41% ya wenye VVU jijini Dar wamepata mimba zisizotarajiwa

Nyie ndio mnaoponza wenzenu, condom ina shida gani? Kwani haufiki unakoenda
Mie kwanza kibamia so condom inanipwaya niwe mkweli.
Pili, wanawake wenyewe wanakwambia raha ya tendo kumwagiwa shahawa...
Tatu sanyansi inasema condom upunguza utamu wa tendo kwa zaidi ya 30%. Sasa wataka ushahidi gani mwengine.
Wee unapenda condom? Kuwa mkweli
 

[emoji15][emoji15] We kweli? Sasa itakuwaje na crush wako na zile ahadi zenu?

Kweli kiba100 km condom inagoma hakuna la kukusaidia endelea kuloweka
 
Puuzie huu ujumbe..

Vaeni protection kabla ya kula vitu..telezeni kwa mliopimana.
 
Watu wanapiga ACAPELLA kama ulaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…