I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 804
- 1,362
Nimeusoma wote. Hakueleza kuhusu upatikanaji wa damu ya mwana wa M-ungu.Soma uzi wa dark side umeeleza kila kitu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeusoma wote. Hakueleza kuhusu upatikanaji wa damu ya mwana wa M-ungu.Soma uzi wa dark side umeeleza kila kitu mkuu.
Kuna swali hajajibu na limeulizwa na wengi, hiyo damu ya mwana wa mungu inapatikanaje? wapi ni ipi?? au mafta ya mwamposa au mafta ya madhabahuni romani au ni nini???TD hizi ni siri na code unazotoa ni vitu vya under ground tunashukuru sana keep it up .
Itabidi tupeleke mtaala TCU sasabro ina maana kanuni za biashara zinazofundishwa shule hazina nafasi kabisa? ni mambo ya light side na dark side tu?
dah.
mbona wanasema business can be boiled down to a science
Tanzanian DreamHiyo damu ya Yesu inapatikana wapi? Hili swali mbona halijibiwi? Ama inatengenezwaje?
Hii issue imekaa kiimani zaidi na imani huja kwa kusikia,leo umesikia kwangu kesho utasikia kwa mwingine, mwisho wa siku una connect dots unapata total revelation.Hiyo damu ya Yesu inapatikana wapi? Hili swali mbona halijibiwi? Ama inatengenezwaje?
Kwa mfano mimi kwa imani yangu ya KiKristo, ninafanyaje ili kuipata?.Hii issue imekaa kiimani zaidi na imani huja kwa kusikia,leo umesikia kwangu kesho utasikia kwa mwingine, mwisho wa siku una connect dots unapata total revelation.
Unafanya Kama kwenye meza ya Bwana,process ni zilezile sema hii unafanya ukiwa peke yako na kwa lengo tofauti.Kwa mfano mimi kwa imani yangu ya KiKristo, ninafanyaje ili kuipata?.
Naomba majibu yako yawe ya mlengo huo usitoe jibu jumuishi.
Ile kanuni inasema "concentrate your energies onto capital growth"....muuza karanga,muuza mitumba, mfanyabiashara yoyote aki concentrate kwenye kukuza mtaji,believe me,hawezi kubaki pale alipo, King 999 shida ya wafanyabiashara wengi wadogo hawana ndoto za ku build empire."....if you can concentrate on doing one thing over a period of time, success is inevitable."
hii inamaanisha hata yule muuza karanga anaepigwa na jua pale road kila sku aendelee kukomaa kuuza karanga zake za mia mia ipo sku atatajirika?
Kwa hiyo hapo lazima nitafute divai ndo ihusike kubadilishwa kuwa damu ya Yesu?Unafanya Kama kwenye meza ya Bwana,process ni zilezile sema hii unafanya ukiwa peke yako na kwa lengo tofauti.
nmekuelewa mkuu.Ile kanuni inasema "concentrate your energies onto capital growth"....muuza karanga,muuza mitumba, mfanyabiashara yoyote aki concentrate kwenye kukuza mtaji,believe hawezi kubaki pale alipo, King 999 shida ya wafanyabiashara wengi wadogo hawana ndoto za ku build empire.
Process ya kuipata hiyo damu ni ile ile kama wanavyofanya wachungaji kwenye meza ya Bwana,Kama wewe ni spiritual infant,unaweza kuomba pastor wako akusaidie ila Kama uko matured you can do it by yourself,matumizi ya damu ya Mwana wa M-ngu inategemea na lengo.Tukiwa church huwa tunashiriki meza ya Bwana na kunywa as a Blood, Je hiyohiyo inaweza kumwagwa kwenye biashara au kiwanja na ikaprotect biashhara? Pia nawezakutumia mwongozo gani Kuomba? Yaani mimi mwenyewe au kumtumia mchungaji?
Broo points zako ni common ns zinajulikana na wengi. Tunachotaka sisi na ambacho hatukijui ni another side and secret of business, in spiritual world.Spiritual laws are temporary, mfano imemuahidi mteja aje kesho saa 5, anakuja muda huo, anakuta kazi yake bado na unamshangaa, hapo sasa hiyo
Spiritual law, inafanyaje Kazi ama unauza chakula kilicho oza, ama huduma mbovu
Hiyo spiritual law inafanyaje kazi
Mfano mwingine mteja anakuja mnapishana kauli halafu unampiga ama unajibu mbofumbofu je atarudi kesho ama kukuletea wateja?
Ama kwenye biashara yako huhudumii kwa nidhamu kisa wewe ndiye mmiliki na unataka watu wajue wewe ni mmliki yaani mteja ni fala tu,
Well defined as, Status quo
Ok asante mkuu.. Heri ya Christmas 🎄Process ya kuipata hiyo damu ni ile ile kama wanavyofanya wachungaji kwenye meza ya Bwana,Kama wewe ni spiritual infant,unaweza kuomba pastor wako akusaidie ila Kama uko matured you can do it by yourself,matumizi ya damu ya Mwana wa M-ngu inategemea na lengo.
Secret?, there's no secret in business what you need is a knowledge of a correlation of information, individual skills or life learning skills, (skill set), a business plan to scale your business idea and entrepreneurial competences, (traits)Broo points zako ni common ns zinajulikana na wengi. Tunachotaka sisi na ambacho hatukijui ni another side and secret of business, in spiritual world.
Bro unamiliki biashara yoyote iliyofanikiwa? At least iwe ina ten years survivor at peak?Secret?, there's no secret in business what you need is a knowledge of a correlation of information, individual skills or life learning skills, (skill set), a business plan to scale your business idea and entrepreneurial competences, (traits)
Ili kuanzisha ama kuiendeleza biashara unahitaji taarifa na uwezo wako mzuri wa kutafsiri taarifa, uwezo binafsi kiakili unao jumuisha elimu dunia na elimu maalum, kitaalamu unatakiwa uwe na andiko la biashara ili uweze kukabiliana na ushindani wa kibiashara, bila kusahau kuzijua na kuziishi tabia za wajasiriamali waliofanikiwa huko duniani