80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

Shangaa na wewe.

I thought he had a point until it came to the issue of wives taking care of themselves.

Shitty ideology.
Don't be bitter, usiwe kupe, fanya kazi, mabepari hatutaki watu wababaishaji, wanao take advantage. Haukuja duniani na mwanaume, umekuja peke yako, pambana. Ukipewa hela shukuru Mungu, ukitunzwa hivyo hivyo. Gone are those days, jipange. This shit is real and coming so fast.

Isaya 4:1

Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanaume mmoja na kumuambia,chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu,uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
 
Kwenye vikao vya kahawa tunajiita HEAD OF THE HOUSE
Then tunataka ku share cost.
Basi na tuwaombe mahari watoe wao.
Mwanaume sio suruali hata maandiko yanasema.
Mwanamke atazaa kwa uchungu
Mwanamme atailisha familia kwa jasho.
Sema wewe mkuu
Wanaume wa sikuhizi wanalia jamani, khaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isaya 4:1

Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanaume mmoja na kumuambia,chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu,uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
 
Kuhudumia mke na familia ni jukumu la mume, there's no running away from that. Ukiona mtu analalamika kutoa huduma kwa mke ujuwe uchumi wake bado sio mzuri na inabidi mke nae atoke atafute ili mambo yaende..na hapa tupo wanaume wengi tu, 80% tunataka wake zetu watoke kutafuta ili mambo yaende.

Kuhudumia mchumba, girlfriend ni maamuzi ya mtu, usilalamike kama uliamua mwenyewe kuhudumia girlfriend wako.

Tatizo kweli kuna wadada wanaomba...yaani kweli sio sawa, umemfaham leo, kesho sim imepasuka kioo.
 
Wasalaam wana JF

Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli.

Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada.

Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako wanaofanya ukahaba wa wazi mabarabarani, maofisini, na mitandaoni. Na wapo wengine wanafanya hivyo indirect kwenye mahusiano na mpaka kwenye ndoa zao pia. Yaani, exchange ya viungo vya uzazi na pesa. Na sehemu kubwa ni wale wanaopenda slope, yaani kimjini kitonga au udangaji.

Kimsingi, siyo rahisi kuwa na meaningful relationship hapa Tanzania. Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.

Wanawake wengi wanachukulia mahusiano kama chanzo cha mapato au relief from their financial responsibilities na mbaya zaidi kama wameshnda bingo (bahati nasibu).MBONA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN ANAJIPAMBANIA NA SASA NI RAISI NA TUNAMUHESHIMU

Pengine, sisi kwa sisi, kibongo bongo tunaweza kuhimiliana, je wenzentu wa maitaifa mengine wataweza? Sasa bssi, ni aibu gani hawa dada zetu wanalipa hili taifa kwa wageni kutoka nje ya nchi? watawachukulia kama Gold digqģers.

Tunaomba serikali iwe na mkakati wa makusudi, pengine kuanzia shule za msingi kuwapa ujasiri wanawake. Ujasiri wa kujitegemea, kuwafundisha kuona aibu kuomba na kuwa wategemezi. Kuwa mwanamke siyo kuwa handicapped na siyo justification au leseni ya kuwa omba omba. Tusiruhusu kuwa na taifa lililojaa wanawake wadangaji na omba omba.

katika muktadha huu, kama nchi za wenzetu wameweza sisi kwanini tushindwe? Nchi za wenzetu katika mabara ya ulaya na america wanawake omba omba wapo kwa idadi ndogo sana.

Ikumbukwe, hakuna omba omba anaye heshimika, hizo ndizo harsh realitiies of capitalism.

Mwenye akili na aelewe.

Kinachotokea ni akili ndogo sana. Kuna majukumu ambayo mwanamke yeye kama yeye anapaswa kujitimizia sasa ikitokea ukahamishiwa hayo majukumu kuwa yako ukayatimiza haina maana umerogwa !!! Kwa wenzetu si kwamba hakuna hivyo vitu , vipo. Ila mfumo wao ndiyo unawapelekea kuwa hivyo kusaidiana kwenye mahusiano.

Lakini pia mademu wa mizinga it really depends na hali ya maisha, pia familia walizotoka maana ubinafsi ni mtu mwenyewe jinsi alivyo hata sisi kuna wanaume pia omba omba kwa mademu.
 
Kuhudumia mke na familia ni jukumu la mume, there's no running away from that. Ukiona mtu analalamika kutoa huduma kwa mke ujuwe uchumi wake bado sio mzuri na inabidi mke nae atoke atafute ili mambo yaende..na hapa tupo wanaume wengi tu, 80% tunataka wake zetu watoke kutafuta ili mambo yaende.

Kuhudumia mchumba, girlfriend ni maamuzi ya mtu, usilalamike kama uliamua mwenyewe kuhudumia girlfriend wako.

Tatizo kweli kuna wadada wanaomba...yaani kweli sio sawa, umemfaham leo, kesho sim imepasuka kioo.
The issue is kwanini haudumiwe? yeye ni mtoto mdogo? ni kichaa? au ana changamoto za maumbile. Hakuna huo wajibu.

Wanaume tumeambiwa tutakula kwa jasho, wao hawajaambiwa watakula kwa jasho la mwanaume.

Tunafuga makupe, watu wavivu. Mifumo ya kibepari haitaki.

Ni nyege zetu tu ndiyo zinatufikisha huko, na udhaifu wa babu zetu. ila kuna jamii nyingine wanatumikishwa mashambani wanazalisha hawakai kipuuzi kama hawa wa mjini.

Kwani yeye ana bargain power gani, ni hiyo K ndiyo inayokusukuma kuhangaika hivyo?

Waje mezani watuambie kwanini sisi tuwahudumie.

Wanaomba sana mpaka wanauzi
 
Umendika muda ambao wamelala! sasa wakiamka mweeeee
Mila na desturi, silka ya tangu enzi. Si omba omba, ni kusaidiana. Wana ume tuna muda mwingi wa kutafuta, nao wana muda kwa majukumu ya asili.

Wakiyaacha na kufanya kama unavyo taka, leo dunia isingekuwa kama ilivyo. Fikiria wanawake waamue wote, kuzaa basi, kunyonyesa basi, itakuaje? Waombe radhi tafadhali.
 
Udangaji by itself haukubaliki na siyo maadili mema, uzaifu wa wanaume siyo justification ya kuwepo udangaji. Ni mind set iliyojengwa na mfumo wa maisha unaopendwa na wanawake wavivu na wasio jitambua
Mwanamme kumhitaji mwanamke si udhaifu, ni asili.
 
Haya yote ni matokeo ya familia zisizokuwa stable kwa kipato. Unakuta baba hana hela na hasapoti familia mama hana uwezo na anachangamoto za kimaisha matokeo yake sasa wanaoathirika ni watoto sababu ya kukosa matunzo.

Sasa baba anaona kabisa ana mabinti katika uzao wake. Anatakiwa mapema aanza kuchapa kazi na kutafuta pesa kwa nguvu sababu hawa mabinti wakishavunja ungo then mahitaji yao ya kimwili huanza kuongezeka

Mtoto anataka pedi, anataka mafuta mazuri, anataka kutengeneza nywele, anatakuwa kula vizuri ili aendelee kunawili. Baba upo upo tu umejua kuwaleta ila sio kuwatunza.

Na hata kama baba hayupo, ni jukumu la wajomba, mashangazi, baba wakubwa na baba wadogo kutoa mahitaji ya hawa mabinti ili wasiende huko nje kudanga wakitafuta mahitaji.

Hii kitu mimi nimeiona sasa. Unakuta unatoka na kabinti, kanakuwa na shida mfululizo hadi unajiuliza haka katoto hakana akili sawa sawa au ni kachawi. Yaani shida za ajabu ajabu kumbe yote hii ni kukosa sapoti.

Sasa shida sio sasa, bali shida ni huko mbeleni uzuri ukishafifia hawa mabinti huwa wanakuwa katika hali ngumu sana kiuchumi na kifamilia. Maana wanakuwa pia wanawatoto na hawana means ya kipato isipokuwa kudanga. Sasa miili ikichoka nini kinafuata.

So ushauri wangu kama mwanajamii, hili swala tuanze kurejea misingi ya familia maana watoto wa kike nje ya familia hawana kinga yoyote hata wakiwa na kipato bado wanakuwa nachangamoto mbali mbali.

Kuwalinda jamii ianze kusimamia upya misingi ya kuwa na familia imara na bora zilizosimama na kuweza kuwalinda watoto wetu wa kike.

Ila tukiendelea hivi hali itakuwa mbaya sana miaka si mingi. Maana watoto wa kike wanazaa hovyo, wanatoa ujauzito hovyo, wana tangatanga na Kila mwanaume anaewapatia chochote kitu, magonjwa ya zinaa yaani fujo tupu.
We ndo umeongea ukweli
Sitaki hata kuongeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamme kumhitaji mwanamke si udhaifu, ni asili.
Soma vizuri comment alafu ndiyo ujibu.

Hakuna mahali nimeandika kumtaka mwanamke ni udhaifu, udhaifu upo kwenye namna unavyofikisha ujumbe wako wa kumtaka, pengine utatumia pesa au vitu vya thamani au utaongea vizuri. Udhaifu huo sasa usitumike kama justification ya kuhalalisha udangaji.
 
Itakapokomeshwa zinaa haya yote yatakoma...
Hapo ndo mzizi wa hilo tatizo ulipo, unaobwa pesa na mwanamke baada ya wewe kumtongoza alafu unalalamika?

Mwanaume ni mtawala hivyo ukitaka kutawala vizuri uwe na uchumi mzuri yaani jasho lako liwe kubwa alafu tafuta mwanamke wa sifa zako unazopenda muhudumie kwa ufahari kabisa na tabia utakuwa huru kumuonya tabia mbaya usizopenda na hapo atakuwa ni mkeo Sasa mwaume analalamika kuobwaobwa pesa na wanawake anaowatongoza kwani nani amekwambia utongoze hovyo hovyo?

Wakati uliambiwa utafute wa kufanana na wewe na ukimpata utajisikia fahari kumuhudumia.
 
Back
Top Bottom