50% of kenyans live under poverty line

50% of kenyans live under poverty line

Angola, Sudan ni nchi ziko na Uchumi mara dufu kuliko kenya lakini ziko kwa list ya LCD
Kwikwikwi. Wacha kunichekesha. So hiyo ya kuwa uchumi wa kati inaondoaje ukweli wa kuwa 46% ya wakenya wanaishi chini ya umaskini. Yaani ni makapuku.
 
Angola, Sudan ni nchi ziko na Uchumi mara dufu kuliko kenya lakini ziko kwa list ya LCD
Sawa niambie formula ipi inatumika kuwa uchumi wa kati?
 
😛😛😛really coz your link says otherwise ,wewe ndiye unakimbia , kumbe wadanganyika wanakosa elimu hivi , aibu sana

View attachment 419521
Hahaha unatoanishaje huu mse white in public hivi???

Anapenda kupost uongo leo amepata dawa yake


Kenya haiku qualify middle income status and still have more poor people than Tanzania haitamake sense kurank kenya middle income

Elimu tanzania shida
 
Simple answer go search what makes a country middle income economy and what makes a country an LCD uone


Tanzania mko mbali anyway JF will give you solace lakini ukweli wajulikana
 
Mbona una kimbia kimbia sana? Leta hiyo link hapa tuione. Ni wangapi wanaishi below poverty line. Wacha longo longo.
Request Rejected
Request Rejected

Look at the right, hapo ndo ni poverty levels by national standars lakini when you youse $1.9, Tanzania ranks lower, its unfortunet data ya Kenya from 2006 onwards haijawekwa, we would have proved this once and for all


Kenya Poverty line below $1.9 2005 ---- 33%
Kenya 1 1dollar.JPG

kenya 2 1 dollar.JPG



Tanzania below $1.9 2007 52.7%
Tanzania 1 1 dollar.JPG
Tanzania 2 1dollar.JPG







Now AFDB made calculation and ended with an african standard that anyone who spends above $2dollars is basically middleclass,

Kenya in 2005 had 58% living below $3 dollars ... Now Kenya has had one of the fastest rising middleclass on the continent since then, so the number of people living above $3 have increased tremendaslouly
Kenya 3.JPG






In Tanzania in 2011, 76.1% lived below $3 a day, i would imagin the number has decreased since then, but it cant be past that of Kenya..
Tanzania 3 3 dollar.JPG





Haya tuone watu wakichekacheka
 
Simple answer go search what makes a country middle income economy and what makes a country an LCD uone


Tanzania mko mbali anyway JF will give you solace lakini ukweli wajulikana
Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe? Tumesema kenya 46% ya wakenya wanaishi chini ya umasikini. Ni makapuku wa kutupwa. Wewe unakuja kujivuna mpo middle ecome? Nataka ujaribu ku prove wrong kwa data sio bra bra.

Masifa ya kijinga sio. Nimekuambia Uchumi is just simple arithmetic. Ni pato la taifa gawanya kwa pupulation.

Kama kuna watu 100 na nyie population yenu ni 1000 huku 900 ni maskini wa kutupwa halafu 100 ni matajiri wa kufa mtu.

Kwahiyo 900 pato lao ni $2 kwa siku huku 100 ni $5000 kwa siku so kwa siku pato litakuwa 5000x100 na 2x900
Total itakuwa $51800
Utajiri wao sasa itakuwa ni 51800/1000
So jibu litakuwa ni kwa siku nchi hiyo pato la kila mtu ni $51.8

Huku umasikini wa kutupwa ni 900.

Kenya mnaichekesha sana.
 
Request Rejected
Request Rejected

Look at the right, hapo ndo ni poverty levels by national standars lakini when you youse $1.9, Tanzania ranks lower, its unfortunet data ya Kenya from 2006 onwards haijawekwa, we would have proved this once and for all


Kenya Poverty line below $1.9 2005 ---- 33%View attachment 419535
View attachment 419536


Tanzania below $1.9 2007 52.7%
View attachment 419537 View attachment 419538






Now AFDB made calculation and ended with an african standard that anyone who spends above $2dollars is basically middleclass,

Kenya in 2005 had 58% living below $3 dollars ... Now Kenya has had one of the fastest rising middleclass on the continent since then, so the number of people living above $3 have increased tremendaslouly
View attachment 419544





In Tanzania in 2011, 76.1% lived below $3 a day, i would imagin the number has decreased since then, but it cant be past that of Kenya..
View attachment 419539




Haya tuone watu wakichekacheka
I think you missing the point.
Hapo reports zote hizo zinaongelea level ya umaskini. Hapa tunaongelea idadi ya watu wanaoishi chini ya umaskini.
Kama kuna watu 100 na nyie population yenu ni 1000 huku 900 ni maskini wa kutupwa halafu 100 ni matajiri wa kufa mtu.

Kwahiyo 900 pato lao ni $2 kwa siku huku 100 ni $5000 kwa siku so kwa siku pato litakuwa 5000x100 na 2x900
Total itakuwa $51800
Utajiri wao sasa itakuwa ni 51800/1000
So jibu litakuwa ni kwa siku nchi hiyo pato la kila mtu ni $51.8
 
Sammuel999 Hizo ndio takwimu baba. Takwimu hazifanywi kila sekunde. Unatakiwa ukubali ukweli.
Sawa?

Leta basi zako unazoziamini kama unaikataa World Bank na IMF
Sijui utamwamini nani.
Kama vipi fanya utafiti wako.
Mnadanganywa tu nyie Kenya ni maskini wa kutupwa. Nyie ni makapuku.
 
Also Rural poverty gap at national poverty lines (%)
Kenya 17
Tanzania 7

Kwahiyo maskini wa kijijini ni maskini haswaaa huko kenya.
 
Hehehe, haya majamaa kumbe ni mafukara kiasi hiki..
Mh, God bless Africa
 
game over n Annael Ndo maana tunawalisha huko Kenya kuna feudalism wanakaa kipande system unakuta estate ina wapagazi na landlord often Landgrabber Kikuyus wanakuja kuchukua rent ya kulima na nyumba (often shacks) kila mwisho wa mwezi! Ndo maana wanalilia ardhi yetu kila siku! Maana yao Kikuyus na white people wamechukua kulima maua na miraa.
 
Magufuli atawanyoosha (atanyorosha) hawa stray dogs (mbwa koko).
 
Back
Top Bottom