85% ya Wauza iPhone hawawezi kukwambia siri hii



Kama huna hela, jaribu kutumia kwa akili, hivi kuna sabahu gani ya kuwa na gari zaidi ya moja? Wakati uendeshi yote wakati mmoja?

Waache watu na hela zao na prestige zao.
 
Kiukweli ni vile tu umaskini wetu/pesa ina majukumu mengi. Lakini hakuna mutu asiyependa kutumia vitu vizuri vya thamani.
Yani niwe na pesa isiyo ya mawazo halafu niishi kishida shida as if hiyo pesa nitafufuka niikute!!
 
Naomba uniuzie papuchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…