Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Usikariri maisha, penda kujifunza.Kwa
Vile mko wavivu sana! Mnakwepa responsibilities!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikariri maisha, penda kujifunza.Kwa
Vile mko wavivu sana! Mnakwepa responsibilities!
Kwa hiyo ulitegemea utoboe kupitia kwa dingi wako?Ukweli mchungu, vijana tunapitia wakati mgumu sana!
Wapi nimeandika hivyo au unajitungia mashairi?Kwa hiyo ulitegemea utoboe kupitia kwa dingi wako?
ACha kupenda slope!Wapi nimeandika hivyo au unajitungia mashairi?
Na wewe Jenga wanao waje warithi, acha kulalamikia!Ukweli ndio huu.pia kuna muhubiri mmoja alisema ukweli ni kwamba inatakiwa mzazi uweke akiba kwa ajili ya watoto wako. Maana biblia inasema mtoto anarithi nyumba na mali kutoka kwa baba yake...how come mtoto ndio anaanza kumjengea mzazi nyumba? Means kuna mahali mzazi hakutimiza wajibu wake.
Pumbavu kabisa wewe kichwa kikubwa akili huna,mzazi wako anawezaje kuwa mzigo kwako?usipo muhudumia mama alie kunya na baba alie kukojoa utamuhudumia nani?mama mkwe sio[emoji24][emoji24][emoji24]Ndiyo wakuu, hii ni nyingine tena kutoka kwa Mwizukulu mgikuru ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa vijana wengi tunapitia joto ya jiwe, moja ya mambo yanayotufanya dunia tuione chungu ni hili la wazee wetu, unakuta kijana anahangaika kujijenga lakini bado pia ajenge na kule alipotoka.
Kama haitoshi yeye mwenyewe ajitengenezee vitega uchumi vitakavyo mpa chochote kitu kama nyongeza zaidi ya mapato yake lakini pia wapo wazee wanaoomba nao pia wajengewe miradi au biashara ili wasikae bure, huu wote ni msalaba wa kijana wa sasa na hii inadhihirisha kuwa wazee au wazazi asilimia kubwa walishindwa kujitafuta na kujipata leo wamekuwa mizigo kwa vijana wao.
Wamekulea mpaka umekua umewekeza nini katika mali?kitendo cha kukuzaa na kukulea mpaka sasa hata shukurani huna bora ya nguruwe kuliko weweWalifeli kabisa kujitafuta na kujipata..
Kama raisi kupata mali wewe umri huo ulio nao unanini cha ajabu kwenye mali tofaoti na cm?Wengi wao ukimbana kwa maswali, huwa wanakuwa wakali kwelikweli.
Kweli kabisa nadhani huyu kijana ni mshenzi tu kuwakosea adabu wazazi ni laana kaisha laniwa tayaliKumbuka na wewe utazeeka. Wewe endelea kusimanga wazee na kuwaita mizigo, kwenye kutafuta kuna kupata na kukosa huwezi jua walipitia changamoto zipi katika utafutaji wao.
Vilabu vya pombe na mijanajike ya vilabuni wangemwachia nani?Ndiyo wakuu, hii ni nyingine tena kutoka kwa Mwizukulu mgikuru ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa vijana wengi tunapitia joto ya jiwe, moja ya mambo yanayotufanya dunia tuione chungu ni hili la wazee wetu, unakuta kijana anahangaika kujijenga lakini bado pia ajenge na kule alipotoka.
Kama haitoshi yeye mwenyewe ajitengenezee vitega uchumi vitakavyo mpa chochote kitu kama nyongeza zaidi ya mapato yake lakini pia wapo wazee wanaoomba nao pia wajengewe miradi au biashara ili wasikae bure, huu wote ni msalaba wa kijana wa sasa na hii inadhihirisha kuwa wazee au wazazi asilimia kubwa walishindwa kujitafuta na kujipata leo wamekuwa mizigo kwa vijana wao.
Kweli kabisa maneno yako,tatizo la baadhi ya vijana waleo wanataka au wanatamani wazizi wao wangekuwa kama Kishimba jambo ambalo aliwezekani matokeo yake wanaeakosea adabu wazazi waoBinafsi sioni Kama hao wazee Ni kikwazo kiasi hicho,
Wazee wengi wa zamani walikuwa waadilifu makazini.Wazee wengi licha ya kuzembea ujanani bado wanacheza bao badala ya kufuga hata njiwa.
UongoWazee wengi wa zamani walikuwa waadilifu makazini.
Kizazi cha sasa 80% sio waadilifu na wapigaji,,
Tusiwalaumu wazee wetu kwa kushindwa kufika malengo.
Kila mtu ana ndoto zake ktk maisha,,,kufanikiwa wewe sio ufikirie walioshindwa ni wazembe au wajinga.
Acha Kulalamika Saidia Wazazi Wako Upate BarakaNdiyo wakuu, hii ni nyingine tena kutoka kwa Mwizukulu mgikuru ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa vijana wengi tunapitia joto ya jiwe, moja ya mambo yanayotufanya dunia tuione chungu ni hili la wazee wetu, unakuta kijana anahangaika kujijenga lakini bado pia ajenge na kule alipotoka.
Kama haitoshi yeye mwenyewe ajitengenezee vitega uchumi vitakavyo mpa chochote kitu kama nyongeza zaidi ya mapato yake lakini pia wapo wazee wanaoomba nao pia wajengewe miradi au biashara ili wasikae bure, huu wote ni msalaba wa kijana wa sasa na hii inadhihirisha kuwa wazee au wazazi asilimia kubwa walishindwa kujitafuta na kujipata leo wamekuwa mizigo kwa vijana wao.
Wazee wa zamani ameaniriwa serikalini au shirika binafsi lakini anajenga nyumba miaka 10 na bado haijaisha.Uongo
Uko Sahihi,Kweli Kuna Wazee walipambana lkn hawakufanikiwa hao wapo,lkn kuna Wale ambao walichezea muda wao Yaani hawakufanya chochote Kazi kushindana kumiliki mademu,kushindana Kunywa bia Nyingi,kujua wanamuziki mbalimbali nyakati zao,kucheza kamali,nk.Kiufupi hawakujua kuwa Kila Jambo lina Wakati wake,na Wakati ni ukuta.Waulize uone,baadhi yao huwa wanakili kuwa walichezea fursa.Kumbuka na wewe utazeeka. Wewe endelea kusimanga wazee na kuwaita mizigo, kwenye kutafuta kuna kupata na kukosa huwezi jua walipitia changamoto zipi katika utafutaji wao.
Upo sahihi,Mfano Watumishi hawakuwa na mikopo ya benki enzi hizo.Ila tukubali Kuna Wazee waliwahi kupata fursa nzuri tu lkn walizichezea.Wazee hawakuwa na competition.
Ujamaa uliwapumbaza.
Sera ya nyerere iliwatia uoga wa uhujumu uchumi. Hakukuwa na globalization.
Miundo mbinu ilikuwa mibovu hata ukilima huna pa kupeleka, vijiji vilijifungia havikuwa connected kama sasa.
Elimu haikuwa open kama sasa. Sasa ukishindwa maisha huna cha kujitetea.
Wazee wetu walipitia changamoto nyingi sana japo mazingira yalichangia zaidi kufeli kwao.
Vijana wa sasa mna ilaumu sana CCM na serikali na wazee ila wamejitahidi kuwawekea mazingira mazuri kuliko zamani.
Kijana wa mwaka 80 alikuwa anachangamoto nyingi kuliko kijana wa sasa.