JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Asilimia 70 ya wagonjwa wanaofikishwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) wanatokana na ajali za barabarani, huku ajali zinazohusisha bodaboda zikiongoza kwa idadi.
Mkurugenzi Mtendaji wa MOI, Dkt Respicious Boniface ametoa takwimu hizo Jijini Dodoma amesema wengi wao wanakfikishwa hospitali wakiwa wameshavunjika mifupa mikubwa, wengine vichwa.
Taasisi yake pia imepokea majeruhi 11 wa ajali ya gari la Shule ya King David Mkoani Mtwara, kati yao watatu wapo katika uangalizi maalum.
Mkurugenzi Mtendaji wa MOI, Dkt Respicious Boniface ametoa takwimu hizo Jijini Dodoma amesema wengi wao wanakfikishwa hospitali wakiwa wameshavunjika mifupa mikubwa, wengine vichwa.
Taasisi yake pia imepokea majeruhi 11 wa ajali ya gari la Shule ya King David Mkoani Mtwara, kati yao watatu wapo katika uangalizi maalum.