7 natural laws of business

Ndugu mleta mada, unaona shida gani kuandika neno/jina Mungu?
Nilishaeleza kwenye post za uko nyuma ila unaweza kuingia hapa www.chabad.org pale kwenye search andika why G-d and not God........kufupisha process,naandika M-ngu au G-d kuonyesha heshima na ni lazima nianze na capital later kuonyesha ukuu wake.
 
ndugu Benny Haraba
 
Mimi binafsi ni muumini sana wawangaga ila katika maisha yangu sijawahi kukutana na huo ugaga wa kunitaka kumwanga damu ya aina yoyote nilichwaja chale na nina dawa huwa naonga na kuchoma kwenye shikome. nilipeleka ngombe kwa mganga kama fee ya matibabu yale. mambo ya damu sijui ndagu ni mambo ambayo sitaki kabsa kuyasikia.
 
Hao waganga kawaambie unataka utajiri, sio kutatua tu changamoto za kawaida, halafu urudi utupe mrejesho
 
Shy land .....ukichanjwa chale,unatokwa damu....issue ni damu ipatikane sio lazima utoe kafara.
 
Shy land .....ukichanjwa chale,unatokwa damu....issue ni damu ipatikane sio lazima utoe kafara.
Tanzanian Dream mimi binafisi nimekuwa nikitafuta sana maarifa haya yakiroho kupitia sehemu zote kwa kuwa kwasasa sijafugwa na imani yoyote.,? katika hatua zangu za awali pande zote mbili kuna mashariti lakini sijawahi kuona kwenye biblia ikituasa kuacha kutumia dawa za miti kama njia ya kujikinga na maadui zetu katka ulimwengu wa kiroho.
 
Naomba ufafanuzi zaidi hapo kwenye no blood no access.... Asante sana Mkuu

Neno: Bibilia Takatifu​

Mathayo 26: 27 Kisha akachukua kikombe, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni nyote katika kikombe hiki. 28 Hii ni damu yangu ya agano ambayo inamwagika kwa ajili ya wengi ili wasame hewe dhambi.
 
Atakachokujibu bwn Benny ....ongezea na hii

Takwimu zinaonyesha 70% ya billionares duniani ni selfmade,only 30% ndio wamerithi.

So sio lazima utokee kwenye rich family ndio utoboe kwenye entrepreneurship,you can start from zero and become a hero.
 
Tunashukuru sana kwa kuchukua muda wako wa thamani, kuacha kufanya mambo yako na kutupa sisi maarifa haya ambayo ni adimu sana maana wengi waliofanikiwa huwa hawapendi kushea siri zao za mafanikio lkn kwako umekua tofauti, hakika M-ngu unayemuamini aendelee kukupa haja ya moyo wako, akubariki wewe na uzao wako🙏
 
Nashukuru sana kwa maneno ya faraja....🙏🙏🙏🙏🙏
 
Msweet vp umeshapata ufafanuzi?
 
Atakachokujibu bwn Benny ....ongezea na hii

Takwimu zinaonyesha 70% ya billionares duniani ni selfmade,only 30% ndio wamerithi.

So sio lazima utokee kwenye rich family ndio utoboe kwenye entrepreneurship,you can start from zero and become a hero.
hilo neno 'self made' ni la kupotosha watu tu

kina bill gates, elon musk, mark zuckerberg... wote wealthy backgrounds
 
Nilishaeleza kwenye post za uko nyuma ila unaweza kuingia hapa www.chabad.org pale kwenye search andika why G-d and not God........kufupisha process,naandika M-ngu au G-d kuonyesha heshima na ni lazima nianze na capital later kuonyesha ukuu wake.
Capital letter ni order sio option. Hata jina lako linaanza na herufi kubwa. Nimecheki hiyo link sijapata majibu. Zaidi nimejua ni tovuti ya wayahudi. Na kama ni kufupisha hapakuwa na sababu ya kuweka - maana ukiandika Mungu na M-ngu, yako inachukua muda zaidi. Nimeelewa kuwa yupo Mungu, mungu, na huyo M-ngu. Sisi wetu ni Mungu
 
Mkuu nice thread, nimekufatilia kuanzia thread ya "THE DARK SIDE OF BUSINESS", unaweza kutoa maelezo zaidi ya namna ya kutumia Damu ya mwana wa Mungu kwenye biashara zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…