Kuna live video service na service ambazo zina buffer.
Service zote zinazo buffer kaMa youtube Netflix etc hazidhuriwi na latency
Vitu vyote ambavyo ni real time kama video call, kuangalia tv online, kucheza games etc vinadhuriwa na latency
Pia usitupige kamba 500ms ni horrible latency internet inakua kama konokono.
Pia Tofautisha baina ya wewe kutengeneza stream na mtu ku access live stream ni vitu viwili tofauti visivyo na mahusiano.
Nani kakudanganya, ujue unaweka umuhimu ambao haupo, hivi game online wangapi wanacheza? Video call usidanganye watu, 100ms unaongea video call vizuri sana, webrtc ambayo ipo kwenye browser iliyotengenezwa kwa ajili ya live chat inatumia hadi ping ya 100ms vizuri sana ...
Hata zoom protocol walikuwa wanatumia ni webrtc kwenye app yao ya browser, na ilifanya vizuri sana, na kufika hadi ping ya 500ms..
Ndio maana nakuambia labda anayetumia UDP ndiye atakwama , tena UDP inakwama hata kwenye 30ms, UDP protoc doesnt care kwamba packets zimefika zote au la, lakini kuna protocol za kisasa ambazo zinahakikisha packets zote zinafika, na kama hazijafika inatoa taarifa zinatumwa tena...
Hapo ni suala la protocol inayotumika...
Live video call nani kakudanganya? 100ms kwa live video inatosha vizuri sana... Whatsapp hawatumii udp kwenye video call...
Hata internet decoders sasa hivi hazitumii UDP, acha kujidanganya... uDP sio reliable hata kwa latency nzuri... Itakuwa nzuri labda kwa local network...
Na mwisho tambua latency haiepukiki, nguvu ya kifaa inachangia latency, unapo record lets say instagram live video, tambua kifaa kita process video, au ku convert, then video itatumwa kwemda kwenye cloud, itakuwa processed, halafu itatumwa kwenye kifaa kingine, napo itakuwa processed tena, hapo tayari kuna delay imeongezeka...
Acha kuongopea watu mkuu... Hata whatsapp wanasema 100ms ni fair kabisa kwa live video call, acheni siasa kisa kulinda biashara zenu...