INAUZWA 50k nakuachia vyote pure leather bei ya kutupa

INAUZWA 50k nakuachia vyote pure leather bei ya kutupa

Mzee wangu Buti afadhali umeuza sasa ukale bata, mzee wa kumiliki viatu vingi na Buti la jeje
Nimefatlia post zako inaonesha kabisa umri umekutupa mkono. Ngoja niachane na wewe
 
Nakufaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tajiri mwenye miradi anapata wapi muda wa kucomment upupu kwenye nyuzi za watu,
 
Jf imejaa wapumbavu sana. Mtu anafanya biashara wewe unamdharau!
Humjui hakujui, amekukosea nini?!
 
Back
Top Bottom