80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

Udangaji ni attitude ambayo lazima itokomezwe, lazima serikali ifanye kitu, hatuwezi kuwa na taifa la wanawake wadangaji, kuna kitu hakifanyiki sehemu
Niwatetee tena akina mama ...kwa kuzunguka kwangu nchi tofauti za wenzetu walioendelea na wale wa kati madanga yapo tu kote..
Na hapa shida ni hali yenu ya uchumi iko vipi.so sio kosa lao...umasikini mbaya ndugu.
 
Niwatetee tena akina mama ...kwa kuzunguka kwangu nchi tofauti za wenzetu walioendelea na wale wa kati madanga yapo tu kote..
Na hapa shida ni hali yenu ya uchumi iko vipi.so sio kosa lao...umasikini mbaya ndugu.
Baadae utakuja kujua hujui
 
Ukikua utajua hujui
Dogo usitumie pesa nyingi ili umridhishe demu ili uwe nae acha moyo wake uamue Kama anaendana na wewe atabak na wewe bila hata hizo pesa
Shida ni kuwa mnalazimisha kuwapenda wasio wapenda huo ni udhaifu ndo nyie mnao jinyonga mnahongaa wee alaf mnachapiwa na fala asie na Raman.

Demu ukiona kaweka pesa mbele jiongeze hapo hakuna mapenzi acha kulazimisha mambo muache aende ili usiwe na manung'uniko
 
Dogo usitumie pesa nyingi ili umridhishe demu ili uwe nae acha moyo wake uamue Kama anaendana na wewe atabak na wewe bila hata hizo pesa
Shida ni kuwa mnalazimisha kuwapenda wasio wapenda huo ni udhaifu ndo nyie mnao jinyonga mnahongaa wee alaf mnachapiwa na fala asie na Raman.

Demu ukiona kaweka pesa mbele jiongeze hapo hakuna mapenzi acha kulazimisha mambo muache aende ili usiwe na manung'uniko
Hayo yote ninayajua na nina yafanyia kazi, shida ni kwamba mindset ya dada zetu inaamini kwamba sisi tunajukumu la kuwatunza. Yaani akishakuwa na wewe pesa zake hazitakiwi kufanya kazi, umuhudumie umlipie kila kitu, sasa huo ndiyo ukupe, sisi mabepari hatutaki.

Nikimuhudumia kwa mapenzi yangu sioni shida ila si kwa kushinikiza. Imesemwa hapo awali wanawake wasifanye mahusiano chanzo cha mapato au relief from their financial responsibilities kama watu wa kawaida
 
Hapo inabidi ujifanye mgonjwa aje kukuangalia ukiwa peke yako unakomaa nae, nenda kwenye uzi wa kula tunda kimasihara kuna mbinu nyingi kali. Ila mwisho wa siku usibake, kifungo ni 30years
Wife ni mama wa nyumbani, so ni mara chache sana Mimi kuwa home bila yeye.
 
Wasalaam wana JF
Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli.

Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada.

Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako wanaofanya ukahaba wa wazi mabarabarani, maofisini, na mitandaoni. Na wapo wengine wanafanya hivyo indirect kwenye mahusiano na mpaka kwenye ndoa zao pia. Yaani, exchange ya viungo vya uzazi na pesa. Na sehemu kubwa ni wale wanaopenda slope, yaani kimjini kitonga au udangaji.

Kimsingi, siyo rahisi kuwa na meaningful relationship hapa Tanzania. Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.

Wanawake wengi wanachukulia mahusiano kama chanzo cha mapato au relief from their financial responsibilities na mbaya zaidi kama wameshnda bingo (bahati nasibu)

Pengine, sisi kwa sisi, kibongo bongo tunaweza kuhimiliana, je wenzentu wa maitaifa mengine wataweza? Sasa bssi, ni aibu gani hawa dada zetu wanalipa hili taifa kwa wageni kutoka nje ya nchi? watawachukulia kama Gold digqģers.

Tunaomba serikali iwe na mkakati wa makusudi, pengine kuanzia shule za msingi kuwapa ujasiri wanawake. Ujasiri wa kujitegemea, kuwafundisha kuona aibu kuomba na kuwa wategemezi. Kuwa mwanamke siyo kuwa handicapped na siyo justification au leseni ya kuwa omba omba. Tusiruhusu kuwa na taifa lililojaa wanawake wadangaji na omba omba.

katika muktadha huu, kama nchi za wenzetu wameweza sisi kwanini tushindwe? Nchi za wenzetu katika mabara ya ulaya na america wanawake omba omba wapo kwa idadi ndogo sana.

Ikumbukwe, hakuna omba omba anaye heshimika, hizo ndizo harsh realitiies of capitalism.

Mwenye akili na aelewe.
Omba omba hao wamejazana sana kwenye sekta ya Bongo Movie, yaani karibia kila mmoja wao ni kahaba.
 
Mkuu huyo mwanamke unayetaka akusaidie majukumu yako ni kwamba nawe utakuwa unamsaidia yake au yake apambane na hali yake? Na bado utataka uendelee kumtawala na kujiita kichwa cha familia wakati pesa wote mnatafuta na bili wote mnalipa?
Ukikua utakuja kujua hujui
 
Jibu kwanza hayo maswali mkuu acha kuzunguka! Vinginevyo mkubali kwamba wanaume ndiyo wabinafsi na si vinginevyo!
mahusiano siyo chanzo cha mapato au relief ya financial responsibilities kwa mtu yoyote na wala siyo jackpot kwa mtu yoyote.

Hakuna mtu mwenye jukumu la kumtunza mtu mwingine kama siyo mtoto au mwenye physical au mental challenges
 
Wasalaam wana JF
Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli.

Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada.

Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako wanaofanya ukahaba wa wazi mabarabarani, maofisini, na mitandaoni. Na wapo wengine wanafanya hivyo indirect kwenye mahusiano na mpaka kwenye ndoa zao pia. Yaani, exchange ya viungo vya uzazi na pesa. Na sehemu kubwa ni wale wanaopenda slope, yaani kimjini kitonga au udangaji.

Kimsingi, siyo rahisi kuwa na meaningful relationship hapa Tanzania. Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.

Wanawake wengi wanachukulia mahusiano kama chanzo cha mapato au relief from their financial responsibilities na mbaya zaidi kama wameshnda bingo (bahati nasibu)

Pengine, sisi kwa sisi, kibongo bongo tunaweza kuhimiliana, je wenzentu wa maitaifa mengine wataweza? Sasa bssi, ni aibu gani hawa dada zetu wanalipa hili taifa kwa wageni kutoka nje ya nchi? watawachukulia kama Gold digqģers.

Tunaomba serikali iwe na mkakati wa makusudi, pengine kuanzia shule za msingi kuwapa ujasiri wanawake. Ujasiri wa kujitegemea, kuwafundisha kuona aibu kuomba na kuwa wategemezi. Kuwa mwanamke siyo kuwa handicapped na siyo justification au leseni ya kuwa omba omba. Tusiruhusu kuwa na taifa lililojaa wanawake wadangaji na omba omba.

katika muktadha huu, kama nchi za wenzetu wameweza sisi kwanini tushindwe? Nchi za wenzetu katika mabara ya ulaya na america wanawake omba omba wapo kwa idadi ndogo sana.

Ikumbukwe, hakuna omba omba anaye heshimika, hizo ndizo harsh realitiies of capitalism.

Mwenye akili na aelewe.
Itakapokomeshwa zinaa haya yote yatakoma...
 
Umekamatika ndio upige mzinga heavy?.Nature ya mwanamke ni mbinafsi upande wa hela yake na ndio maana ndani ya nyumba mke akiwa na 1milion, mume akiwa na laki tatu, hiyo nyumba jumla ina laki tatu.

Nina mifano mingi, ila huu mmoja wa juzi wa jamaa yangu dereva wa bajaj. Siku hiyo alichelewa kuamka sababu jana yake alifanya kazi nyingi, sasa asubuhi mkewe alienda gengeni. Jamaa kuamka alikuwa anaitafuta simu yake, katafuta wee baadae akawa anatafuta kwa kubahatisha, si akajaribu kuangalia upande wa kabati zinapokaa nguo za mkewe, pekua pekua akaziona milioni moja na laki nne. Jamaa mpaka alichoka, mkewe kurudi gengeni anamuomba mia tano ya Pampas, jamaa akamchana live kuhusu zile milioni 1.4,kumbe baba yao miezi miwili iliyopita aliuza eneo maeneo ya Kibaha baadae akaamua kuwapa watoto wake 1.5m na hapo hela ya matumizi kila kitu anaacha jamaa.

Sasa just imagine una 1.4m ila bado unamuomba 500 ya pampas mume wake ambaye kazi yake kuendesha bajaj tena ya mtoto aliye mzaa.

Mwanamke anaweza akawa ana hela mtoto anaumwa baada kumpeleka hospitalini, anampigia simu mme wake, mme wake anamwambia basi tumia akiba yako nikija nitalipa, bahati mbaya huko alipo enda mambo hayajawa vizuri. Sasa siku karudi mke anakumbushia kuhusu hela ya matibabu ya mtoto, mumewe anamwambia kwa sasa mambo si mazuri, utapewa mineno mixer kununiwa utazani labda mtoto ulizaa ww peke yako.

Bado kuna wale wanafunguliwa biashara na waume zao msingi ukikata mmewe anamuongezea, sasa siku au msimu hela kidogo inakuwa ngumu, mume anamwambia mkewe basi tumia faida yako kununua unga wa mwezi huu, mimi sasa hivi mambo hayapo vizuri,baada muda fulani lazima ataikumbushia hiyo na ataidai na hapo bado msingi ukikata anaomba umuongezee hela.

Dada nyinyi (95%) ni wabinafsi hajalishi mna kazi au hamna.Mimi katika maisha yangu siipigii hesabu hela ya mke wangu sababu ina masimango na maneno mengi.
Kilichomtokea Jamaa ako kimenitokea mm jana acha niamke nijiandae nikiwa naelekea job ntakuja na Story kama ya jamaa ako mpaka sa hivi nataka tu ninwache huyu mwanamke
 
Ndiyo maana nikasema kwahiyo hata kumtawala itakuwa siyo jukumu lako sababu hakuna mwenye jukumu la kumtawala mwenzie! Na vile vile hata wewe ni jukumu lako kuingia jikoni kupika na kuosha vyombo au nawe uwe unafua na kufanya usafi!
Nani anataka kumtawala mwingine kwenye mahusiano, mahusiano ni siasa?

Kuna level ukifika hayo mambo ya kufua, kupika, kufanya usafi n.k yanakuwa taken care na hela

Swala kubwa hapa ni financial responsibility. Sisi mabepari hatutaki kupe na chawa.
 
Back
Top Bottom