38 years man, single and searching

38 years man, single and searching

But nini wewe changamkia fursa hiyo. Engineer ndio mwenyewe
Huyu wa mitandaoni kivuruge tu, wewe unadhani walomfata pm wangapi? Hata hivo sinaga ubavu wa kumfata mtu pm .nikimfata nimwambie nini sasa? Kwamba?😀😀 hawa tutakutana nao mitaani sio huku kusikojulikana
 
Huyu wa mitandaoni kivuruge tu, wewe unadhani walomfata pm wangapi? Hata hivo sinaga ubavu wa kumfata mtu pm .nikimfata nimwambie nini sasa? Kwamba?[emoji3][emoji3] hawa tutakutana nao mitaani sio huku kusikojulikana
Habari za siku rafiki
 
I'm a man with 38yrs, an Engineer by professional with Bachelor degree. A Christian, 174cm tall, 67kg, black and white.

Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania, from any domination, with any education level.
Aisee ..engineer yaani wee nawe unataka kuokota tuu mrembo hamna vigezo vyovyite vile🤣🤣🤣🤣🤣
 
I'm a man with 38yrs, an Engineer by professional with Bachelor degree. A Christian, 174cm tall, 67kg, black and white.

Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania, from any domination, with any education level.
Hello samahani tunaweza kuwasiliana
 
I'm a man with 38yrs, an Engineer by professional with Bachelor degree. A Christian, 174cm tall, 67kg, black and white.

Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania, from any domination, with any education level.
Hello
 
I'm a man with 38yrs, an Engineer by professional with Bachelor degree. A Christian, 174cm tall, 67kg, black and white.

Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania, from any domination, with any education level.
Samahani, Miaka 38 una 67kg?? Mbona ndogo sana kwa huu umri wako! Anyway sijui sana!
 
nikifikiria watu wa mwaka 1993 ndio wana 30 nakosa hata nguvu [emoji23].. nna dada angu wa93 angekufaa sema ni single mother..
 
Back
Top Bottom