Funzadume kumbe lilipofungwa jukwaa la ngono ukahamia kwenye siasa? Ha ha haaaa, sawa pamoja na hiyo bakaa ya pato la shughuli za muungano lakini pia misaada inatakiwa igawiwe kwa 4% iende Zanzibar. Hapa tulikuwa tunawadhulumu kwa kuwa ni koloni letu!Sio misaada ni bakaa ya pato la muungano, hapa kuna vitu tunachanganya. Soma bandiko moja huko juu kuna mtu alielezea vizuri ingawa mwishoni alimaliza kwa jazba
Mke gani msumbufu, mbinafsiKwani kumuhudumia mkeo ni dhambi?
Hii ndoa ni miongoni mwa ndoa haramu duniani
Your extremly rightkwani Zanzibar ni NCHI?.
Zanzibar HAINA tofauti na morogoro au singida au dodoma n.k
fedha zinazoenda kwenye miradi ya maendeleo ya mikoa ziende pia Zanzibar.
Utapewaje faida ya biashara kama hukuweka mtaji?chapwa24 Sheria inaitaka serekali ya muungano iipatie Zanzibar 4.5% ya misaada yote pamoja na Bakia la Pato la Muungano.
Swali la kwanza ni kua Bakia la pato la Muungano ni lipi? Pato la muungano ni yale mapato yote yanayokusanywa na jamhuri katika mambo ambayo yamo ndani ya muungano kisheria.
Inavyotakiwa ni kuwa baada ya mapato yote kukusanywa, fedha inatakiwa itumike kwenye Budget ya mambo ya muungano, fedha yote itakayobakia inatakiwa igawanywe kwa washirika wa muungano. Kwahiyo Zanzibar wanatakiwa wapate 4.5% na Bara wapate 95.5%
Mfano: kama mapato ya mwaka ya source zote za Muungano ni milioni 120. Halafu Matumizi ya muasuala ya Muungano kuanzia mishahara pamoja na miradi mambo mengine ni milioni 20. Kwahiyo itabakia milion 100, Sasa hiyo mia itatakiwa igaiwe Zanzibar wachukue milioni 4.5 na Bara wachukue milion 95.5. Sasa tatizo lnakuja kuwa Bara hawajawahi kuwalipa Zanzibar stahiki yao ya mgao wa mapato kwa miaka yote hiyo. Pesa zote wanachukua wao, na ndio mana Zanzibar wanalalamika na ndio moja katika kero kubwa za muungano.
Swali jengine linalokujia wewe ni, Kwanini Zanzibar wapewe mgao wa fedha wakati wewe huuoni mchango wao kwenye hayo mapato?
Mtu yoyote anaetaka kuja Tanzania anlipia visa, Pesa ya visa direct inaingia kwenye mfuko wa Muungano. Zanzibar kwa mwaka kunakwenda watalii wasiopungua laki 3, hawa malipo ya visa zao zote zinachukuliwa na Bara, Zanzibar haifidika na hela visa ya watalii wanaokwenda kwao.
Ma company yote ta TZ, kuanzia ya mitandao ya simu, ving'amuzi, Mabenk na mengineyo, Yanasajiliwa Bara, lakini yanafika mpaka Zanzibar kutoa huduma bila kulipa kodi yoyote kule Zanzibar. Yani ni hivi Voda wanalipa Kodi Bara lakini wanatoa huduma mpaka Zanzibar. Fedha wanazolipia za kodi ni kwa ajili ya kutoa huduma mpaka Zanzibar, ila sasa TRA hawagawi mgao wa fedha zinazotokana na makampuni kwa Zanzibar.
Hiyo ni mifano miwili na ipo mengi tu kwenye kila sekta inayohusu Muungano.
Kwa kifupi wanachokifanya Serekali ya SMT, ni wizi wa mchana kabisa, Kila mwaka wanawaibia Zanzibar karibu 1 trillion. kwa kipindi cha miaka kumi kiharaka haraka Zanzibar wanaidai Tanzania fedha isiyopungua Trillion 10.
yaani Zanzibar ni nguzo ya utalii Tz? wewe upo tz ya wapi? zanzibar ngi nguzo ya utalii kuliko ngorongoro, serengeti, mikumbi na mbuga zote hizi? akili yako umetupa wapi?Sheria kama kweli inasema hivi kwa mujibu wa statement yako, Ibadirishwe kwa manufaa ya Muungano !
But still 4% kama gawio haliwatoshi!
Zanzibar is a commemoration!! Ni kama nguzo ya Taifa la Tanzania katika utalii!! We need them!
Even though not as much as they do! Still kuna jambo kati yetu! (Tanganyika & Zanzibar) !!!!
Lizingatiwe!!!
kwahiyo wanadai kitu ambacho hawakuchangia mtaji?Utapewaje faida ya biashara kama hukuweka mtaji?
Zanzibar haikuchangia chochote kama mtaji hapo mwanzo na imeendelea kutochangia chochote kwenye hayo maeneo kwa nini wapate mgao wa faida?
Zanzibar haijawahi tenga fedha kulipia madeni ya mikopo...kama unabisha angalia hata bajeti ya serikali ya mapinduzi ya mwaka wa fedha 2021/2022 kama utaonaNa kuilipa kila moja analipa deni la 96%:4%
tuhesabiwe sasa, lini waliwahi kulipa mikopo, na kwanini, na kwanini tuwabebe? na hata baada ya kuwabeba wanatuzodoa?Zanzibar haijawahi tenga fedha kulipia madeni ya mikopo...kama unabisha angalia hata bajeti ya serikali ya mapinduzi ya mwaka wa fedha 2021/2022 kama utaona
Mzigo wa mikopo ya Zanzibar hulipwa na jasho na damu za watanganyika kupitia serikali ya muungano
Mafia mbali kote hukoZanzibar Wana sehemu ndogo ya bahari ndugu. Kumbuka kwenda north wameshafungiwa na Kenya kurudi kisiwa mafia . Kutokana na zile sheria za kimataifa Zanzibar kamwe hawezi kuwa na eneo kubwa kutuzidi Tanganyika
Mshahara wa mwanaume ni wa familia ila mshahara wa mwanamke ni wa kwakeMke gani msumbufu, mbinafsi
Cha Zanzibar ni cha wazanzibari pekee, ila cha Tanganyika anataka kiwe cha wote
Kwa uelewa wako Zanzibar ni sawa na wilaya au Mkoa, Kwa mujibu wa Katiba!?Kwani Pwani inapata mgao kiasi gani? bila kusahau Chato
Kama hujui waulize wenye kujua sio unaongeaongea tu ili uonekane na wewe umejibu.Kodi yote inayokusanywa na TRA Zanzibar hubaki Zanzibar, hakuna senti inayovuka maji
Wakati huo huo wafanyakazi wa TRA Zanzibar ambao wote ni wazanzibar wanalipwa na TRA Taifa (ambayo mapato yake yanatokana na jasho la watanganyika)
Vyote.wanakusanya vitu vinavyobaki znz au vinatoka au kupitia znz kwenda bara?
Sasa nenda Zanzibar ukazungumze upompoma, whatever that means!To upompoma wako..mbara ni mgeni huko hatambuliki..ndio mana kuna kitambulisho cha ukaazi..kukipata mpka ukae miaka mitatu..sasa hii ni Tanzania au malawi..kwani NIDA haitoshi?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali umeyasema haya maana watu hawasomi historia wala hawajui nini kimeendelea, lakini wanapiga kelele tu.Nimegundua humu jamvini huwa tunachangia amma kwa ushabiki au kwa kutokujua baadhi ya mambo. Afadhali umetoa mwanga. Chanzo cha mgao huu ni wakati EAC liyovunjika 1977 ilipokuwa inagawa mali zake kwa washirika. utakumbuka mgao wa Zanzibar uliingizwa Tanzania. Akatafutwa mshauri elekezi ambaye alishauri Zanzibar ipewe 4.5%. Bahati mbaya Serikali ikaamua 4% kwa kila jambo. Wakati tunadai hiyo 4% ni kubwa, pamoja na ufafunuzi huu, kuna jambo halisemwi na huwa hatutaki lisemwe; kwamba wakati wa kuanzisha BOT mwaka 1967 Zanzibar ilichangia 11.5% ya mtaji wa benki hiyo. Tokea wakati huo hakuna mgao wowote uliotolewa kwa Zanzibar kama mwanahisa mshirika mkubwa wa benki hiyo. Nadhani wakati tukijifaragua kwa dharau na kejeli tufike mahala tuukubali ukweli kwamba katika hili Zanzibar imedhulumiwa, inadhulumwa na itaendelea kudhulumiwa kwa jina kulinda muungano ikiwa hatutachukua hatua kurekebisha uendeshaji wa mambo yetu. Tuseme basi
Nyinyi wenyewe mbona munabaguana sana tu? Tena kwa makabila fulani fulani. Mukiwa kabila moja na bosi upendeleo nje nje. Tunayaona yanavyoendelea.Wao kwa wao wanabagua balaa... Yaani Huko Kwao Bado ni mtihani je Muungano ukifa.... [emoji16][emoji16][emoji16]
Halafu huyu mama sometimes naona amekuja kutuchanganya tu, hii huruma anayoiweka mbele badala ya kutumia akili atatuumiza, hao wazanzibar wenzake wana bunge, mahakama, serikali, jeshi, kuonesha kwamba wana mamlaka wanajitegemea, sasa hii kuwabeba beba mara umeme, bado tuwagawie 4% maana yake nini?