Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Hahaha mkuu dunia ina mambo hii!!🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mkuu dunia ina mambo hii!!🤔🤔
Hatari sana aiseeeHahaha mkuu dunia ina mambo hii!!
Itakuwa poa sana. We'll be waitingThis January 2025
Nimeanza ku implement this 7 Natural Laws
Ntakuwa naleta report every quarter
Hatua gani za ulinzi uliset?Uzi umenikumbusha miaka kama 10 iliyopita Niko na Mzee tunauza grocery kuna vitu baadhi nilikuwa naona ila kuuliza nauchuna sijui ni utoto,
Kwa kipindi hicho glocery zilifunguliwa kama ushindani Kwa mida tofauti lakini haikutoboa hata 1 na wahudumu ni wanaume japo majirani walitumia pisi Kali na vimini vyao,
Kuna kiofisi kingine kama 2016 hesabu zilianza kuvurugika tukachukua hatua za ulinzi nimemaliza kuset kesho yake mida ya mchana namuona mbabu Fulani anakuja kafika mbele ya ofisi kachunguliiia hakuongea chochote akageuza alikotoka
Nashukuru saana Kwa Uzi huu umenikumbusha mengine Mengi kiongozi ubarikiwe, NAANZA SASA
Kuna vitu tulipewa nikaambiwa kimoja niweke kwenye shelfa vingine nichome vilkuwa vimeandikwa kila kimoja na siku yake ya kuchomwaHatua gani za ulinzi uliset?
Safiii! Hope mambo yanaenda sawa hadi sasa.Kuna vitu tulipewa nikaambiwa kimoja niweke kwenye shelfa vingine nichome vilkuwa vimeandikwa kila kimoja na siku yake ya kuchomwa
Tanzanian Dream kwa kiwango kikubwa cha uzoefu na enlightenment level uliyopo....why usianzishe back up organization mkuuHapa tanzania,kwenye tafiti zangu nimeona hawa jamaa wa dark side,wana back up kubwa sana kuliko watu wa light side,hii haimaanishi kuwa nguvu ya M-ngu wa light side ni ndogo..noo..namaanisha watu wa M-ngu hawana organisations za kiroho,hawana divine associations ambazo zinge act kama back up spiritually and financially,hizi back up zipo nyingi sana in the dark side,naongea haya kwa uchungu sana kwasababu mzee wangu,mzee fabi alikuwa na ndoto ya kuanzisha back up organization hapa bongo lkn mpk anakufa hakufanikisha ndoto yake.
Tanzanian Dream kwa kiwango kikubwa cha uzoefu na enlightenment level uliyopo....why usianzishe back up organization mkuuHapa tanzania,kwenye tafiti zangu nimeona hawa jamaa wa dark side,wana back up kubwa sana kuliko watu wa light side,hii haimaanishi kuwa nguvu ya M-ngu wa light side ni ndogo..noo..namaanisha watu wa M-ngu hawana organisations za kiroho,hawana divine associations ambazo zinge act kama back up spiritually and financially,hizi back up zipo nyingi sana in the dark side,naongea haya kwa uchungu sana kwasababu mzee wangu,mzee fabi alikuwa na ndoto ya kuanzisha back up organization hapa bongo lkn mpk anakufa hakufanikisha ndoto yake.
emmarki ...blue print ya hiyo kitu ninayo,it's just a matter of time.Tanzanian Dream kwa kiwango kikubwa cha uzoefu na enlightenment level uliyopo....why usianzishe back up organization mkuu
Yes, Ili amuenzi mzee FabiTanzanian Dream kwa kiwango kikubwa cha uzoefu na enlightenment level uliyopo....why usianzishe back up organization mkuu
Cant wait to be a first female memberemmarki ...blue print ya hiyo kitu ninayo,it's just a matter of time.
I bet huyu bwana ni Mhaya😂😂Yes, general electronics repair, 1999-2024, an enduring business
Wrong betingI bet huyu bwana ni Mhaya😂😂
NaamMimi naamini kabisa biashara ni kiroho zaidi, nilishawahi kupigwa hasad (evil eye) kwenye biashara, yaani wateja wanakupita kamà jiwe vile, mwisho nikafunga. Hiyo ilikuwa ni baada ya watu wawili kunitamkia kwamba "yaani jengo zima wewe ndio unaongoza kwa kuuza". Laiti ningelijua hii siri ya damu ya Mwana wa Mungu mapema.