NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 591
hyo n kwel mkuu n 4.5 lakn ukiangalia post angu ckusema kwamba cutoff n 2.5 nlsema kwamba hata wenye 2.5 wanaweza pata, na naomba kukufahamsha mkuu kua kuwa not-eligible sio huchaguliw labda sema kwa vyuo vya government c rahc kuchaguliwa lakn kuna baadh ya facuty ambazo hazna waombaj weng wanapata, hako kachuo n privet wanatafuta hela cio cutoff ilmrad 2 icpungue principo pac mbil mkuu nawaslsha
Nimekupata mkuu!!