83% ya wanawake mnaonyoa na wanawake mnaovaa majuba mnanivutia

Mkuu umijipangaje? Ngoja waje wenye nguo zao za kisasa!
 
Hawawashindi wale wanaowahi kukukaa kwenye mabenchi ya mbele kwenye nyumba zao za ibada,huku wakiwa wamevaa vijiguo vifupi wakiwaburudisha viongozi wao wa ibada
Mmmmmmmm

Jaman taaratb

Mwenyew apa ni Christian,
Nawapenda wote [emoji7]
 
Wanawake wote wasafi. Suala linakuja kale kavazi binafsi kananivutia.

Japo wengne washakua mitumbaaa, afu wanavaa jijab hatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…