roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Znz hakuna pisi kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani hawakuwa wakizaa,mbona hawakuweko vibonge wengi Kama Leo!?..watz wamezidi kula vyakula vya kukaanga,mafuta ni adui namba mojaUnene wa Zanzibar unatokaba na kuzaa sana sio kula ,chunguza hilo unene anaopata mwanamke baada ya kuzaa .
Mkuu habari za siku,na samahani sana kwa kuchelewa kureply hii mada.Mkuu @safuher umeisikia hiii?
UMeongea inshu ya msingi sana mkuu,tunaweza kusema kwamba wanene ni asilimis kadhaa kumbr hata hao wenyewe hawajioni kama ni tatizo ns unene wao.Lakini inawezekana huo unene walionao watu ndiyo afya yao kwa heshima zao na uoni wao. With respect to them
Mkuu mimi nahisi faida ya kitambi ni stoo ya chakula cha ziada yaani mafuta,pale ambspo mwili utakosa chakula kwa muda mrefu basi mafuta ya kitambi yanaweza kutumika kuzalisha nishati ya mwili.Lakini pia ikikupendeza naomba uniambie kile unahisi, (au unajua) kibaiolojia wewe ni ipi 1. faida ya kuwa na kitambi mwilini?
KAma nilivyotoa mfano wa msechu hapo juu ni kwamba mkuu utunzaji wowote ule bila shaka faida yake ni wakati wa mahitaji.Ipi faida ya kutunza maji na mafuta mwilini?
Mimi mafuta ndie rafiki yangu namba 1.Zamani hawakuwa wakizaa,mbona hawakuweko vibonge wengi Kama Leo!?..watz wamezidi kula vyakula vya kukaanga,mafuta ni adui namba moja
Sahih. ✅Hivyo mafuta na maji yakiwa yametunzwa mwilini kwa wingi na ikatokea siku mtu hana chakula wala maji basi yale yaliyohifadhiwa mwlini yatasaidia kumfanya asife mapema kwa njaa.
Lakini mbali ya faida hii nadhani jambo hili kutokea ni nadra sana kwamba mtu akae labda wiki 2 mpaka tatu hajapata maji wala chakula kwa mazingira yetu sio rahisi.
Ni sahihi mkuu ,ukijua chsnzo umetibu nusu ya tatizo.Programu itategemea nini hasa ndio chanzo cha huo unene. Kulingana na utaalamu.
NAm mkuu baada ya kusoma ufafanuzi wako kuhusu ulinzi binafsi narudi hapa kuchangia juu ya inshu nzima ya ulinzi mr Uhakika Bro .Mr Safuher mimi naweka mbele hoja kuwa, tatizo zima la unene ni suala moja tu ULINZI BINAFSI basi.
Nimekuwa na falsafa yangu moja ambayo inasema kwamba "unene wowote unatokana na chakula"Nadharia ambayo tuipime hapa ni kwamba, bila hofu ya chochote: (Kukosa, kuachwa, kusemwa, kukamatwa, kukufa, kuugua) hakuna mwili utatunza wala kuhangaika kutafuta mbinu za kuongeza akiba ya rasilimali mwilini🤔. Stress/hofu ndiyo chanzo. Na mwili unajikusanyia ili kujilinda usipotezwe 'survival'
Hii ni sahihi, ni kweli kabisa kwamba unene ni mafuta (na rasirimali nyinginezo, maji, protini, madini nk) ya ziada ambayo yamehifadhiwa mwilini. Ni chakula tulichokula.Nimekuwa na falsafa yangu moja ambayo inasema kwamba "unene wowote unatokana na chakula"
Na huo unene ni yale mafuta ya ziada ambayo yamehifadhiwa mwilini.
Hapa sasa panahitaji umakini.huwa nafikiria kwamba mwili unahifadhi chakula sio kwa sababu ya ulinzi,bali mwili unahifadhi chakula kwa sababu tu kimezidi hivyo mwiki hauna namna nyingine zaidi ya kukihifadhi.
kwa mantiki hiyo chakula kilichozidi(mafuta ya mwili) ni sawa na maji ambayo yanamwagika baada ya ndoo kujaa.
Ukweli ni kwamba, kwa mtazamo wa mwili wakati huo, hauwazi kwamba nimezidisha kuhifadhi. La. Bali mwili huwaza kwamba hicho ndicho kiasi kifaacho kutunzwa mwilini kutokana na hali ilivyo (hatari). Kikipungua kidogo mwili huwekeza mikakati ya kukirudisha kama;Hivyo mafuta ya ziada mwilini ni product ambayo haina budi kufanywa pale endapo chakula kimezidi mahitaji ya mwiili husika
Umeangazia, ulaji na ukaaji tu.tumerithi ulaji lakini hatukurithi harakati za maisha,tumekuwa na maisha ya kisasa huku ulaji wetu ukiwa ni wa kizamani.
HIvyo tunashindwa kuwa na miili ambayo haina akiba kwa sababu walaji wa zamani walikula na kufanya kazi za kushughulisha miili wakati huo walaji wa kisasa wanakula na kukaa maofisini tu
Ahaha nakupata vizuri kaka mkubwa.Modeli yako inaitwa ya kimakanika (mechanistic view),
Hapa mkuu NItaonesha huko mbele namna ambavyo hata dhana yako inafanya kana kwamba mwili hauna akili piaModeli yako inaitwa ya kimakanika (mechanistic view), yaani inafanya kama vile mwili hauna akili
Haswaa ndio falsafa ambayo nimekuwa nikiisimamia.Kwamba kama ni kalori zimewekwa nyingi kuliko zilizotumika basi mtu ananenepa
Kabisa kaka hata mimi nakubaliana na wewe kwamba mwili una akili yake,lakini tunatofautiana namna ambavyo mwili hutumia akili hiyo.Mimi maoni yangu ni kwamba mwili ni una akili yake kabisa(vitalistic view)
kama bwana mwili hawazi uhalisia wa kwamba chakula kimezidi basi nadhani hii dhana yako pia inafanya kana kwamba mwili hauna akili kwa sababu kama mwili ungekuwa na akili ungeliwaza uhalisia ambao ni kuzidi kwa chakula.kwa mtazamo wa mwili wakati huo, hauwazi kwamba nimezidisha kuhifadhi.
Kama mwili unawaza hivi nadhani pia kwamba tunaudefine mwili kwamba hauna akili.Bali mwili huwaza kwamba hicho ndicho kiasi kifaacho kutunzwa mwilini kutokana na hali ilivyo (hatari)
Naam sijagusia kwa sababu fulani huwenda tukaiona huko mbele mkuu.Je umegusia ufikiri?
Kama mwili anaandaa nishati sawa baina ya mtu anayefanya kazi za misuli sana na mtu anayefanya kazi za ofisi sana basi nadhani hiyo pia ni uthibitisho wa kwamba mwili hauna akili.Maana leo mtu wa ofisini akisema nina kazi kubwa mbele kesho (stress ya mafaili mengi). Na ndivyo hivyo mkulima atasema nina kazi kubwa mbele kesho (stress ya kufyeka eneo jipya na visiki) hawa wote miili yao iliwaamini na kuwaandalia akiba ya nishati. Lakini mmoja ataitumia kweli, mwingine misuli yake haitahusika saana.
Duuuhna matako hawana
😆😂 ahsante kupoint out, yas ukichukulia kuwa mwili unakuwa umetumia akili kusema 'chakula kimezidi, hakitatumika chote sasa ivi wacha nifanye mchakato nikihifadhi hapa na pale. Oooookay, sawa ni akili.Mimi naona mwili katumia AKILI kwa kufanya kitendo cha kuhifadhi chakula cha ziada ambacho hakina matumizi kwa wakati huo.
Wakati huo wewe unaona kwamba bwana mwili hajatumia akili,hapo tunatofautiana 😃.
Kuna kuzidi kwa aina, hapana nnamaanisha kwa hatua mbili na zote ni kweli;kama bwana mwili hawazi uhalisia wa kwamba chakula kimezidi basi nadhani hii dhana yako pia inafanya kana kwamba mwili hauna akili kwa sababu kama mwili ungekuwa na akili ungeliwaza uhalisia ambao ni kuzidi kwa chakula
Mwili akili yake ni kama ya mtoto zaidi, hauna mantiki sana (kama conscious thought). Hautumii hesabu vizuri. Ni uwanda wa subconscious na unaathiriwa saana na kiwango cha msisitizo binafsi wa mtu.Kama mwili anaandaa nishati sawa baina ya mtu anayefanya kazi za misuli sana na mtu anayefanya kazi za ofisi sana basi nadhani hiyo pia ni uthibitisho wa kwamba mwili hauna akili.
Ndugu, tumekubaliana kwamba mwili una akili, maoni yako na maoni yangu yoote yameelekeza ni akili.ni vitendo vyenye sifa gani mwili akivifanya ndipo tunahesabu kwamba mwili ametumia akili ?
Na ni vitendo vyenye sifa gani mwili akivifanya ndipo tunahesabu kwamba mwili HAUJATUMIA akili ?
😃Naam tupo pamoja mkuu na umenijibu na nimetosheka na majibu yako,umenitendea haki haswa mkuu katika kujibu kwako.Ndugu, tumekubaliana kwamba mwili una akili, maoni yako na maoni yangu yoote yameelekeza ni akili.
Nilikuweka kundi la pili (la mamechanistic pipo) kimakosa.
Daah mkuu hili swali lako ni gumu na liko very technical😃😃Ni kwa nini mwili uendelee kushinikiza, kutafuta, kula na kusharabu chakula hata kama mtu tayari ako na uzidifu wa 'rasilimali' alizohifadhi mwilini?
😃😃 swali jingine gumu na very technical.Nakazia, kwa nini usizuie tena hamu ya chakula? Na mtu akijilazimisha kula ni kwa nini usiache asilimia kubwa iende na haja kubwa?
NA ukasema pia kwamba 👇👇👇Mwili akili yake ni kama ya mtoto zaidi, hauna mantiki sana
Hivyo huwenda hapa katika jambo hili la kubadilisha akiba iwe haja basi huwenda ni katika mambo ambayo mwili haukutumia hesabu vizuri ?Hautumii hesabu vizuri.
Perfecto!Sijui kama nimekujibu mkuu ?
Na kama sijakujibu naomba urejee tena kuuliza ili tuende sambamba katika mjadala wetu huu.
mkuu naomba na mimi nikuulize swali kidogo kutokana na huu mjadala wetu.Perfecto!
Mwenye masikio (macho) na asikie (ajisomee) madini hayo 🤝
SWali langu liko hivi.., kama bado unakusanya, maana yake kwa akili yake (ya kuambiwa na mwenye nao) bado inaonekana chakula hakitoshi kukabili vita/dhiki ijayo
Znz hakuna kitu njaaa tuMisosiii- Zenji hawajibaniiii afu wanapenda kula vizurii zaidi
Wee kumbe!!Znz hakuna kitu njaaa tu