7 natural laws of business

7 natural laws of business

ndonga vipi ile changamoto yako imeshapata ufumbuzi
Hapana
Ngoja niitype hapa
Nimedhurumiwa mzigo wa million 15.. Nimeenda mahakamani nimekosa support adui wangu kanizidi sina utundu wa mahakama

Nataka nipite darkside za kimahakama lakini nafsi inanikanya sijawai kuingia uko ww km mzoefu vip hapa

Damu ya kisasi nitakayoitoa huko haitanihukumu huko mbele?
 
Hizo zinaitwa traits, (personal entrepreneurial competences), mimi wakati nasoma entrepreneurship skills development, 1986 tulijifunza 25 kwasasa wamezi finya, (condensed), ziko 9 ama 8, pia zingine nimezingundua kama 3 za ziada

Hitimisho kama huna tabia hata moja ya ujasiriamali huwezi kufanya biashara yoyote, hiyo ya mkataba na mteja ni muhimu sana, (commitment to work contract and a job well done )

Kwasasa namalizia kuandika kitabu fikirishi cha ujasiriamali
Na nimetengeza dhana inayozijumisha hizo tabia inaitwa HARABA tool
Ukiwa unazindua nitag ninunue kopi moja.
 
Ukiwa unazindua nitag ninunue kopi moja.
Sawa nitazindua cha kiswahili na cha kimombo kwakifupi kinaelezea jinsi ya kuanzisha na kuenenda katika biashara bila kusahau kukumbusha kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike pia kinaeleza kinaga ubaga kuhusu biashara endelevu, (runing an enduring business), kumbe asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanategemea mjasiriamali na asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzunguka, cha ajabu asilimia 20 ina nguvu hata kuua biashara endapo jamii itanyamaza, (itaufyata mkia)

Stay tuned
 
Hapana
Ngoja niitype hapa
Nimedhurumiwa mzigo wa million 15.. Nimeenda mahakamani nimekosa support adui wangu kanizidi sina utundu wa mahakama

Nataka nipite darkside za kimahakama lakini nafsi inanikanya sijawai kuingia uko ww km mzoefu vip hapa

Damu ya kisasi nitakayoitoa huko haitanihukumu huko mbele?
Kwanza pole,ila hapo pa kupita dark side sikushauri,kupoteza hela au mtaji ni ishara kwamba fedha yako haina ulinzi wa kiroho,sasa hata ukiua mtu bado utakuwa huja solve tatizo,
Nakushauri ushughulikie kwanza suala la protection.
 
Kwanza pole,ila hapo pa kupita dark side sikushauri,kupoteza hela au mtaji ni ishara kwamba fedha yako haina ulinzi wa kiroho,sasa hata ukiua mtu bado utakuwa huja solve tatizo,
Nakushauri ushughulikie kwanza suala la protection.
Wakati tunafundishwa elimu ya ujasiriamali, 1986-1987, walialikwa wafanya biashara ambao walikuwa wamefanikiwa kibiashara karibu na chuo ambao hawakuwahi kupata elimu ya ujasiriamali, walimu walifanya hivyo baada ya sisi wanafunzi kupata somo linalohusu tabia za wajasiriamali waliofanikiwa duniani yaani PEC'S personal entrepreneurial competences

Tafadhali msiende kwa waganga hakuna siri ya kufanya biashara na kufanikiwa

Niulizeni mimi chochote kuhusu ujasiriamali nimebobea haswa

In entrepreneurship we learn how to do business not about business

Kwenye elimu ya ujasiriamali tunajifunza jinsi ya kufanya biashara lakini siyo kuhusu biashara
 
unaweza ila masharti utakayopewa ni kazi tosha
Unagawa uhai?, mimi nimebobea kwenye elimu ya ujasiriamali, ila wengi ni wavivu wa kusoma maandiko, niliandika humu maswali wadau hawajajibu hadi leo wanapenda short cut, (njia ya mkato)
Please make use of me am aged enough 64, na mimi nimekulapa ila vinono vikikatiza msinihukumu, hahahaa
 
Kama vyanzo vipi hivo visivyooonekana mkuu?
Nilifatilia hapa bongo kwa wale ma broker wa financial securities,nilikuta wawekezaji wakubwa kwenye hizo securities ni wahindi,yaani ni hivi,mhindi anakuwa na kiduka chake cha kuuza urembo lakini ana bilioni 2 kwenye municipal bonds,kila mtu anajua kile kiduka lakini hakuna mtu anajua dark investment zake,that is ma point.
 
Nilifatilia hapa bongo kwa wale ma broker wa financial securities,nilikuta wawekezaji wakubwa kwenye hizo securities ni wahindi,yaani ni hivi,mhindi anakuwa na kiduka chake cha kuuza urembo lakini ana bilioni 2 kwenye municipal bonds,kila mtu anajua kile kiduka lakini hakuna mtu anajua dark investment zake,that is ma point.
Security features ? In entrepreneurship there's no security features
 
Unaweza kuimwaga bila shaka
Mzee Fabi alipata wapi hii damu ya mwana wa M-ngu? Au unanishauri vipi kwa mimi kuweza kuipata na kuitumia katika biashara zangu?

Pia, kama nikipita dark path. Naweza nikakubaliana nao kuwa kafara zangu ziwe ni viumbe tu kama vile kuku na mbuzi lakini siyo Binadamu? Au badae ni lazima huja kugeuka na kuhitaji damu ya mwanadamu.
 
Mzee Fabi alipata wapi hii damu ya mwana wa M-ngu? Au unanishauri vipi kwa mimi kuweza kuipata na kuitumia katika biashara zangu?

Pia, kama nikipita dark path. Naweza nikakubaliana nao kuwa kafara zangu ziwe ni viumbe tu kama vile kuku na mbuzi lakini siyo Binadamu? Au badae ni lazima huja kugeuka na kuhitaji damu ya mwanadamu.
Damu ya mwana wa mng inapatikanaje.
 
Back
Top Bottom