3rd Anniversary ya Blogu ya Wananchi, Nchi ilisimama kwa masaa kadhaa

Babu nipashe lemutuz najua unaona raha sana kuongea umbea manake ndio jadi yako na unipashe ndio furaha yako na uongo ndio mwake,Uingereza huendi ng'ooo kwa sababu viza hawatupa hata utingishike tumbo vipi,napenda kusisitiza tena mimi niliyeandika hapa sio Neema ila ni mtu ninaye kujua vizuri na wewe umeamua tu kumdhalilisha tu mama watoto wako ambaye amekusahau kabisa na yuko newyork na watoto kuwahudumia kwa kila kitu wewe upo tu masifa ya uongo na bado wanakujua wewe ni hohe hae apache alolo bila Davis maisha kwako hayaendi pole sana , Dah jamaa wa TBC anakuuma sana manke unajua issue zake nyingi kumbe uko busy kumfatilia handsome boy wa watu haha poke babu lemutuz ila pls waombe msamaha watoto na xwife kwa kuwadhalilisha hapa mitandaoni na wakati wala hawahusiki kabisa na mambo haya pole siku ukija kunijua sijui utafanya nini na hivi karibuni utanijua tu.
 
Huyu mzee le mutuz huwa nashindwa kabisa kumuelewa ana akili za namna gani! anatuaibisha sana wanaume
 
Hivi marehem alikukoseaga nini??😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…