FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
- #161
halafu kinachoniumaga zaidi ni kwamba kabla tanga halijaanuliwa ameshajua nani ata cover nafac yako, mtoto wa mwanamke mwenzangu haniui kwa kweli, nikaacha wanangu wanataabika.
huu ni unyonge ambao tunatakiwa tujikomboe inaumiza sana unafanya kama ngoma