Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,514
UNAOGOPA KUOMBWA PESA YA KUSUKA..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini 83% na si 84% ?Wakuu hamjambo.
Nimeona niweke wazi.
Ladies wengi waliovaa majuba wananisisimua.
Pia wanawake wanaonyoa huwa nawapenda mionekano yao.
Kuna mmoja nilsoma nae Mkuuukute mtoto wa kimasai kanyoa afu ana takoo...af kavaa skean jeans...na mahereni makubwaa...oooh....they are hotter than the tropic
Wakijiangalia kwenye vioo na miwigi sijui mi nini hiyo ya kushonea kichwani, wanaona wamependeza. Mwanamke anayeweka vitu artificial katika mwili wake binafsi simuoni kama anavutia. Sijui wanaoona wanavutia, ni kweli au wanawadanganya!!?? Sijui wanaficha nini??Mi sielewi ni kwa wanawake wakishonea au kuvaa minywele fake hujiona wamependeza sana....mbona mkinyoa mnapendeza sana na mnaonekana hot zaidi.
Plz hebu badilisheni hair style kidogo mtupumzishe na mawigi sometime yanatema kichizi mixer kwenye mwendo kasi tafrani kwa harufu za uvundo
Yani kama wanaume tunawapenda hiv wanakimbilia mawigz wtfMi sielewi ni kwa wanawake wakishonea au kuvaa minywele fake hujiona wamependeza sana....mbona mkinyoa mnapendeza sana na mnaonekana hot zaidi.
Plz hebu badilisheni hair style kidogo mtupumzishe na mawigi sometime yanatema kichizi mixer kwenye mwendo kasi tafrani kwa harufu za uvundo
Kaka,,, unishindi ase, yan ukute kablack byut af simple af kanyoaKumbe tupo wengi. Mwanamke anayenyoa hunimaliza kabisa. I really like it. Hata mbaya anakuwa beautiful.
Sijui nani anawaaminisha kusuka vitu vya ajabu kuwa vinavutia