Au unamaanisha kifo Cha Yesu msalabani?Hii issue imekaa kiimani zaidi na imani huja kwa kusikia,leo umesikia kwangu kesho utasikia kwa mwingine, mwisho wa siku una connect dots unapata total revelation.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au unamaanisha kifo Cha Yesu msalabani?Hii issue imekaa kiimani zaidi na imani huja kwa kusikia,leo umesikia kwangu kesho utasikia kwa mwingine, mwisho wa siku una connect dots unapata total revelation.
Ni kweli kabisa my sisKwa kabla hujafungua biashara unatakiwa utafute ulinzi wa kiroho
DSM kakaUko mkoa gani?
Niliyo andika kwa kimombo inaitwa HARABA Tool, unadhani tafsiri ya kiswahili iweje mdau
Nikishatulia, nitaipitia na kisha tujadili tuiiteje!Niliyo andika kwa kimombo inaitwa HARABA Tool, unadhani tafsiri ya kiswahili iweje mdau
Sawa ila nimeliondoa Leo tarehe 12-01-2025Nikishatulia, nitaipitia na kisha tujadili tuiiteje!
Huwezi kununua range rover kwa kanuni za shuleni,hizi ndio zenyewebro ina maana kanuni za biashara zinazofundishwa shule hazina nafasi kabisa? ni mambo ya light side na dark side tu?
dah.
mbona wanasema business can be boiled down to a science
Chukua ata maji yako ya kunywa...yanenee kwamba unaya badili kuwa damu ya Yesu,kwa imani halafu unanyunyizia eneo lako la biashara ukitamka maneno ya ulinzi na mafanikio katika biashara yako.Wapi nitaipata hiyo damu ya mwana wa M-mungu?
Nakipataje boss wngView attachment 3187485
Hicho kitabu cha Madhabau,cover yake iko hivyo,hakina soft copy,kinapatikana bookshop.....
Bila kutia chochote?Chukua ata maji yako ya kunywa...yanenee kwamba unaya badili kuwa damu ya Yesu,kwa imani halafu unanyunyizia eneo lako la biashara ukitamka maneno ya ulinzi na mafanikio katika biashara yako.
Sawa je kama bidhaa zako ni mbovu na huna kauli nzuri kwa wateja? Nyie nyie mnapotosha watuChukua ata maji yako ya kunywa...yanenee kwamba unaya badili kuwa damu ya Yesu,kwa imani halafu unanyunyizia eneo lako la biashara ukitamka maneno ya ulinzi na mafanikio katika biashara yako.
Sasa mkuu utawekaje bidhaa mbovu?Sawa je kama bidhaa zako ni mbovu na huna kauli nzuri kwa wateja? Nyie nyie mnapotosha watu
Au tumia ile juice ya Fruto ipo kama Zabibu hivi.Bila kutia chochote?
Kuna ngazi tofauti za uelewa ukitaka kujua uelewa wa watu uliza hicho anacho kipigania je anakifahamu vizuri atakwambia hapana waliowengi chanzo cha habari, (source of information), nitoka kwa mtu fulani hata kama ni mpotoshaji kumbuka tunaishi kwenye jamii yenye wapotoshaji,' pessimistic people', watu ambao muda wote wanafurahia matukio mabaya ni waumini wa fikra hasiSasa mkuu utawekaje bidhaa mbovu?
Pia kumbuka mimi nimemsaidia huyo ndugu jinsi damu ya Yesu inavyotumika.
Nitatuma namba ya mwandishi soon!Nakipataje boss wng
Benny Haraba ...kuna kanuni za kawaida za kufanya biashara Kama hizo unazozitaja na Kuna strategy zingine ni za kiroho zaidi.Sawa je kama bidhaa zako ni mbovu na huna kauli nzuri kwa wateja? Nyie nyie mnapotosha watu
anzisha darasa, tupo siti ya mbele kufuatiliaWakati tunafundishwa elimu ya ujasiriamali, 1986-1987, walialikwa wafanya biashara ambao walikuwa wamefanikiwa kibiashara karibu na chuo ambao hawakuwahi kupata elimu ya ujasiriamali, walimu walifanya hivyo baada ya sisi wanafunzi kupata somo linalohusu tabia za wajasiriamali waliofanikiwa duniani yaani PEC'S personal entrepreneurial competences
Tafadhali msiende kwa waganga hakuna siri ya kufanya biashara na kufanikiwa
Niulizeni mimi chochote kuhusu ujasiriamali nimebobea haswa
In entrepreneurship we learn how to do business not about business
Kwenye elimu ya ujasiriamali tunajifunza jinsi ya kufanya biashara lakini siyo kuhusu biashara
Hahaha humu darasa? unalianzishaje kuna wajuaji na wale ambao wanapenda matokeo hasi, (pessimistic people), wanao furahia matokeo mabayaanzisha darasa, tupo siti ya mbele kufuatilia
Kikiwa tayari nistue mkuuuNililo andika kwa kimombo dhana inaitwa HARABA Tool, unadhani tafsiri ya kiswahili iweje mdau
HARABA Tool conceptualizing essential traits to help entrepreneurs succeed in business