Tetesi: 5g network ndio Corona

Wakija kufunga 7G tutakuwa tunatembea na mitungi ya oxygen

Sent from my I phone
 
Corona sio 5g ila pia 5g ni hatari ina mionzi mikali sana inayoathiri seli za mwili wa binadamu. Uk nafikiri na USA wamezuia kutumika 5g kwao pending investigation.

Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
 
Tumeshuhudia Youtuber wakifanya testing ya 5G kwenye hizo nchi ulizotaja...
Corona sio 5g ila pia 5g ni hatari ina mionzi mikali sana inayoathiri seli za mwili wa binadamu. Uk nafikiri na USA wamezuia kutumika 5g kwao pending investigation.

Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
 
5G itasababisha surfing at explosive speed na hivyo kuwarahisishia hao waabudu ibilisi mipango yao ovu wanayopanga juu ya binadamu na dunia. Hii ishu ya korona inaweza kuwa turning point ya matukio makubwa sana duniani, mithili ya lile tukio la kuwatoa waisraeli kule utumwani Misri, tuendelee kuwa macho...
 
Exactly, sio kwamba walikuwa hawajui kwamba 5G ina madhara wanataka kuifanyà iyo covid 19 iwe big deal kama AIDS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…