dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
NakaziaCondom ni kupiga nyeto tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaCondom ni kupiga nyeto tuu
nilikua na miadi leo na Lightness wa Tabata
yaani nimefungua huu uzi, kamb<><> kameshrink bila kupenda
Kwanza ni kosa kubwa kusema ni ngono zembe, hivyo ndivyo ngono inapaswa kufanya sio na condom. Condom ni kupiga nyeto tuu
nadiriki kusema, mie ninayepiga nyeto napata raha nyingi sana kuliko anayetumia ndomcondom ina shida gani?
Nakazia
🤣 🤣 🤣 🤣 kwani nimekuwa Noah ile ya 5m ?trip shamba, trip garage
Mie kwanza kibamia so condom inanipwaya niwe mkweli.Nyie ndio mnaoponza wenzenu, condom ina shida gani? Kwani haufiki unakoenda
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] kwani nimekuwa Noah ile ya 5m ?
Mie kwanza kibamia so condom inanipwaya niwe mkweli.
Pili, wanawake wenyewe wanakwambia raha ya tendo kumwagiwa shahawa...
Tatu sanyansi inasema condom upunguza utamu wa tendo kwa zaidi ya 30%. Sasa wataka ushahidi gani mwengine.
Wee unapenda condom? Kuwa mkweli
😅 😅 😅 hata sijui, sikufatilia tena ule uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi alichukua ile ndinga?!
[emoji28] [emoji28] [emoji28] hata sijui, sikufatilia tena ule uzi
naamini ushauri wenu ulimkaa vyema
Puuzie huu ujumbe..Binadamu bwana sasa hela zote hizo kwenye utafiti wa ngoma wakati ni jambo ambalo lipo wazi kuwa we fighting a lossing battle.
Watu wanapenda kavu kwa sababu ndivyo sex inavyotakiwa. U cant fight nature. Tukulane tuu jameni hamna namna kama kifa kupo tuu
Hahaha! Wanapita kimya kimya.wazee wa kutembelea rim hutawaona hapa, katu katu
na ushaharibu weekend yao
[emoji23][emoji23]uzi mchungu sana huu kwa walowekaji
yaani akioni hizo herufi tatu, anang'ata ulimi na kusonya , kuishia kusoma heading kisha kutoweka kusikojulikana
Why?Taarifa za HIV huwa zinaniumiza sana roho,ila no sweat.
Kwasababu unaweza kuwa makini mno lkn mwenzako akawa very reckless akakuletea kirahirahisi mnoWhy?
Watu wanapiga ACAPELLA kama ulayaView attachment 2659246
Taasisi ya Afya ya Ifakara imebaini kuwa asilimia 41 ya wanawake wanaoishi na virusi vya UKIMWI (VVU) Mkoa wa Dar es Salaam wamepata mimba zisizotarajiwa.
Hali hiyo imeelezwa kutokea kutokana na asilimia 60 ya wanawake wanaoishi na virusi hivyo, kutotumia njia za uzazi wa mpango.
Hayo yamebainishwa leo Juni 15, 2023 na Mtafiti kutoka Taasisi ya utafiti ya Ifakara Dk Francis Levira wakati akitoa wasilisho kuhusu utafiti huo uliofanyika katika miji ya Dodoma na Dar es Salaam mwaka 2021/22.
“Wakinamama ambao tuliwahoji, tuliwauliza kuwa mimba au uzazi wa mwisho kama ulikuwa umepangiliwa au haujapangiliwa na katika majibu tulipata Dodoma asilimia 29 na Dar es Salaam ilikuwa kubwa kwa asilimia 41, walipata mimba zisizotarajiwa”amesema Dk Levira.
Dk Levira amesema utafiti huo pia ulihusisha zaidi ya watu 15,000 ili kufahamu watu wangapi wanajua kama wana maambukizi na kutoa huduma ya upimaji.
Aidha Dk Levira amesema kati ya wanawake wenye virusi vya ukimwi ambao walifika kupata huduma kwenye vituo vya Afya ni asilimia 6 pekee ndio walikiri kupata huduma za uzazi wa mpango.
Akizungumzia kuhusu maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto amesema utafiti umeabaini kati ya wanawake wenye virusi walioohojiwa ni asilimia 2 waliwaambukiza watoto wao virusi vya Ukimwi Mkoani Dodoma huku Dar es Salaam ikiwa kwa 8 asilimia.
Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya ustawi na maendeleo ya jamii Fatma Taufiq amesema Serikali itumie tafiti hiyo kuboresha miundombinu ya vituo vya afya ili waathirika wanaofika vituo vya afya wapate na huduma za uzazi wa mpango.
Taufiq amesema huduma hiyo pia itasaidia kuwaeleza waathirika hao namna bora ya kuzuia watoto wao wasipatwe na virusi vya UKIMWI