Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na weng wa hvyo ata kumkichwa ni some 000.000578Wakijiangalia kwenye vioo na miwigi sijui mi nini hiyo ya kushonea kichwani, wanaona wamependeza. Mwanamke anayeweka vitu artificial katika mwili wake binafsi simuoni kama anavutia. Sijui wanaoona wanavutia, ni kweli au wanawadanganya!!?? Sijui wanaficha nini??
I'll lean on this... mwanamke akinyoa anapendeza hatari... au akifuga nywele basi azibane nyuma ila ziwe dried.Kumbe tupo wengi. Mwanamke anayenyoa hunimaliza kabisa. I really like it. Hata mbaya anakuwa beautiful.
Sijui nani anawaaminisha kusuka vitu vya ajabu kuwa vinavutia
Hyo sentensi ya mwisho mmmh nkahisi umeniona pahala duuuhI'll lean on this... mwanamke akinyoa anapendeza hatari... au akifuga nywele basi azibane nyuma ila ziwe dried.
Ndiyo zako hizo? You must be beaut.. mnapendezaga saana.Hyo sentensi ya mwisho mmmh nkahisi umeniona pahala duuuh
Wala sisemi kitu! Ukibahatika kuja kuhesabiwa ha ha haha ntakuona kisiri maana humu wapo wanakuita sukari ya warembo wasije nipiga buree! [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ndiyo zako hizo? You must be beaut.. mnapendezaga saana.
Sasa wengine utakuta kasuka msuko rasta zimepandishwa juu zikarudi nyuma... ni complications tu ila kwenye Rasta walai huwa hampendezi[sitaki useme ni machoni mwangu tu].
Kweli mkuu watumiamo hata tupicha tuwili tutatu kusapotiJAMAN MWWNYE PICHA AMTAG
Hahahahaaaa una mambo ww.!Kwahio na mie navutia
Utaweza uzushi wa watu wa JF.... humu unaweza kuitwa sukari na mwanaume mwenzako. Ignore them.Wala sisemi kitu! Ukibahatika kuja kuhesabiwa ha ha haha ntakuona kisiri maana humu wapo wanakuita sukari ya warembo wasije nipiga buree! [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]