This is never true...smartphones haziko designed kupokea signals direct from the satellite. Lazma kuwe na satellite dish na rauter.Hawa Starlink, kule Marekani wamefanya majaribio Kwa mafanikio ya kuunganisha Internet yao na Simu za android. Kwa maana kwamba walichukua baadhi ya siku za android na kuunganisha na internet yao na majaribio yao yalifanikiwa.
Sasa fikiria unakuwa na simu inasoma internet ya Starlink moja kwa moja, badala ya kutumia minara ya simu. Nafikiri tunakokwenda kunafurahisha zaidi.
"Starlink haitokuwa mtandao wa kila mtu" sahihi kabisa. Watakao enjoy nahisi ni wabunge maana najua kwa ulimbukeni wao zitafungwa bunge Zima.Sijajua rates za Starlink zitakuwa ni ni kiasi gani wakishaanza hapa, ila rates kwa nchi za wenzetu. Ni ghali zaidi ya bei za bundle tunazonunua hapa.
Mfano 50GB ni dola 50 ambayo hapa mjini kwa $50 ninapata unlimited fiber internet ya Vodacom. Netsolution fiber internet unlimited napata kwa 69k
Starlink hautakuwa mtandao wa kila mtu. Wako expensive unless waje na special package ya Kwetu huku.
Acha ufara basiStarlink itawanufaisha wa vijijini TU tatizo tunafata mkumbo. Vijijini Kwa vile minara haijafika sana wao wanahuitaji mkubwa wa starling ila sisi wa mijini hatuna shida mbona?
Kuhusu bei za bando serikali pia inachangia. Kiufupi Hilo ni swala mtambuka sio watoa huduma wanajiamulia. Hata starlink watapandisha huduma TU usizani hizo figures hapo juu za bei za mabando Yao zitabaki hivyohivyo. Zitapanda mtaanza Tena kutoa milio.Inawezekana wewe ni Mjinga ama ni Mpumbavu,nothing more nothing less
Facts:-kuhusu mitandao ya simu*
1.Mitandao ya simu ina miaka zaidi ya 20 imeshindwa kufikisha 3G tu,vijijini itakua hio 5G,Ok tuwape miaka 50 na ngapi
2.Mitandao ya simu inatoza GB 1=2100/=,hivi si ni mpumbavu pekee atafurahia huu usengerema
3.mitandao ya simu inaweza zimwa na wanasiasa,kumbuka Kuna watu wnaafanya aggressive business online,hawaitaji network breakdown
Facts kuhusu Starlink
1.GB 50=elfu 30,yaani 1G=600Tsh,ni mpumbavu kama wewe ndio utakataa hii faida
2.unaweza access 10MBPS hata ukiwa maporini ambapo mitandao uchwara haifiki
3.ukilipia mfano hio GB 50,unaweza unganisha devices zaidi ya 200
4.wanasiasa wapenda madaraka hawawezi kukata network
Je wewe ni mjinga ama ni mpumbavu?
Nani kakudanganya, ujue unaweka umuhimu ambao haupo, hivi game online wangapi wanacheza? Video call usidanganye watu, 100ms unaongea video call vizuri sana, webrtc ambayo ipo kwenye browser iliyotengenezwa kwa ajili ya live chat inatumia hadi ping ya 100ms vizuri sana ...Kuna live video service na service ambazo zina buffer.
Service zote zinazo buffer kaMa youtube Netflix etc hazidhuriwi na latency
Vitu vyote ambavyo ni real time kama video call, kuangalia tv online, kucheza games etc vinadhuriwa na latency
Pia usitupige kamba 500ms ni horrible latency internet inakua kama konokono.
Pia Tofautisha baina ya wewe kutengeneza stream na mtu ku access live stream ni vitu viwili tofauti visivyo na mahusiano.
Starlink hata weekend nikiwa beach niatumia we na fiber yako utawaambia waipeleke hadi beach?Unaweza uka funga Fiber nyumbani na ofisini kwa bei ndogo kushinda Starlink moja.
Starlink anapokomesha ni uwezo wa ku move nayo, ukiingia na starlink yako kwenye treni kuelekea Morogoro unaperuzi mwanzo mwisho... Ukipanda meli unaperuzi tu, hata ukiwa porini ni ku surf tu... Kwa speed ya 50Mbps hadi 250Mbps, 250Mbps inatosha sana, hata 4G zenu hazifiki hapo...5G zetu ni za mchongo, nchi nyingine unapata 700Mbps, starlink haisogei hapo.
Starlink ni option nzuri kwa mazingira ambayo hakuna 5G au Fiber.Starlink anapokomesha ni uwezo wa ku move nayo, ukiingia na starlink yako kwenye treni kuelekea Morogoro unaperuzi mwanzo mwisho... Ukipanda meli unaperuzi tu, hata ukiwa porini ni ku surf tu... Kwa speed ya 50Mbps hadi 250Mbps, 250Mbps inatosha sana, hata 4G zenu hazifiki hapo...
5G ya Bongo n 4G iliyovuta bangiBongo hamna 5G
Kabla ya kuongelea 5G kwanza angalia takeimu za watumiaji wa Internet kwenye bara la Afrika ni asilimia 37 pekee kati watu zaidi ya bilioni 1.3. Unafikiri share ya watanzania wanaotumia Internet ni wat wangapi?Salamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Sent using my Iphone 16 pro max
Kama unataka data za watumiaji Internet chukua Tcra, data zote za Nje hazina maana kwetu sababu hawajui mifumo yetu. Mfano sisi tunashare ip adress, ip moja mnatumia watu zaidi hata ya 100 kawaida watu wote hao kuwa counted kama mtu mmoja.Kabla ya kuongelea 5G kwanza angalia takeimu za watumiaji wa Internet kwenye bara la Afrika ni asilimia 37 pekee kati watu zaidi ya bilioni 1.3. Unafikiri share ya watanzania wanaotumia Internet ni wat wangapi?
View attachment 3154934
4G yenyewe kwa bara la Afrika imeenea kwa asilimia 64 pekee. Hapa nchini 4G utaikuta kwenye majiji na baadhi ya miji michache, ukitoka kilomita 20 tu unakutana na 3G kushuka chini.
View attachment 3154935
Data uchwara. Kila robo ya mwaka TCRA Huwa wanatoa takwimu kuhusu ufanisi na udhaifu wa MNOs wetu download pdf uone takwimu tulivyopiga hatuaKabla ya kuongelea 5G kwanza angalia takeimu za watumiaji wa Internet kwenye bara la Afrika ni asilimia 37 pekee kati watu zaidi ya bilioni 1.3. Unafikiri share ya watanzania wanaotumia Internet ni wat wangapi?
View attachment 3154934
4G yenyewe kwa bara la Afrika imeenea kwa asilimia 64 pekee. Hapa nchini 4G utaikuta kwenye majiji na baadhi ya miji michache, ukitoka kilomita 20 tu unakutana na 3G kushuka chini.
View attachment 3154935
Chief kwenye masuala ya teknolojia naheshimu sana michango yako kwa sababu binafsi sina ufahamu wa kutosha.Kama unataka data za watumiaji Internet chukua Tcra, data zote za Nje hazina maana kwetu sababu hawajui mifumo yetu. Mfano sisi tunashare ip adress, ip moja mnatumia watu zaidi hata ya 100 kawaida watu wote hao kuwa counted kama mtu mmoja.
According to Tcra watu milioni 39 wanatumia Mobile data, labourforce ya Tanzania ni watu Milioni 31 (miaka 15 hadi 64). So ni asilimia kubwa tu tupo covered.
Halafu tumia tu akili ya kuzaliwa je ni kweli Africa kila watu watatu mmoja tu ndo anatumia internet? Mtaani kwenu watu wenye whatsapp ni wachache kuliko ambao hawana?
Sina utaalam wa masuala ya teknolojia ingawa napenda kufuatilia kwa kuwa teknolojia inakuwa siku hadi siku.Data uchwara. Kila robo ya mwaka TCRA Huwa wanatoa takwimu kuhusu ufanisi na udhaifu wa MNOs wetu download pdf uone takwimu tulivyopiga hatua