INAUZWA 50k nakuachia vyote pure leather bei ya kutupa

INAUZWA 50k nakuachia vyote pure leather bei ya kutupa

Ni shuka sio carpert hilo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Carpet kama anataka 80k namuachia 6x9 jipya
20210928_204253.jpg
 
Ndugu punguza dharau, kama wewe sio mlengwa havikufai bora ukae kimya.
Naamini hata nusu ya pair za viatu nilivyonavyo wewe huna.
Bora ukae tu kimya

Mzee wa Buti, vipi haujauza buti tatizo buti yenyewe imechokachoka
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Acheni longolongo nyie hebu mfikieni jamaa bei
naona kimegeuka kijiwe cha matani [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Mzee wetu anauza buti elfu hamsini
 
Uko uchumi wa kati unamiliki na kapeti manyoya rangi ya pink wewe mzee wetu una balaa
Unachekesha ndugu kwanza mimi sio mzee hata 25 sijakamilisha.

Nikwambie tu pair za viatu nilivyonavyo hata robo yake tu huna.

Hilo buti kwa umasikini ulionao huwezi kwenda ukakinunua dukani.

Hilo kapeti gharama yake unaweza kufa hujawahi limiliki,
Kwa ujinga unaoandika humu unaweza kuta nijitu zima above 30 inasikitisha sana
 
Masikini masikini wenye pair moja ya viatu ndio wanapiga kelele.
Mtu anaponda carpet ambalo hata mama yake mzazi atakufa hajawahi liona huko nanjinji
 
Roho mbaya haijengi
Masikini wanaroho mbaya

###Sold out###
 
Mzee wangu Buti afadhali umeuza sasa ukale bata, mzee wa kumiliki viatu vingi na Buti la jeje
 
Back
Top Bottom