Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
😹😹😹 asituchoshe hajalazimishwaUmekasirishwa Evelyn Salt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 asituchoshe hajalazimishwaUmekasirishwa Evelyn Salt
🤮🤮🤮🤮fle.Kuwa mstaarabu sio gharama, hata kama haukufunzwa na wazazi unajifunza kwa jamii..... Jioni njema kijana
Hoja yake ni ipi? Hivyo ndivyo saikolojia ya Wanawake Iko so kama hataki wanawake atapiga punyeto au?50 Cent alifunguka kuwa moja kati ya vitu vingi anavyovipenda ni kuwakataa wanawake wanaojirusha kwake, kwa sababu pia wanafurahia kukataa wanaume wa kawaida.
Anafanya hivyo kwa sababu anajua sababu ya wengi wa wanawake hawa kujirusha kwake ni kwa sababu ya umaarufu na utajiri wake.
Ikiwa hakuwa na hadhi, lakini mvulana wa wastani tu, hakuna hata mmoja wa wanawake hawa angeangalia upande wake. Anaelewa asili ya wanawake kuwa na wanawake, jinsi "upendo" wao ni wa fursa. Na anawachukulia kama wapenda fursa walivyo
Wanawake hawapendi wanaume, wanapenda thamani. Ndio maana wanakusanyika karibu na wanaume wa thamani ya juu kama mchwa kufuata sukari. Kuelewa mchezo
C&P from Facebook
Tafiteni hela zenu.mapenzi sio biasharaSidhani kama kuna kiumbe aliyetoka ubavuni mwa Adamu akawa hana standards zake!!
Kila mtu anazo,, ila za mwanamke tu ndiyo zinachukuliwa negative.
Hizi taarifa zina zaidi ya mwezi sasa hadi dada wa taifa niliona kasema binti kamuacha mume yuko busy na yule mchungaji mume akawa analia balaa.Nifah hebu njoo mara moja.
Mie siku hizi situmii insta jamani nikilog in tu naambiwa nimetumia 75% ya bando
Nimepita mara moja nkaona umbea, niffa ameachana na kiben ten????nimeshtuka
Hebu nipe habari kabla sijalia.
50 anajielewa sio hao vichaa wengine.Kuna mahala nimesikia huyu jamaa hatumii kilevi chochote si pombe wala bange yaani jamaa ni sober pro max
Jamani mbona kamtoa mbali, kamfungulia duka kampeleka china afu kambwaga🤣🤣.Hizi taarifa zina zaidi ya mwezi sasa hadi dada wa taifa niliona kasema binti kamuacha mume yuko busy na yule mchungaji mume akawa analia balaa.
Ila binafsi bado sijathibitisha, labda niingie chimbo mwenyewe.
Adam na samsoni hawakua wajanja, huyo cent kawazidi eewhhh.50 anajielewa sio hao vichaa wengine.
Kajiwekeza. amejenga ukaribu na ma tycoon wakubwa. hatumii vilevi. mjanja wa mitego ya wanawake.
walikua mapimbi tu wakata mbuga wa miaka hiyoAdam na samsoni hawakua wajanja, huyo cent kawazidi eewhhh.
Mwanamke starehe ni kwa huku afrika tu uko ulaya na marekani wanawake ni wa kukaa nao mbali kule mfumo jike umeshika hatamu ukimshika mwanamke bega tu bila ridhaa yake kesi ya ubakaji hii hapa. Na wanawake wakishaona una hela ndio wanajileta wanakuwekea mitego ukishika kiuno tu mahakamani wanakuchomoa mihela kibao. Cheki picha za messi akipiga na mwanamke tofauti na mkewe mikono anainyosha wima usikiri ni coincedence tu, pale anajua akishika bega tu zinaanza trip za mahakamani kujibu mashtaka ya ubakaji.Mwanamke ni chombo cha starehe sasa kama yeye alikuwa anasaka upendo imekula kwake 🤣🤣🤣🤣
Yeye atumie hela kuwagegeda tuu...kama yule mrembo wa candy shop ukimpata aiseee 😋😋😋😋
Mambo ya type Mnayo nyie wanawake sisi tunajirusha na yeyote tu kikubwa nimempenda.Sidhani kama kuna kiumbe aliyetoka ubavuni mwa Adamu akawa hana standards zake!!
Kila mtu anazo,, ila za mwanamke tu ndiyo zinachukuliwa negative.
Hakuna raha yoyote kuaza wote,maana mkizinguana mnagawana pasu kwa pasu haijalishi umelala kwenye mawe marangapi!umelala sero marangapi,umestuka pingili za mgongo marangapi ukibeba magunia kilo mia na wewe una kilo 70,raha akija akukute ushajipangaa mpunga upo wa kutosha.Na mimi nimempenda baada ya yeye kuonesha msimamo wake huo!
Raha muanze wote kuanzia chini na juu mfike mkiwa wote
Oya ja rule unamsikia rafiki yako 50?Nakazia [emoji16]