38 years man, single and searching

38 years man, single and searching

Eti black and white 😂😂..kuna rangi ya binadamu iko black and white?Umejua kutuchekesha bless you
 
Mr. Engineer haujatupa mrejesho Kama ulifanikiwa ili wengine tufaute mkondo😊
 
Kwa huo wembamba natumai umepata wa kukusitiri unenepe
 
Samahani kwanza nadhani ulikusudia jina lako kuwa 'Endocrinologist' labda?

La pili, black and white umekusudia nini? Nikisoma hapo naona kama wewe umejinasibu black and white ina maana umechanganya mzungu na mwafrika?- enzi za George Jefferson (wa comedy the Jeffersons) angekwita zebra

Bwana Engineer ndiyo wale wenye GPA ya 35?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii kingereza iliyotumika kwenye paragraph ya pili ndo sijaielewa kabisa TROUBLE, DOMINATION......anyway ni Engineer. Wadada jaribu bahati zenu chap
Mkuu sio hayo tu, hili bwege limekosea kuanzia mwanzo.
Engineer by profession linaandika professional.
Halafu jitu la miaka hiyo halina mke, si atakua amemaliza madanguro yoye Dar mpaka kule Tandika mkundubuku.
 
Mkuu sio hayo tu, hili bwege limekosea kuanzia mwanzo.
Engineer by profession linaandika professional.
Halafu jitu la miaka hiyo halina mke, si atakua amemaliza madanguro yoye Dar mpaka kule Tandika mkundubuku.
Ha ha hahaaaa
 
Back
Top Bottom