7 natural laws of business

7 natural laws of business

FIRST LAW-the law of accessibility(no blood no access)

Hakuna mahali utakwenda kufanya biashara na kusiwe na spiritual barriers hata ungeenda mahali ambapo hakuna ushindani ni lazima utakutana na vizuizi,waganga wanajua access codes za maeneo ndio
SEVENTH LAW-the law of association

Wakati M-ngu anaumba mtu alisema"tufanye mtu kwa sura yetu"... M-ngu ni mmoja lakini kwanini anaongea katika uwingi?,labda niseme hivi ule usemi wa "one man Amy" ni wa dunia ya kimwili,rohoni you can't stand alone,unahitaji spiritual and
Asante sanaa mkuu kwa uzi wako tuliousubiri kwa hamu. Mungu akubariki sanaa mkuu.
Binafsi nimejifunza mengi sanaa kwenye "dark side of Business" nabaada ya kusoma ule uzi nimefuatilia kwa kina mambo ya kiroho kwenye bible, artcle za watumishi wa mungu na nikaprove its true.
Watu wengu tunasoma maandiko pasi kuelewa , nadhani hii inatokana na kuwa watumishi ambao hawapo deeply kiroho, wengine kukosa uelewa yaani hawatufunulii nini kipo chini ya pazia ili waumini wao tufunguke.
Kuna mchungaji amefundisha hii 1st Law, ("Matters of the blood" by Pastor Tony kapola) yaani niki relate na ishu yako ya "dark side of Business" naona kuna ukweli kwenye hili ni applicable Yaani (no blood no access)

Swali:
1. Tukiwa church huwa tunashiriki meza ya Bwana na kunywa as a Blood, Je hiyohiyo inaweza kumwagwa kwenye biashara au kiwanja na ikaprotect biashhara? Pia nawezakutumia mwongozo gani Kuomba? Yaani mimi mwenyewe au kumtumia mchungaji?

2. Seventh Law sijailewa mkuu naomba unieleweshe kwa kifupi tu, nikwanamna gani naweza fanya hii spiritual and financial backup?

3. Nilifunga biashara yangu mwezi August 2024 na nimeona kuna laws sikuapply ila now nimepata kitu. Ila kama umeajiri mtu anasimamia biashara ila kunamambo anafanya yanatia najisi biashara kama uzinzi,uwizi n.k vinaweza kuathiri biashara licha yakuiprotect spiritual?
 
Mzee Fabi alipata wapi hii damu ya mwana wa M-ngu? Au unanishauri vipi kwa mimi kuweza kuipata na kuitumia katika biashara zangu?

Pia, kama nikipita dark path. Naweza nikakubaliana nao kuwa kafara zangu ziwe ni viumbe tu kama vile kuku na mbuzi lakini siyo Binadamu? Au badae ni lazima huja kugeuka na kuhitaji damu ya mwanadamu.
Soma uzi wa dark side umeeleza kila kitu mkuu.
 
Wakati tunafundishwa elimu ya ujasiriamali, 1986-1987, walialikwa wafanya biashara ambao walikuwa wamefanikiwa kibiashara karibu na chuo ambao hawakuwahi kupata elimu ya ujasiriamali, walimu walifanya hivyo baada ya sisi wanafunzi kupata somo linalohusu tabia za wajasiriamali waliofanikiwa duniani yaani PEC'S personal entrepreneurial competences

Tafadhali msiende kwa waganga hakuna siri ya kufanya biashara na kufanikiwa

Niulizeni mimi chochote kuhusu ujasiriamali nimebobea haswa

In entrepreneurship we learn how to do business not about business

Kwenye elimu ya ujasiriamali tunajifunza jinsi ya kufanya biashara lakini siyo kuhusu biashara
Leta izo laws mkuu, Elimu haina mwisho ,kujifunza hakuna ukomo
 
Unagawa uhai?, mimi nimebobea kwenye elimu ya ujasiriamali, ila wengi ni wavivu wa kusoma maandiko, niliandika humu maswali wadau hawajajibu hadi leo wanapenda short cut, (njia ya mkato)
Please make use of me am aged enough 64, na mimi nimekulapa ila vinono vikikatiza msinihukumu, hahahaa
mkuu unaonaje uhusiano wa wealthy backgrounds na mafanikio ya kiujasiriamali?

naona asilimia kubwa sana ya wajasiriamali maarufu wametokea kwenye familia zenye uwezo(mo dewji, benjamin fernandes, aliko dangote)

angalia hata startups kubwa tz(nala na ramani) zote founders wametokea kwenye hela(benjamin fernandes, iain usiri) wamesoma stanford huko

ni kweli kwamba you can't start from zero?
 
Leta izo laws mkuu, Elimu haina mwisho ,kujifunza hakuna ukomo
Kwenye ujasiriamali unahitaji taarifa, (information), na uwezo wa kutafsiri taarifa kisahihi, life learning skills, (ujuzi endelevu katika maisha), yaani uwe na elimu za kukabiliana na changamoto mbalimbali katika maisha), tabia za kuenenda katika biashara, pia kitaalamu ili ufanye biashara shindani unatakiwa uwe na andiko la mpango wa biashara

Angalizo kama huna uwezo wa kutafsiri taarifa kisahihi, taarifa inaweza kukusababishia changamoto
 
Kwenye ujasiriamali unahitaji taarifa, (information), na uwezo wa kutafsiri taarifa kisahihi, life learning skills, (ujuzi endelevu katika maisha), yaani uwe na elimu za kukabiliana na changamoto mbalimbali katika maisha), tabia za kuenenda katika biashara, pia kitaalamu ili ufanye biashara shindani unatakiwa uwe na andiko la mpango wa biashara

Angalizo kama huna uwezo wa kutafsiri taarifa kisahihi, taarifa inaweza kukusababishia changamoto
Asante mkuu.. umejikita kwenye mechanisms za entrepreneurs kwenye kuanza biashara na kuiendeleza, ila Tanzania dream amejikita sanaa kwenye spiritual Laws za biashara
Huo ni utofauti wenu niliouona.
ila njia yetu ni moja, Endelea kutupa madini
 
Asante mkuu.. umejikita kwenye mechanisms za entrepreneurs kwenye kuanza biashara na kuiendeleza, ila Tanzania dream amejikita sanaa kwenye spiritual Laws za biashara
Huo ni utofauti wenu niliouona.
ila njia yetu ni moja, Endelea kutupa madini
Spiritual laws are temporary, mfano imemuahidi mteja aje kesho saa 5, anakuja muda huo, anakuta kazi yake bado na unamshangaa, hapo sasa hiyo
Spiritual law inafanyaje Kazi ama unauza chakula kilicho oza, ama huduma mbovu
Hiyo spiritual law inafanyaje kazi

Mfano mwingine mteja anakuja mnapishana kauli halafu unampiga ama unajibu mbofumbofu je atarudi kesho ama kukuletea wateja?

Ama kwenye biashara yako huhudumii kwa nidhamu kisa wewe ndiye mmiliki na unataka watu wajue wewe ni mmliki yaani mteja ni fala tu,

Well defined as, Status quo
 
Spiritual laws are temporary, mfano imemuahidi mteja aje kesho saa 5, anakuja muda huo, anakuta kazi yake bado na unamshangaa, hapo sasa hiyo
Spiritual law, inafanyaje Kazi ama unauza chakula kilicho oza, ama huduma mbovu
Hiyo spiritual law inafanyaje kazi

Mfano mwingine mteja anakuja mnapishana kauli halafu unampiga ama unajibu mbofumbofu je atarudi kesho ama kukuletea wateja?

Ama kwenye biashara yako huhudumii kwa nidhamu kisa wewe ndiye mmiliki na unataka watu wajue wewe ni mmliki yaani mteja ni fala tu

Mkuu, ingekuwa vizuri nawewe ungetoa Hilo andiko lako unalosema ili tuone na huko Kuna Nini.

Kiukweli kwenye biashara hizi laws alizozitaja jamaa ni za msingi saana na changamoto zake wengi hawazijui.

Kuhusu haya unayoyasema wewe wengi tunasoma na tunaambiwa lakini ukijaribu kuziapply zinaleta matokeo zero.

100% za hizi laws alizotaja jamaa kama ukiziapply naamini zitakuletea matokeo.

Kwenye biashara wakat mwingine shida sio mtaji, huduma Kwa wateja au uendeshaji. Shida kubwa Huwa ni haya mambo ambayo wengi hawayajui na Wala hawazungumzii.

Ni lazima apewe maua yake kiongozi amefanya kazi kubwa, na kwa mwenye Nia kupitia huu Uzi anaweza kufanya kitu Cha tofauti saana katika biashara zake.
 
Mkuu, ingekuwa vizuri nawewe ungetoa Hilo andiko lako unalosema ili tuone na huko Kuna Nini.

Kiukweli kwenye biashara hizi laws alizozitaja jamaa ni za msingi saana na changamoto zake wengi hawazijui.

Kuhusu haya unayoyasema wewe wengi tunasoma na tunaambiwa lakini ukijaribu kuziapply zinaleta matokeo zero.

100% za hizi laws alizotaja jamaa kama ukiziapply naamini zitakuletea matokeo.

Kwenye biashara wakat mwingine shida sio mtaji, huduma Kwa wateja au uendeshaji. Shida kubwa Huwa ni haya mambo ambayo wengi hawayajui na Wala hawazungumzii.

Ni lazima apewe maua yake kiongozi amefanya kazi kubwa, na kwa mwenye Nia kupitia huu Uzi anaweza kufanya kitu Cha tofauti saana katika biashara zake.
Nitajaribu kufanya hivyo japo ufafanuzi utapatikana kwenye kitabu changu cha ujasiriamali
 
bro ina maana kanuni za biashara zinazofundishwa shule hazina nafasi kabisa? ni mambo ya light side na dark side tu?

dah.

mbona wanasema business can be boiled down to a science
Huo ndio ukweli mchungu , biashara ni tofauti na tunayosoma class ila mafunzo ya darasani yanatupa mwanga wa kujua biashara ni nini ila biashara yenyewe ni lazima uwe katika pande hizo mbili ndo unaweza kutoboa hasa upande wa giza.
 
Spiritual laws are temporary, mfano imemuahidi mteja aje kesho saa 5, anakuja muda huo, anakuta kazi yake bado na unamshangaa, hapo sasa hiyo
Spiritual law, inafanyaje Kazi ama unauza chakula kilicho oza, ama huduma mbovu
Hiyo spiritual law inafanyaje kazi

Mfano mwingine mteja anakuja mnapishana kauli halafu unampiga ama unajibu mbofumbofu je atarudi kesho ama kukuletea wateja?

Ama kwenye biashara yako huhudumii kwa nidhamu kisa wewe ndiye mmiliki na unataka watu wajue wewe ni mmliki yaani mteja ni fala tu,

Well defined as,
you are absolutely right... ila kusema spiritual laws ni temporary sikuungi mkono mkuu.

Biashara ni continuous process huwezi weka laws ziwe temporar, hii haijalishi ni spiritual au sio spiritual, unatakiwa uapply kila muda,kila siku, kila mwezi au kila mwaka.

Mimi nilikua na Biashara somewhere niliifunga, nahii kunasababu za spiritual Laws sikujua kuapply na zingine niliappy mwanzo tu nilipofungua Biashara, na ilikua inaenda vizuri tu, ila nikajisahau aisee ikaanza kuyumba hadi nikaja kuifunga, Baada ya kugunga Nikaanza kufuatilia nini kimesababisha, nikagundua sikua na ulinzi wa kiroho, nilikua mtupu yani, Licha ya kutoa product bora watu wananijua kila mahali ila vita ikaibuka,

Kuna competitor wangu mmoja aliwahikutamka kauli kuwa ntakuloga naona unakuja kasi sanaa.. Baada ya miezi miwili vifaa vikaanza kuharibika kiomoja kimoja , ikatokea ugomvi na wife hadi Biashara nikafunga.

After three months nilikaa chini nilitafakari sababu za kuifunga biashara, nikakumbuka kunasiku nipo ofisini akaingia ndege akatoka kitu mdomoni, nilijiuliza hii nini? ila sikupata majibu, nika mwambia wife kunandege kaingia ofisini kachukua kitu mdomoni then katoka akasema hao ndege tu.

Binafsi nilifungwa, hata sikumbuki kama niliambiwa na roho wa Mungu niingie kwenye prayer, niliona kawaida, Baadae aibu ikanikuta mkuu, Nimbaya sana kufunga biashara na ipo Location nzuri center, inauma sanaa Yanii.

Zinapoibuka Changamoto za kutikisa biashara unatakiwa utafakari njia zako, either kwa wasaidizi wako au wewe mwenyewe au namna ya kuiendesha, Kuna watu unatakiwa uwatoe mapema sanaa kwenye biashara coz wanaweza iangusha, sasa kama huna jicho la tatu au sio mdadisi wa kufuatilia biashara yako unaweza iangusha mwenyewe.

Kunasababu nyingi za biashara kufeli,ambazo ushaziandika lkn kuwa strong spiritual ni muhimu pia kwenye biashara.
 
you are absolutely right... ila kusema spiritual laws ni temporary sikuungi mkono mkuu.

Biashara ni continuous process huwezi weka laws ziwe temporar, hii haijalishi ni spiritual au sio spiritual, unatakiwa uapply kila muda,kila siku, kila mwezi au kila mwaka.

Mimi nilikua na Biashara somewhere niliifunga, nahii kunasababu za spiritual Laws sikujua kuapply na zingine niliappy mwanzo tu nilipofungua Biashara, na ilikua inaenda vizuri tu, ila nikajisahau aisee ikaanza kuyumba hadi nikaja kuifunga, Baada ya kugunga Nikaanza kufuatilia nini kimesababisha, nikagundua sikua na ulinzi wa kiroho, nilikua mtupu yani, Licha ya kutoa product bora watu wananijua kila mahali ila vita ikaibuka,

Kuna competitor wangu mmoja aliwahikutamka kauli kuwa ntakuloga naona unakuja kasi sanaa.. Baada ya miezi miwili vifaa vikaanza kuharibika kiomoja kimoja , ikatokea ugomvi na wife hadi Biashara nikafunga.

After three months nilikaa chini nilitafakari sababu za kuifunga biashara, nikakumbuka kunasiku nipo ofisini akaingia ndege akatoka kitu mdomoni, nilijiuliza hii nini? ila sikupata majibu, nika mwambia wife kunandege kaingia ofisini kachukua kitu mdomoni then katoka akasema hao ndege tu.

Binafsi nilifungwa, hata sikumbuki kama niliambiwa na roho wa Mungu niingie kwenye prayer, niliona kawaida, Baadae aibu ikanikuta mkuu, Nimbaya sana kufunga biashara na ipo Location nzuri center, inauma sanaa Yanii.

Zinapoibuka Changamoto za kutikisa biashara unatakiwa utafakari njia zako, either kwa wasaidizi wako au wewe mwenyewe au namna ya kuiendesha, Kuna watu unatakiwa uwatoe mapema sanaa kwenye biashara coz wanaweza iangusha, sasa kama huna jicho la tatu au sio mdadisi wa kufuatilia biashara yako unaweza iangusha mwenyewe.

Kunasababu nyingi za biashara kufeli,ambazo ushaziandika lkn kuwa strong spiritual ni muhimu pia kwenye biashara.
Asilimia 80 ya mafanikio katika (kwenye), biashara inamtegemea mjasiriamali lakini asilimia 20 ni yanayomzunguka mjasiriamali, hiyo asilimia 20 mimi nimegundua kwamba ina nguvu hata kuua biashara endapo jamii itanyamaza

The entrepreneur and his environments have more driving Forces for failure in business, if society can not creat methods to overcome uncertainty in business or possible solutions to solve problems around us

Ni ukweli usiopingika kwamba tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi

Jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri inavyotaka wewe na wakakushangilia na kukusifia

Silence surrenders public responsibilities
 
Back
Top Bottom