Hahaha pole sana yani bado baba Swalehe unaendelea kubwabwaja tu kweli limekushika,yani siku ungejua mimi ninayekuchemsha ni nani utachukia sana jinsi unavyojizalilisha wewe mwenyewe na mama watoto wako kwa sababu yangu, lemutuz babu mimi hata huyo mke wako simjui ila nakujua wewe vizuri tu na tunaonana kifamilia zaidi so achana na kumtukana mama watoto wako kina Agapeo na ukoo wa Ngwilulupi watazidi kukuchukia na itakuwa unajipaka matope zaidi sababu ndugu zako baba mmoja hupatani nao bado wanakuona jitoto la haramu tu na yule bibi wako kule tunduma umemtelekeza anavaa matambara hadi cousins wanakuchukia yani billionaire to be wa kwanza duniani mama yake nzazi anakaa kwenye kivanda cha mmbwa kijijini na anavaa matambara ya dekio haladu mtoto wake anajisifu utajiri wa kusadikika haha pole sana,hivi lemutuz unajua mzee malechela hadi mali zake zote amewaandikia kina Dk mwele wewe utaambulia nguo tu haha pole sana mdanandanaire, huyo mke wako unamuita mzee na wewe ndio mzee zaidi yake kweli babu huoni aibu na wakati mwenzako ameopoa ka handsome boy wa nguvu anakwenda marekani kila siku kumridhisha mama na bado watoto wako wanamuita daddy na wakati wewe marekani hutakanyaga ng'ooo karatasi limebumaa haha yani saa ingine unapatamni lakini ndio hivyo huwezi kwenda tena na watoto hawakutaki ndio unabaki kuponda watu wa ulaya na marekani kumbe ni sizitaki mbichi hizi,utaishia kwenda hapo nigeria na Dubai kwa kulipiwa tickets na wanaume wenzako kama wanavyomlipia Agness Masongane haha,umepewa mchango na Boss wako anayekuweka mjini kutengeza hako ka uchochoro unaita ofisi basi mzee wa miaka sitini unajiona kidumee wakati wazee wa umri wako kina Ombeni Sefue wanastaafu na majumba masaki na ubillionaire wa kweli,watu wa umri wako kina kikwete na lowassa wamestaafu wanakula matunda ya jasho lao wewe ndio kwanza unacheza visingeli na wajukuu zao haha halafu ukimuona kikwete unamuita uncle kikwete na wakati umri sawa huoni aibu wewe babu haha ebu kakojoe ukalale.
- Unafikiri ukarabati wa hii ofisi unaweza kugharimu kiasi gani wewe mama kizee? hahahahaha Miaka 51 unahangika mitandao kumutukana baba wa watoto wako aliyekupeleka Marekani akakusaidia kurudi ulipokuwa deported, kakutunza miaka 5 bila kazi USA, mpaka alipokutafutia kazi Ubalozini, uliwahi kusikia wapi kifaranga wa kuku akawa mjanja kuliko kuku mwenyewe? hahahahaha waliokuponza wanakucheka sasa maana Mama mtumzima miaka 51 utaolewa na nani? hahahahaha
- Utabakia hivyo hivyo kukokota wanaume wa watu na kuwatumia tiketi waje huko kula pesa za watoto unazopewa na Serikali hahahahahah
- Now tizama huyu mtoto Super Model mbichi kabisa hahahahaha wewe piga piga kelele huku mimi ninakula batazzz na siangalii nyuma never!!, halafu waambie ndugu zako waache mchezo wa kuniiita shemeji mpaka leo maana sina anything to do na wewe ever nilifanya makosa makubwa sana lakini kosa sio kufanya kosa ila kurudia,
- Wanawake mburulazzz kama wewe ndio mfano kwa jamii, Mwanamke aliyefundwa na wazazi anawezaje kujidhalilidha kwenye mitandao kama wewe? halafu imagine kuna Mwanaume kama mimi niliwahi kuishi na wewe kama mke inasikitisha sana ndio maana Mungu alinonea hiuruma akanitoa huko akanirudisha bongo na sasa maisha ni raha tupu kama nilivyokuwa kabla sijakuoa, Mungu alinionea huruma sana pole sana sasa imagine Mama mtumzima watoto 2 miaka 51 kwenye hii dunia unaolewa na nani? hahahahahahahahah
le Mutuz


