Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Unampenda Hana kitu akipataSisi tunapenda mtu,tukimuelewa poa tu awe nacho asiwe nacho. 50 kasema nyinyi mnaangalia fursa mtu wa kawaida hamumshobokei.
Tunawaelewa lakini,maisha magumu.
Akiitataka utampa??? Just jokeNimempenda 50cent bure..!🤸
Siwezi mpaAkiitataka utampa??? Just joke
Huo ni uwongo 😁😁😁😁😁😁Na mimi nimempenda baada ya yeye kuonesha msimamo wake huo!
Raha muanze wote kuanzia chini na juu mfike mkiwa wote
Sawa mkuu, ila ni Siri yakoSiwezi mpa
Watu weuweeeeeee!!!!😂🤸Mtaachana tu
Usiwaambue watuWatu weuweeeeeee!!!!😂🤸
Usilie kwa sauti mpk majirani wakusikieStandard za kutumia shimo la bure kupata pesa kwani unafikiri we kwa njaa zako 50cent anaweza akaamini kweli unampenda kama sio unataka simu ya jicho tatu
Umekasirishwa Evelyn SaltAdate na pesa zake asituchoshe......
Nawakataa hawa mbwa hadi najipenda kwa nyodo zangu50 Cent alifunguka kuwa moja kati ya vitu vingi anavyovipenda ni kuwakataa wanawake wanaojirusha kwake, kwa sababu pia wanafurahia kukataa wanaume wa kawaida.
Anafanya hivyo kwa sababu anajua sababu ya wengi wa wanawake hawa kujirusha kwake ni kwa sababu ya umaarufu na utajiri wake.
Ikiwa hakuwa na hadhi, lakini mvulana wa wastani tu, hakuna hata mmoja wa wanawake hawa angeangalia upande wake. Anaelewa asili ya wanawake kuwa na wanawake, jinsi "upendo" wao ni wa fursa. Na anawachukulia kama wapenda fursa walivyo
Wanawake hawapendi wanaume, wanapenda thamani. Ndio maana wanakusanyika karibu na wanaume wa thamani ya juu kama mchwa kufuata sukari. Kuelewa mchezo
C&P from Facebook
Usilie kwa sauti mpk majirani wakusikie
Ndomana anawakataa malaya wanajiuza kinguvu inakinaisha nayo lishimo ukiwa unahukakika wa kulipata linaanza kinaisha mi hata siyataki tena 🤢🤢🤢🤮🤮🤮🤮Adate na pesa zake asituchoshe......
Kuwa mstaarabu sio gharama, hata kama haukufunzwa na wazazi unajifunza kwa jamii..... Jioni njema kijanaNdomana anawakataa malaya wanajiuza kinguvu inakinaisha nayo lishimo ukiwa unahukakika wa kulipata linaanza kinaisha mi hata siyataki tena 🤢🤢🤢🤮🤮🤮🤮