Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Putin ajaanzisha vita ila Alie anzisha ni huyu myahudi wa Ukraine kwa kutumiwa na mabeberu.Putin ni myahudi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Putin ajaanzisha vita ila Alie anzisha ni huyu myahudi wa Ukraine kwa kutumiwa na mabeberu.Putin ni myahudi?
Khamenei bado ni kiongozi wa ngazi ya juu Iran, hajaondoka bado.Umeamsahau
1. Mao Zedong wa PRC
2. Mfalme Leopard wa Ubelgiji, huyu pimbi aliwanyanyasa na kuwatesa sana ndugu zetu wa DRC
3. Ayatollah Khimeini alikuwa mtawala wa Iran
Huyo mchonga meno alikuwa mbaguzi sana! Nyerere he was evil than AminUwezi kuamini jumuia ya mwanzo ya EA ilivunjika kwa sababu tu Mwalimu hakuwa tayari kukaa meza moja na Field Marshal Idd Amin.
Amini akaona isiwe tabu, tugawane mbao. Just like that. Jumuiya ikavunjika.
NdiyoKwa hiyo zile stori za kuwa dump watu kwenye mto kagera ilikuwa ni fix?
Halafu angefuatia mchonga meno wa mwitongo butiamaBora angekuweka wewe kwenye list sio?
Basi watakuwa majina yanashahabiana, Maana kiongozi wa ngazi ya juu Iran wa sasa anaitwa Ayyatollah al-KhameneiAlishafariki tangu 1998.
Nandio unakuta mtu anasema mtoe idd amin alikua anaswali sala tano sio muuaji muweke nyerere, sasa namwingine akisema nyerere alikua anasali rosali kila siku tumtoe itakuaje.Kabisa mkuu!
They are not objective..
Wanaangalia kila jambo kwa muktadha wa dini tu.
Wanatetea muovu yeyote kwa kuwa tu ni wa dini yao!!!
Kwa maneno yako tu naweza fahamu imani yako ya kidini.Ubaya wa Amin uko wapi? Au filamu ya last king of Scotland imekuzuzua? Amin alikuwa evil kumzidi nyerere?
Wala hujakoseaUngeweza kuwa baby wa Idd amini?[emoji1787][emoji1787]
Yan watu wanaotaja dini hua wanaongoza kuharibu nyuzi humu
Ubaya wa Amin uko wapi?Kwa maneno yako tu naweza fahamu imani yako ya kidini.
Hizo za waganda kutusaidia nazo ni propaganda tuKama ni kweli, kwa nini waganda walisaidia sana wanajeshi wa Tanzania kumfurusha Amin dada fasta?!
WAGANDA mbona nao wanasema Amini alikuwa katili sana? ni kwa nini Amini alipofariki hakuletwa kwa heshima kuzikwa nchini kwao baada ya kufa? Nyerere ndio alimzuia?Kweli mkuu! Nyerere alimchafua Sana Amini
WAGANDA mbona nao wanasema Amini alikuwa katili sana? ni kwa nini Amini alipofariki hakuletwa kwa heshima kuzikwa nchini kwao baada ya kufa? Nyerere ndio alimzuia?Yooote uliyoandika yanaweza kuwa sawa. Japo wengine wamesingiziwa. Mf ni Idd Amin. Alichafuliwa sana na nchi za magharibi wakimshirikisha Mwalimu Nyerere.
Amin alikuwa bora na anabaki kuwa bora kuliko rais yoyote aliyewahi kuitawala Uganda.
Absolutely true
Jamaa lilikua msitari wa mbele kuhakikisha wanyonge wanaipata haki yao ikiwemo Palestina
Huyo Idi Amin anafanya nini hapo? Anawashinda wale watawala makatili wa kizamani kama kina Ghenghis Khan?
WAGANDA mbona nao wanasema Amini alikuwa katili? ni kwa nini Amini alipofariki hakuletwa kwa heshima kuzikwa nchini kwao baada ya kufa kama alikuwa akipendwa? Nyerere ndio alimzuia?Kwa hiyo zile stori za kuwa dump watu kwenye mto kagera ilikuwa ni fix?
UONGO..Putin ajaanzisha vita ila Alie anzisha ni huyu myahudi wa Ukraine kwa kutumiwa na mabeberu.