80% ya wazee wetu walishindwa kujitafuta na kujipata

80% ya wazee wetu walishindwa kujitafuta na kujipata

Ndiyo wakuu, hii ni nyingine tena kutoka kwa Mwizukulu mgikuru ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa vijana wengi tunapitia joto ya jiwe, moja ya mambo yanayotufanya dunia tuione chungu ni hili la wazee wetu, unakuta kijana anahangaika kujijenga lakini bado pia ajenge na kule alipotoka.

Kama haitoshi yeye mwenyewe ajitengenezee vitega uchumi vitakavyo mpa chochote kitu kama nyongeza zaidi ya mapato yake lakini pia wapo wazee wanaoomba nao pia wajengewe miradi au biashara ili wasikae bure, huu wote ni msalaba wa kijana wa sasa na hii inadhihirisha kuwa wazee au wazazi asilimia kubwa walishindwa kujitafuta na kujipata leo wamekuwa mizigo kwa vijana wao.
Poleni sana mzee wangu alikuwa anajielewa
 
unaweza kuwalaumu wazee wetu kwa namna moja, ukawatetea kwa namna nyingine. MFUMO wa maisha enzi za ujana wao nao lilikua tatizo jingine. Anyway! wazazi wa ki_Africa usipowasaidia unaambulia laana tu, huo ndio urithi watakaokuachia.
 
Ndiyo wakuu, hii ni nyingine tena kutoka kwa Mwizukulu mgikuru ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa vijana wengi tunapitia joto ya jiwe, moja ya mambo yanayotufanya dunia tuione chungu ni hili la wazee wetu, unakuta kijana anahangaika kujijenga lakini bado pia ajenge na kule alipotoka.

Kama haitoshi yeye mwenyewe ajitengenezee vitega uchumi vitakavyo mpa chochote kitu kama nyongeza zaidi ya mapato yake lakini pia wapo wazee wanaoomba nao pia wajengewe miradi au biashara ili wasikae bure, huu wote ni msalaba wa kijana wa sasa na hii inadhihirisha kuwa wazee au wazazi asilimia kubwa walishindwa kujitafuta na kujipata leo wamekuwa mizigo kwa vijana wao.
Kama hivi unavyoona tunakula bata sana, pombe kwa wingi, mademu kwa sana, kuhonga mpaka tunajidai mitandaoni mwisho wa siku tutazeeka.

Lakini hatutakubali kwamba haya ndio yaliyodumaza Ustawi wetu.tutapenda tuonekane ni wazee wa Busara mbelr ya jamii na sio mbali ni 2050 tu hapo.
 
Ndiyo wakuu, hii ni nyingine tena kutoka kwa Mwizukulu mgikuru ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa vijana wengi tunapitia joto ya jiwe, moja ya mambo yanayotufanya dunia tuione chungu ni hili la wazee wetu, unakuta kijana anahangaika kujijenga lakini bado pia ajenge na kule alipotoka.

Kama haitoshi yeye mwenyewe ajitengenezee vitega uchumi vitakavyo mpa chochote kitu kama nyongeza zaidi ya mapato yake lakini pia wapo wazee wanaoomba nao pia wajengewe miradi au biashara ili wasikae bure, huu wote ni msalaba wa kijana wa sasa na hii inadhihirisha kuwa wazee au wazazi asilimia kubwa walishindwa kujitafuta na kujipata leo wamekuwa mizigo kwa vijana wao.
daaaah hii inaumiza sana
 
Back
Top Bottom