hyo n kwel mkuu n 4.5 lakn ukiangalia post angu ckusema kwamba cutoff n 2.5 nlsema kwamba hata wenye 2.5 wanaweza pata, na naomba kukufahamsha mkuu kua kuwa not-eligible sio huchaguliw labda sema kwa vyuo vya government c rahc kuchaguliwa lakn kuna baadh ya facuty ambazo hazna waombaj weng wanapata, hako kachuo n privet wanatafuta hela cio cutoff ilmrad 2 icpungue principo pac mbil mkuu nawaslsha
Ongeeni yote mnayoyaweza lakini heshima ya nani alifaulu sana au hakufaulu sana itaonekana pale ambapo utakuwa unahudumia jamii, na kufaulu sana au kufeli sana haimaanishi unauelewa mkubwa au mdogo kikubwa ni kuifahamu vizuri kazi unayoenda kuifanya na uwezo wa kuifanya watu wakakukubali
doctor of
medicine 2.5 simtauwa wagonjwa nyie
hyo n kwel mkuu n 4.5 lakn ukiangalia post angu ckusema kwamba cutoff n 2.5 nlsema kwamba hata wenye 2.5 wanaweza pata, na naomba kukufahamsha mkuu kua kuwa not-eligible sio huchaguliw labda sema kwa vyuo vya government c rahc kuchaguliwa lakn kuna baadh ya facuty ambazo hazna waombaj weng wanapata, hako kachuo n privet wanatafuta hela cio cutoff ilmrad 2 icpungue principo pac mbil mkuu nawaslsha
kaka samahan ctaendelea kukujbu mana kwanza umejaza ma2c kchwan na hauna point zenye mashko na pil katka swala zma la vyuo vinavotoa degree za afya hapa nchin hauna ufaham wa kutosha mana kcmc hakuna pharmacy na pharmacy yenye cutoff ndogo zaid haipo st.john pia hako ka chuo cha saut songea hakana pharmacy huo n ushahd tosha kwamba wewe hujawai kusoma pcb ila umejaza kchwa chako majvuno yasio na msing ya kuropoka napenda kukutaharf kua kama kwel ndo uko hv ww c weakthinker na wache 2 wenzako wanao elewa kama hapo juu ndo 2badlshane mawazo na ufund. Hauna adh ya kuchangia hil jambo mkuu tafakar, kua na aibu, jfunze kutokurupukia mada, na jshangae pale unapo 2mia ma2c na majvuna af unayejbzana naye ana2mia hoja zenye hekima. Nanukuu "anaye jiona anajua kumbe hajui yeye n mpumbayu" wakuu hii n nukuu c kua nmem2kana mkuu hapa. Nawaslsha
enoc hapo umemaliza.kama aliyepata 1 olevel akapata 0 a level na aliyepata 3 o level ndiye aliye pata 1 alevel tuna shangaa nini sasa?
mtihani sio kipimo cha kwamba hakuelewa miaka yote miwili shuleni.
Duh..kama wapo tayari kuchukua hata wenye 2.5,watu si watachukulia course ya medicine kama mzaha??:wacko:
Ipo haja serikali iweke chombo cha kusimamia vigezo vya udahili katika vyuo mbalimbali, vinginevyo tutaona mengi!!
Jaman wadau mnajua coz ya bachelor of vetelan medicin(BVM) kua n ngum sana kulko md? Kwa tanzania hyo coz hpo SUA na cutoff yake n 3.5 ka csahau ambayo n nusu ya hle ya md ya MUHAS ambayo n 7.5 hyo coz tz ndo ya kwanza kwa kua na wa2 weng wanaodisco na sap za maana hyo inafahamka kwa wote je kwann hawachukui wa2 wenye cutoff kubwa na kuendelea kwa7bu n ngum? Jbu n kwamba cuttof sio tja ila uwezo wako 2 ilmrad uwe na uwezo wakufaulu coz na uwezo utapatkana ka utamalza coz na kama ukdisco bac utakua hauna uwezo hucka. Jaman 2futen mawazo ya ki tz kwamba coz zenye cutoff kubwa ndo ngum mfano kama sheria n coz ya kwanza kwa ugum na inafuatiwa na bvm(bachelor vetelan medicin) lakn kwa kua kuna vyuo vng bac sheria hapa tz ina cutoff ndogo, kwahyo wadau swala la cutoff kubwa n kwa7bu ya uhaba wa vyuo na c ugum wa coz. Nawaslsha
Jaman wadau mnajua coz ya bachelor of vetelan medicin(BVM) kua n ngum sana kulko md? Kwa tanzania hyo coz hpo SUA na cutoff yake n 3.5 ka csahau ambayo n nusu ya hle ya md ya MUHAS ambayo n 7.5 hyo coz tz ndo ya kwanza kwa kua na wa2 weng wanaodisco na sap za maana hyo inafahamka kwa wote, je kwann hawachukui wa2 wenye cutoff kubwa na kuendelea kwa7bu n ngum? Jbu n kwamba cuttof sio tja ila uwezo wako 2 ilmrad uwe na uwezo wakufaulu coz na uwezo utapatkana ka utamalza coz na kama ukdisco bac utakua hauna uwezo hucka. Jaman 2futen mawazo ya ki tz kwamba coz zenye cutoff kubwa ndo ngum mfano kama sheria n coz ya kwanza kwa ugum na inafuatiwa na bvm(bachelor vetelan medicin) lakn kwa kua kuna vyuo vng bac sheria hapa tz ina cutoff ndogo, kwahyo wadau swala la cutoff kubwa n kwa7bu ya uhaba wa vyuo na c ugum wa coz. Nawaslsha