"50 Cent" kawapa ngumi za uso wanawake

"50 Cent" kawapa ngumi za uso wanawake

50 Cent alifunguka kuwa moja kati ya vitu vingi anavyovipenda ni kuwakataa wanawake wanaojirusha kwake, kwa sababu pia wanafurahia kukataa wanaume wa kawaida.

Anafanya hivyo kwa sababu anajua sababu ya wengi wa wanawake hawa kujirusha kwake ni kwa sababu ya umaarufu na utajiri wake.

Ikiwa hakuwa na hadhi, lakini mvulana wa wastani tu, hakuna hata mmoja wa wanawake hawa angeangalia upande wake. Anaelewa asili ya wanawake kuwa na wanawake, jinsi "upendo" wao ni wa fursa. Na anawachukulia kama wapenda fursa walivyo

Wanawake hawapendi wanaume, wanapenda thamani. Ndio maana wanakusanyika karibu na wanaume wa thamani ya juu kama mchwa kufuata sukari. Kuelewa mchezo

C&P from Facebook
Hoja yake ni ipi? Hivyo ndivyo saikolojia ya Wanawake Iko so kama hataki wanawake atapiga punyeto au?

No way out that is nature vinginevyo anaumwa.Bora angewakataa wale ambao walimkataa hapo kabla.
 
Nifah hebu njoo mara moja.

Mie siku hizi situmii insta jamani nikilog in tu naambiwa nimetumia 75% ya bando

Nimepita mara moja nkaona umbea, niffa ameachana na kiben ten????nimeshtuka

Hebu nipe habari kabla sijalia.
 
Nifah hebu njoo mara moja.

Mie siku hizi situmii insta jamani nikilog in tu naambiwa nimetumia 75% ya bando

Nimepita mara moja nkaona umbea, niffa ameachana na kiben ten????nimeshtuka

Hebu nipe habari kabla sijalia.
Hizi taarifa zina zaidi ya mwezi sasa hadi dada wa taifa niliona kasema binti kamuacha mume yuko busy na yule mchungaji mume akawa analia balaa.

Ila binafsi bado sijathibitisha, labda niingie chimbo mwenyewe.
 
Hizi taarifa zina zaidi ya mwezi sasa hadi dada wa taifa niliona kasema binti kamuacha mume yuko busy na yule mchungaji mume akawa analia balaa.

Ila binafsi bado sijathibitisha, labda niingie chimbo mwenyewe.
Jamani mbona kamtoa mbali, kamfungulia duka kampeleka china afu kambwaga🤣🤣.

Ila katika hilo penzi niffer ndio mme make ye ndio kila kitu ndio msimamia shoo. Pole zake kijana wale walokua wanamuona hendisamu mweupe wataanza kumuona robot Eunice kama kweli kaachwa
 
Mwanamke ni chombo cha starehe sasa kama yeye alikuwa anasaka upendo imekula kwake 🤣🤣🤣🤣
Yeye atumie hela kuwagegeda tuu...kama yule mrembo wa candy shop ukimpata aiseee 😋😋😋😋
Mwanamke starehe ni kwa huku afrika tu uko ulaya na marekani wanawake ni wa kukaa nao mbali kule mfumo jike umeshika hatamu ukimshika mwanamke bega tu bila ridhaa yake kesi ya ubakaji hii hapa. Na wanawake wakishaona una hela ndio wanajileta wanakuwekea mitego ukishika kiuno tu mahakamani wanakuchomoa mihela kibao. Cheki picha za messi akipiga na mwanamke tofauti na mkewe mikono anainyosha wima usikiri ni coincedence tu, pale anajua akishika bega tu zinaanza trip za mahakamani kujibu mashtaka ya ubakaji.
 
Sidhani kama kuna kiumbe aliyetoka ubavuni mwa Adamu akawa hana standards zake!!
Kila mtu anazo,, ila za mwanamke tu ndiyo zinachukuliwa negative.
Mambo ya type Mnayo nyie wanawake sisi tunajirusha na yeyote tu kikubwa nimempenda.
 
TAMKO LA WANAUME 28/08/2024

WAJUMBE KWA SAUTI MOJA LEO TUMEAZIMIA KUWA TUTAENDELEA KUWACHEZEA KAMA VYOMBO VYA STAREHE NA KUWAUMIZA TOTAKAVYO(BOSI HAPANGIWI) ,MPAKA ITAKAPO INGIA AKILINI MWENU YAFUATAYO
1.MAPENZI SIO BIASHARA,nkiwa ulaya kuna demu nilimtongoza club(ulaya club sio kwa malaya) nilienda vizuri tu muda wa kumsindikiza kwenye uber nikampa nauli asee aliwaka moto na kunipiga chini kuwa kama sikumleta club nampa nauli kumaanisha nini? Kwa kazi gani?
2.JUKUMU LA KUJILEA NA KUJITAFUTIA UTAJIRI NI JAMBO LAKO BINAFSI MPENZI ANATOA KAMA ZAWADI TU HATUTEGEMEI UMUOMBE GESI IMEISHA?INAMAANA WW NI UNAJIUZA ASINGEKUWEPO UNGEFANYA NN?
3.HAKUNA MTU ATAKUPA HELA YA BURE DUNIANI NJE YA BABA YAKO MZAZI ,MTU ANAKULIPIA HADI LUKU YA KWA MAMA YAKO AKIKUOMBA TIGO UNAKATAAJE?? AKIKURUDIA SAA 10 UNATOA WAPI NGUVU YA KUMFOKEA??NDO MAANA MNATUFUMANIA MNASAMEHE SIO MAPENZI BALI MNATAKA HELA ZA BURE
NINI CHA KUFANYA?
Haya hatuyasemi kuchukia wanawake ila kuwatoa kwenye hicho kivuri cha uongo,hebu oneni wenzenu wazungu walivyo na nguvu kwenye mahusiano ,sababu wanaleta mshahara mezani hata kama mume analeta 1m wewe basi leta laki 2.tena 1m unanunua mazaga ndani ile 2 yako unamtoa out mara 5 unamwambia on my bill ukwel tunawaonaga more sexy.
Na niwaongezee kitu wanaume pia huhonga hela nyingi kulingana kwanza na ww unazo nyingi,sasa nimekukuta kibandani unakula chips za buku na soda mwenge unakaa wapi unasema sinza ,ukiomba nauli ntakupa juu ya 10??ila nimekukuta mlimani city umejiagizia piza na coke na umepaki ka vitz ka mil 4 kako ,tumekaa unategemea nkupe chini ya laki nauli??
Nawaibia tena ukiondoa utamu wenu chumbani na umuhimu wenu ,pia wanaume sisi huwatumia kama silaha ya kujidaia ,ni kawaida tukikaa peke yetu kusimulia dah jana demu wangu yule tabata gari yake ime knock engine.(nia huwa sio kusimulia gari imeharibika huwa ni kusema ninadate na demu anagari)
Niwarudie wanaume wenzangu hivi ukiwa na washkaji ukawaambia demu wangu anakuja akaja na ka rav 4 kaka akaja mezani si ipo namna mnafeel powerful??
 
Yupo sahihi ila kesi za R Kelly wale wahuni wakiamua kukupa wanakupa tu walimpa Pac na baadae Diddy sijui yule Mzee mchekeshaji kesi yake iliishia wapi maana USA wakiona una fursa hiyo ndio kesi yao kubwa.
 
Tunatafuta pesa ili tufaidi maua yaliyopandwa bustanini na Sir God.
Huyu mjomba anawakanyaga vizuri tu na kila mtu hilo analijua, na ndio sababu mpaka leo na uzee ule hajaoa, awadanganye watoto wadogo sio sisi watu wazima na mavuzi yetu
 
Na mimi nimempenda baada ya yeye kuonesha msimamo wake huo!
Raha muanze wote kuanzia chini na juu mfike mkiwa wote
Hakuna raha yoyote kuaza wote,maana mkizinguana mnagawana pasu kwa pasu haijalishi umelala kwenye mawe marangapi!umelala sero marangapi,umestuka pingili za mgongo marangapi ukibeba magunia kilo mia na wewe una kilo 70,raha akija akukute ushajipangaa mpunga upo wa kutosha.
 
Back
Top Bottom