85% ya Wauza iPhone hawawezi kukwambia siri hii

Hatupqngiani matumizi ya pesa.
Lakini nakumbuka mhe dr msukumq aliwahi kusema 'VIJANA WA SASA HUSUSANI WASOMI HAWAENDELEI KWASABABU KILA KITU KIPYA WANATAKA WAWE NACHO'

mwisho wa kunukuu
 
Mil 4 sio parefu , halafu kama una pesa tumia achana na wale washamba wanavaa na kuishi hovyo ili kujibana yaani unatunzia pesa watoto kwani ulilazimihswa kuzaa watoto?

Kama unayo pesa nunua kwani hizo kampuni unataka wasiuze na ndio biashara zao...Vizuri kujipenda munua kitu kizuri ,vaa vizuri ndio maisha kujipenda.
 
Kwani toka lini simu ya mkononi ikawa investment?
Wabongo tumezoea umaskini mpka tunaona kununua vitu vizuri ni kufuja pesa!
Watu wana vipato vya maana tu,hizo dola 1200 sio issue kwao!Hatufanani ndo dunia ilivyo,hata ww kuna mtu anakushangaa na simu yako ya 500k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ