Mkuu ulikatwa wapi?
Favorism ni kitu ambayo ipo kila sehemu, hayo ni mambo ya kawaida tu kwenye Dunia.
Katika maelezo yangu nimesema 1967 katika mtaji wa kuanzisha BOT 11.5 ilitoka Zanzibar. jengo la BOT lilijengwa katika miaka ya 2000. Kwa hivyo ni dhahiri jengo hilo linatoka katika fedha ya BOT na haina maana kwamba mtaji huo ndio thamani ya pesa hizo. Lkn iwe ndio hivyo; bado jengo ni la BOT na sio la Zanzibar. N.B: Nimetoa maelezo ili ifahamike. Jawabu rahiisi ni HAPANAje ni kweli pesa iliyochangiwa na znz ndo iliyojengea jengo lao la bot znz?
Rejea maneno ya Nyerere kabla ya uhuru na ya Lukuvi 2015 kule kanisani utajua muungano ni kwa faida ya nani. Mkuu sisi tupo. Usidhani Wazanzibari hawana akili. Wanaona, wanajua na ni werevu mno.Zanzibar ni Mali ya watu weusi huyo sultan alikuja na kuiona Zanzibar ingalipo . Oman ndio Mali ya sultan. Sultan ni muarabu na wazanzibar asilia ni watu weusi . Katika awamu wa Samia Zanzibar itapaa kimaendeleo kwasababu ya 4% ya Jasho la watanganyika masikini wa Hukwo Rukwa. Muungano ni huu ilikuepo faida Kwa Zanzibar ili kuzuia sultan asirudi Zanzibar baada ya mapinduzi ya afro Shiraz's party. Ila kuhakika hauna faida yeyote Ile .
Toa mfano sio kuweka generalization!!! Sasa kama kampuni anayeendesha biography yake ni mtu wa Zenji unategemea nini Hapo???!
Kwa maana TRA pia wako na idara hiyo ya mapato katika vitu visivyo vya muungano au???
Mambo haya nadhani ZRB Inasimamia:
Mapato ya Serikali za mitaa, usafiri na barabara Ingawa kuna TANROADS. Pia Kilimo, mifugo pamoja na Uvuvi. Lakini Ishu ya Magereza na biashara baina ya wazalishaji wa chini na kati.
Lakini swali la Msingi:
Je TRA Inatenganisha hivi vitu kwa upande wa Tanganyika au ndo sandakalawe Amina??? [emoji16][emoji16][emoji15]
Zanzibar ni Mali ya watu weusi huyo sultan alikuja na kuiona Zanzibar ingalipo . Oman ndio Mali ya sultan. Sultan ni muarabu na wazanzibar asilia ni watu weusi . Katika awamu wa Samia Zanzibar itapaa kimaendeleo kwasababu ya 4% ya Jasho la watanganyika masikini wa Hukwo Rukwa. Muungano ni huu ilikuepo faida Kwa Zanzibar ili kuzuia sultan asirudi Zanzibar baada ya mapinduzi ya afro Shiraz's party. Ila kuhakika hauna faida yeyote Ile .
Ila mnaung'an'gania wenyewe na watu wako rumande mwaka wa nane sasa kisa walileta hamasa za kuvunja au kutaka marekebisho ya muungano. Ndugu kuna mengi huyafaham zaidi uliza. Kwann at any cost tanganyika hawataki muungano uvunjike?Ukitathimi kwa kina utagundua iyo 4% inatoka Tanganyika kwenda Zanzibar.
Ni kama vile Tanganyika inalipia gharama za muungano.
naona umeamua uondoke na bila ya Muungano kuna uunguja na upemba,Bila ya Zanzibar mtapigana sana, ndio alichofikiria Mwalimu. Na ndio maana muungano unalindwa sana, huwezi kuliona hili.
Kama sikosei "Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo "Unajua kirefu cha KMKM?
Wao wanaleta nini huku, isiwe ni one way resource flowKuna hoja nimekuta watu wanaongea, ni kuhusu kile ambacho mama amesema waziri wa fedha akakae na mwenzake wajadili na kusuluhisha katika kero za muungano. Ninaupenda sana Muungano,ninauunga mkono. lakini, nilijiuliza kitu kimoja, mimi kama mtu wa bara sitaki tupigwe pia kama wazenji wasivyopenda kupigwa.
1. hivi Zanzibar inachangia kitu gani kwenye kwa Tz bara kinachowastahilisha tuwagawie hiyo asilimia? Bara inafaidika nini toka Zanzibar?
2. Mgao unaoongelewa ni wa misaada toka nje, au ni mapato ya nchi (pato la madini bara, TRA, navitu vyote vya bara)?
3. kama ni mapato ya nchi, kwani TRA haipo Zanzibar ya kikwaokwao?
4. proportion ya wingi wa watu + ukubwa wa eneo vinazingatiwaje wakati wa kugawa pato ya muungano?
5. kwanini marais waliopita walikuwa hawashughulikii hilo jambo, kulikuwa na kitu gani walichokiona? including one of them who was Zanzibari.
6. kwa anayeelewa, naomba anieleweshe hili jambo kwasababu kama vile tu zanji wasivyopenda kupigwa, mimi kama mtu wa bara pia sipendi na sikubali.
Naongea hivi kwasababu watu wanavyoongea mtaani wanaongea kama vile kwasababu mama ni mzanzibar basi wanaona wazanzibar wanaweza kupitisha vitu vingi sana ambavo vilikuwa havipiti kwa awamu za nyuma ambazo nyingi hazikushikwa na rais wa zanzibar.
MWISHO: siongei kwa ubaya, wala kwa unafiki, ila ninaongea kinachoongelewa mitaani. Ninamwamini mama atafanya makubwa. Ila naamini tunatakiwa kuwa na busara ya hali ya juu kwasababu kuna mambo tunaweza kufanya tukifikiri tunajenga muungano kumbe ndio tunauweka kwenye mazingira ya kubomoka kabisa.
Wao wanaleta nini huku, isiwe ni one way resource flow
naona umeamua uondoke na bila ya Muungano kuna uunguja na upemba,
Msaada ambao ni general kwa Tanzania ni sawa. Kwa mfano msaada wa vyandarau kwa Tanzania wa chukue 4% yao. Lakini msaada kwa Serikali ya JM Tanzania kwa ajili ya Hospital ya Mnazi mmoja ZNZ utapiga 96% ya huo msaada ije Tanganyika?
Zanzibar haichangii chochote, yeye mwenyewe Samia mshahara wake na marupurupu yote ni jasho la watanganyika
TRA ipo zanzibar lakini inakusanya mapato kwenye maeneo chache sana, na kisha mapato yote huachwa Zanzibar (hakuna shilingi inayokusanywa Zanzibar huvuka maji)
Mimi sijaona utata wowote juu ya makusanyo .Kinachokusanywa na TRA Zanzibar kitumike hukohuko na Bara itumie makusanyo yake. Kimapato hatuna Cha kujivunia kutoka Zanzibar zaidi ya kuwalipa mishahara wazenji
Kodi yote inayokusanywa na TRA Zanzibar hubaki Zanzibar, hakuna senti inayovuka maji
Wakati huo huo wafanyakazi wa TRA Zanzibar ambao wote ni wazanzibar wanalipwa na TRA Taifa (ambayo mapato yake yanatokana na jasho la watanganyika)
Sheria kama kweli inasema hivi kwa mujibu wa statement yako, Ibadirishwe kwa manufaa ya Muungano !
But still 4% kama gawio haliwatoshi!
Zanzibar is a commemoration!! Ni kama nguzo ya Taifa la Tanzania katika utalii!! We need them!
Even though not as much as they do! Still kuna jambo kati yetu! (Tanganyika & Zanzibar) !!!!
Lizingatiwe!!!
Why not??
Ikiwezekana hii 4% iwe at least 30% ,.... Na kila mradi ujao Tanzania bara uende Tanzania visiwani!
Kama bado muungano ni muhimu kwetu (bara na visiwani) sioni tatizo wote tukasimana level moja ya kiuchumi!
Showcasing Zanzibar as our weakest point will only be our term of our demise!