaziri wa ujenzi, baada ya miaka kadhaa anapewa urais wa kusukumizwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa ni vijana wa tiktokMkuu unahakika wewe ni mwanaume ?
Uzi unahusu wanawake wewe unakuwa wakwanza kucoment ,halafu unakosoa tongozo la mwanaume mwenzako kweli?
Ha ha ha
Maana yake kajpiga mkorogoI'm certain you know what he meant.
Nisaidie kuelewa "Black and White" nijitose[emoji6][emoji854][emoji846]
Am waiting for you babe.Oh...so sweet, hope to see you soon.[emoji6][emoji854][emoji2096][emoji2096][emoji2096]
Noted....... but........?????I'm a man with 38yrs ,an Engineer by professional with Bachelor degree.A Christian ,174cm tall,67kg ,black and white.
Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania,from any domination ,with any education level.
But nini wewe changamkia fursa hiyo. Engineer ndio mwenyeweNoted....... but........?????