3rd Anniversary ya Blogu ya Wananchi, Nchi ilisimama kwa masaa kadhaa

3rd Anniversary ya Blogu ya Wananchi, Nchi ilisimama kwa masaa kadhaa

Babu nipashe lemutuz najua unaona raha sana kuongea umbea manake ndio jadi yako na unipashe ndio furaha yako na uongo ndio mwake,Uingereza huendi ng'ooo kwa sababu viza hawatupa hata utingishike tumbo vipi,napenda kusisitiza tena mimi niliyeandika hapa sio Neema ila ni mtu ninaye kujua vizuri na wewe umeamua tu kumdhalilisha tu mama watoto wako ambaye amekusahau kabisa na yuko newyork na watoto kuwahudumia kwa kila kitu wewe upo tu masifa ya uongo na bado wanakujua wewe ni hohe hae apache alolo bila Davis maisha kwako hayaendi pole sana , Dah jamaa wa TBC anakuuma sana manke unajua issue zake nyingi kumbe uko busy kumfatilia handsome boy wa watu haha poke babu lemutuz ila pls waombe msamaha watoto na xwife kwa kuwadhalilisha hapa mitandaoni na wakati wala hawahusiki kabisa na mambo haya pole siku ukija kunijua sijui utafanya nini na hivi karibuni utanijua tu.
 
Huyu mzee le mutuz huwa nashindwa kabisa kumuelewa ana akili za namna gani! anatuaibisha sana wanaume
 
jana nchi ilisimama kwa masaa kadhaa baada ya muwekezaji mkubwa kwenye suala la mitandao ya kijamii kutimiza miaka mitatu ya uwekezaji baada ya kutoka ulaya na Marekani na utajiri wa kutisha uliofikia dola 500 baada ya kukaa huko miaka 30.

Sherehe hiyo iliambatana na kufungwa kwa barabara kadhaa huku askari wakitawanywa kila kona ili kumhakikishia usalama muwekezaji huyo ambapo askari hao walitumia helkopta,farasi na magari maalum.

Muwekezaji huyo aliyeshindwa kuingia Dubai baada ya shirika la ndege kumwambia ajitegemee nauli,ambapo alisema kwa sasa yuko vibaya financially kabla ya kupata sponsor mwingine ambaye alikubali kumlipia nauli lkn kama atakubali kwenda Sokoto Nigeria na sio Dubai tena.

Sherehe hiyo ilifana zaidi baada ya viongozi wa kiserikali waliposhauri Lemutuz apate usajiri kutoka brela ili Wakenya wasije wakasema Akili kubwa anatoka Nakuru.

Mpaka leo mchana muwekezaji huyo alikuwa double tree by Hilton akipata coffee kwa ajili ya kuchangamsha Le Ubongozz kabla ya kuja na live straight talk
Hivi marehem alikukoseaga nini??😅
 
Back
Top Bottom