The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Mm sijawah ona mzenji qnamsambwanda .huwa matipwa tipwawamejaaaaaliwa neeema za allah cc sheikh kipoozeo
raha ya mshangazi uwe na steki aseee akipita na baibui lake raaaha kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sijawah ona mzenji qnamsambwanda .huwa matipwa tipwawamejaaaaaliwa neeema za allah cc sheikh kipoozeo
raha ya mshangazi uwe na steki aseee akipita na baibui lake raaaha kabisa
Ndiyo, unene uliopitiliza unaweza kusababisha magonjwa sugu kama pressure na stroke........ na kisukari pia kinahisianishwa saana na unene uliopitiliza uliodumu.mkuu naomba na mimi nikuulize swali kidogo kutokana na huu mjadala wetu.
Kuna sehemu ulisema hivi 👇👇👇👇
SWali langu liko hivi..
Je mkuu wewe unakubaliana na suala la kwamba unene uliopitiliza unaweza kusababisha magonjwa sugu kama vile stroke,pressure ama kisukari ?
Sawa sawa mkuu.Ndiyo, unene uliopitiliza unaweza kusababisha magonjwa sugu kama pressure na stroke........ na kisukari pia kinahisianishwa saana na unene uliopitiliza uliodumu.
Mwanamke akizaa anapumzika majukumu mengine,anabaki kulea uku akifakamia misosi non-stop.Unene wa Zanzibar unatokaba na kuzaa sana sio kula ,chunguza hilo unene anaopata mwanamke baada ya kuzaa .
Aangalue vizur single mother wanaozalia maghetoni, afu maisha Ni magumu. Matiti Kama ndala, wamekonda na kuchakaa Kama mbwa koko[emoji29]Kuzaa + kula sana = Unene
Azae halafu apige pasi ndefu unene atausikia tu.
Kuzaa sana afu wanazaa mashogaUnene wa Zanzibar unatokaba na kuzaa sana sio kula ,chunguza hilo unene anaopata mwanamke baada ya kuzaa .
Sahii kabisa,wapeleleze yote, na yale mengine kama bado yapo au yalishasambaratishwa kitambo. nadhani tamaduni zinawagarimu, mwanamke hafanyi kasi, toka asubuhi amefungiwa na bwanake asije akatoka nje wagalatia wakamwona wakamtongoza, hadi sokoni mwanaume ndio anaenda, kwanini asinenepe kama fukusi? kazi yake ni kula tu na kumsubiria jamaa arudi kwenye mihangaiko aje ampe unyumba, na aina za vyakula wanavyokula vina wanga mwingi mno, mara machapati, mikate, nyama imejaa mafuta, kalimati, maandazi,kababu,kabibi, urojo fujo tupu.
Lakini ukigonga chapati 3 asubuhi hiyo si ni moja kwa moja mpaka dinner jioni?Halafu sijui ni shetani au ni nini, juzi tu nmewaza kwa sauti nikajisemea "nipunguze kidogo kula" cha ajabu hiyo jana nmeamka na apetite ya hatari asubuhi nmekula chapati tatu... Shetani ana nguvu kuliko breakdown
Wee achana nao hao watafiti bwana...kuna raha ya kulisogeza tumbo ndio uione mbususuHalafu sijui ni shetani au ni nini, juzi tu nmewaza kwa sauti nikajisemea "nipunguze kidogo kula" cha ajabu hiyo jana nmeamka na apetite ya hatari asubuhi nmekula chapati tatu... Shetani ana nguvu kuliko breakdown
Nlikumiss we falahWee achana nao hao watafiti bwana...kuna raha ya kulisogeza tumbo ndio uione mbususu
Labda sio mimi.....🤣🤣🤣Lakini ukigonga chapati 3 asubuhi hiyo si ni moja kwa moja mpaka dinner jioni?
Tatizo lenu mnasema mnanimiss ila nikiwaomba mbususu hamnipi...sasa ndio kumisiana kwa vipi huko jamaniNlikumiss we falah
Sema ulipo nikuletee nikupe yotee, upige hadi ukome mwenyeweTatizo lenu mnasema mnanimiss ila nikiwaomba mbususu hamnipi...sasa ndio kumisiana kwa vipi huko jamani
Jibu ni: sababu za KIUSALAMA. Usalama wa uhai kwa kuhofia usipotezwe mazima.'For survival'Sawa sawa mkuu.
Swali la nyongeza kidogo mkuu..
Unadhani ni kwa nini bwana mwili anaacha mpaka unene unakuwa mkubwa na kusababisha magonjwa hayo wakati bwana mwili huyo anao uwezo kabisa wa kuepuka unene huo kutokana na akili aliyokuwa nayo bwana mwili huyu ?
Unadhani ni sababu gani inasababisha mwili mpaka anashindwa kucontrol uzito ambao baadae unaenda kusababisha magonjwa hatarishi ?
Nipo nanjirinji huku wee njoo uniletee mbususu hiyo tena huku tunapiga bonge la 3somsSema ulipo nikuletee nikupe yotee, upige hadi ukome mwenyewe
Yani niilete huko ipigwe vumbi??? Hapana kaka piga tu punyetoNipo nanjirinji huku wee njoo uniletee mbususu hiyo tena huku tunapiga bonge la 3soms
Shetani hana shida na mwili wa binadamu, ana shida na roho.Halafu sijui ni shetani au ni nini, juzi tu nmewaza kwa sauti nikajisemea "nipunguze kidogo kula" cha ajabu hiyo jana nmeamka na apetite ya hatari asubuhi nmekula chapati tatu... Shetani ana nguvu kuliko breakdown