Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ni shuka sio carpert hilo 🤣🤣🤣Niuzie hilo kapeti mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni shuka sio carpert hilo 🤣🤣🤣Niuzie hilo kapeti mkuu!
Carpet kama anataka 80k namuachia 6x9 jipyaNi shuka sio carpert hilo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani hilo kwenye picha ni kapeti au ni sakafu, mbona halionekaniCarpet kama anataka 80k namuachia 6x9 jipyaView attachment 1956550
Huwezi kuliona pengine hujawahi miliki carpet kama hilo la gharama, unaona gizaKwani hilo kwenye picha ni kapeti au ni sakafu, mbona halionekani
Si kweli!Yupo uchumi wa kati chini.😝😝😝😝😝Pole sana ndugu yangu navuta picha jinsi life lilivyokuwia tight,kufikia mpaka kuuza viatu vyako mwenyewe sio Jambo la kawaida.
Ndugu punguza dharau, kama wewe sio mlengwa havikufai bora ukae kimya.
Naamini hata nusu ya pair za viatu nilivyonavyo wewe huna.
Bora ukae tu kimya
Mali bado ipo
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Acheni longolongo nyie hebu mfikieni jamaa bei
naona kimegeuka kijiwe cha matani [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Haya ndio mabuti ya jeje au tusubirie mengine
Carpet kama anataka 80k namuachia 6x9 jipyaView attachment 1956550
Unachekesha ndugu kwanza mimi sio mzee hata 25 sijakamilisha.Uko uchumi wa kati unamiliki na kapeti manyoya rangi ya pink wewe mzee wetu una balaa
Naona umekuja na I'd nyingine, yaa ni vya mwalimu wa msingi. Hiko hapo nampelekea mwenye uhitaji.Viatu kama vya walimu shule za msingi
Maskini wako na tabia shupavuRoho mbaya haijengi
Masikini wanaroho mbaya
###Sold out###