78% of Tanzanians on the brink of starvation. 35% of Tanzanian kids are malnourished.

Status
Not open for further replies.

what your parents came to do in kenya.. giving birth to u
 

Njaa unaweza kuificha haswa kwa nchi kama yenu ambapo kila kiongozi anayo uwezo wa kuamrisha kamata kamata. Gazeti la Mtanzania ipo siku lilifanya uchunguzi wake kimya kimya na kubaini njaa ambayo mumeificha ndani kwa ndani, japo nyie wanajeshi wa kwenye mitandao mtasema chochote maana mna uhakika wa ubwabwa TISHIO LA NJAA BEI ZA VYAKULA HAZIKAMATIKI, WANANCHI WASHINDIA MAEMBE
 
U are one of the few people from Mount Kenya whom i know, that hates the Jubilee govt. The big question is why? Try to answer as honestly as possible. And without foul language if possible
 
The juvenile antics in this thread are beyond imagination
 
U are one of the few people from Mount Kenya whom i know, that hates the Jubilee govt. The big question is why? Try to answer as honestly as possible. And without foul language if possible
I am a business man, My customers are From Eastern and Riftvalley+kisii. Jubilee Gvt has a policy of ethnic exclusion for these parts, and what happens is that these people start to view Kikuyus in suspicion and do not trade with them.
Also being a taxpayer, I hate to imagine that my business will be taxed to pay eurobond that was eaten by WSR and Uhuru. Finaly, I detest uhuru, he has no business economic knowledge, infact his own mother adviced that he should not head brookside dairy as he has no business acumen and has a drug abuse issue, instead his younger brother muhoho runs the firm.He has never struggled to earn, mtoto wa tajiri, not a role model for anything.
 
I thought you said Kenya kuna high unemployment na Tz hakuna unemployment. Sasa hawa Watanzania walio na ajira mbona wanashindwa kununua chakula ilhali Wakenya wasio na ajira wanakinunua?
You afford to buy food just because of government subsides if not no Kenyan would step to the toilet
 
Hehehe uwiiiii korogocho
 
I understand your reasons and i respect them. Whether i agree with them or not is another issue but i believe you have a right to hold your opinion on anything.
 
Kila siku tunapigiwa humu kelele ati ooh, wanatulisha ooh, tunapanda maua badala ya mahindi. Hivi wewe unaweza lisha jirani wakati wanao hawana chakula? Ndio hiyo Tanzania ya shibe sasa.
Mkuu acha kuingizwa mkenge,Tanzania hakuna njaa
Muulize MK254
 
You afford to buy food just because of government subsides if not no Kenyan would step to the toilet


Who's government subsidies? Whose tax does the said government use to offer those subsidies?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…