Susuviri,
Nakuelewa sana kuwa umejaribu kutafuta ukweli kuhusu Sullivan na kuwakilisha hoja zako, nanyi pia muwe radhi kupokea hoja zetu kwani ukweli wenu hauwezi kabisa kuwa ndio final... nachojaribu kusema mimi kila mara hujribu kutoa pendekezo ama solution badala ya kulaumu tuu kama jamaa wengi wanavyofanya. Sullivan sio AY wala AY sio Sullivan kwani kuamini hivyo ni sawa na kuamini kwamba Nyerere foundation itahukumiwa kwa kumtazama Salim A Salim.
Pili, hayo maelezo yanayohusiana na AY huko Wal mart mbona nachokiona mimi ni kuwa AY ametetea watu weusi na kawakandya Walmart ama kiingereza changu hakikwenda shule?...
He said:- Well, I think they should; they ran the 'mom and pop' stores out of my neighborhood, ... But you see, those are the people who have been overcharging us selling us stale bread and bad meat and wilted vegetables. And they sold out and moved to Florida. I think they've ripped off our communities enough. First it was Jews, then it was Koreans, and now it's Arabs; very few black people own these stores"
Hapa kawatetea vipi Walmart against blacks?
Labda unamsikia tu huyu mzee jinsi anavyochukia Ubepari na utumwa wa mawazo toka enzi za Dr. Martin Luther King. He was the bridge connection between blacks na white in US wakati wake na naweza kusema ndiye mweusi pekee aliyeweza shika nafasi kubwa wakati mbaya wa siasa za rangi nchini humo na matatizo ya Uhuru nchi za kiafrika yalikuwa ktk kilele chake.
Kisha swala la kusema AY ni Black American una maana gani kwani lini amekuwa mwafrika?....jamani tunachozungumza hapa ni uhusiano kati yao na sisi.. Hata angekuwa mwafrika bado ungesema ni Mganda ama Mrwanda kama tunavyowakataa wengine. Kisha usijaribu kabisa kumweka chini AY ktk uongozi wake kwani kayafanya mengi against his own country kwa sababu ya Uhuru wa nchi za kiafriKa na hasa South Africa na Rhodesia. Ni Andrew Young aliyeweza kuboresha mahusiano kati ya Marekani na nchi za kiafrica na yawezekana kuwa kiongozi pekee mweusi aliyewahi kuheshimiwa zaidi barani Africa kuliko hata Rev. Sullivan mwenyewe.Hii ni ndoto ya Sullivan na wengi tunaikubali isipokuwa baadhi ya watu ambao wanafahamu ujio wa mawazo ya huyu mtukufu Rev. Mungu amlaze mahala pema peponi - ni mwisho wa mzungu kutawala uchumi wa Africa.
Nadhani hapa nimejibu also hoja yako kuhusu Role of Andy Young in Barrick incident. Hii issue ya wabongo kuzikwa was DIRECTLY responsible katika kunyamazisha hii issue. And this was not said by me, Jasusi or anyone but US COngresswoman!BAR asked several Atlanta activists their opinion of Young's road from movement streets to the corporate suites.
"It's always sad, when you see somebody people look to as a leader crossing the line like that," observed Rev. Calvin Pollard of Emory University's Candler School of Theology. "This is a man who walked and worked with Dr. King. We should be able to expect better."
"Shameful," spat the Rev. Austin Ford, a retired Atlanta minister who had been active in SNCC more than 45 years ago.
"When you look at it, it's really not all that surprising," offered Dr. Keith Jennings. "This is the same Andrew Young that went straight from the King memorial celebration in Washington, DC to a Republican fundraiser across town where corporate fat cats showered Bush with campaign cash to do what he does for them. Those are the circles he moves in now, and that's who the brother is."
"Andy Young's been on that road a long time now," agreed Akinyele Umoja, a professor of African American studies at Georgia State University. "His deal with Wal-Mart was a shock to folks who hadn't been paying attention to what the man was doing."
One Atlanta native who has been paying close attention is Cynthia McKinney, the soon to be former congresswoman from Georgia:
"This is not the first time that Andy Young has associated with people of dubious repute.... During the time when I came under severe attack for my September 11 comments, I was investigating allegations that Barrick Gold and its mining operations in Africa had buried alive 60 African petty gold miners. I had been given a photograph, and I had eyewitness testimony that this had taken place. Unfortunately, Barrick Gold had some of the most notorious people associated with it, and Andy Young was part of that cabal. So, the financial arrangement that one enters into...one has to be careful where you get your paycheck from. And certainly, if you're going to sit on the boards of companies like that, you ought to serve as a conscience, not just as an employee receiving a paycheck."
Jasusi,
..... Sullivan foundation haikuanza jana JK aliposhika madaraka wala AY hakupewa wenyekiti kwa sababu JK ni mshikaji wake na sasa hivi ni rais. Hivi ikiwa kuna maandalizi ya mkutano June 2008 Tanzania ulifikiria ni njia ipi iliyotakiwa kutumiwa ktk kuweka mahusiano yetu karibu na Sullivan foundation. Kisha basi mkutano huu unategemewa kuingiza watalii wawekeshaji kwa mara ya kwanza badala ya hizo safari za JK nje ambazo kila siku zinatu cost sisi. Safari hii hao wageni wanakuja nchini na kuna kila nafasi ya wafanyabiashara Arusha kuuza mali zao hivyo kuongeza mfuko wa kodi yetu. Uliza wakazi wa hapo kuhusu biashara zao kila mikutano ya OAU unapofanyika tofauti na sisi tunapokwenda nje kuhudhuria mikutano.
Jasusi, AY ni mwenyekiti wa Sullivan siye mpangaji wa agenda za mkutano na mwakilishi wa makapuni ambayo sisi tunaweza kufanya nayo biashara.. Uchaguzi ni wetu sisi na ktk maswala gani tutaweza shirikiana.
habari za kusema JK amekuwa groomed na Nyerere ni za uongo? na wapi panaposema kuwa kiongozi hawezi kushirikiana na foundation ambayo mwenekiti wake ni rafiki yako. Kwa maana Sullivan foundation ni entity ambayo inaweza kumwondoa AY ktk kiti hicho na bado ikaendelea na kazi. Sielewi kinachozungumziwa hapa kwani ingelikuwa swala la upatikanaji wa hotel hiyo ya Mount Meru kumetokana na urafiki wake na JK tungekuwa na sababu ya kuzungumza lakini je ya hapo Sullivan foundation sio chama kama cha Bill gates foundation
AY and Jeter are both GWI! Surprise, surprise!Leadership
Howard F. Jeter
Howard F. Jeter, a former State Department Career Minister, is the new President and CEO of the Leon H. Sullivan Foundation. For the past two years, he has served as Executive Vice President for GoodWorks International.
Ambassador Jeter brings rich experience and background from working for nearly three decades in Africa. His last diplomatic posting was as U.S. Ambassador to Nigeria where he supported the countrys transition to democratic rule. He served as Deputy Chief of Mission in Namibia and Lesotho respectively. Ambassador Jeter has served as Deputy Assistant Secretary for African Affairs, Director of West African Affairs, and Special Presidential Envoy for Liberia, where he focused on promoting peace and reconciliation in both Liberia and Sierra Leone. Ambassador Jeter served with distinction as U.S. Ambassador to Botswana, and has also held various political, economic, commercial and consular positions in U.S. embassies in Mozambique and Tanzania and Temporary Liaison Office in Windhoek, Namibia.
Ambassador Jeter holds a Bachelors degree in Political Science from Morehouse College, a Masters in International Relations and Comparative Politics from Columbia University and a Masters degree in African Area Studies from UCLA. His languages include Portuguese, Swahili and French.
Andrew Young
The Honorable Andrew Young is Chairman of the Board of the Leon H. Sullivan Foundation and Co-Founding Partner of GoodWorks International, a consulting firm dedicated to promoting sustainable development in Africa and the Caribbean. He has had a distinguished career as a civil rights leader, an American statesman, humanitarian and businessman. During the Civil Rights Movement, Andrew Young, together with Martin Luther King, led the Southern Christian Leadership Conference (SCLC). He later served as a Member of the US House of Representatives, US Ambassador to the United Nations and Mayor of Atlanta. He led the 1996 Atlanta Committee for the Centennial Olympic Games, and was appointed by President Clinton as the Chairman of the Southern Africa Enterprise Development Fund. Andrew Young continues to share his wide-ranging experiences and expertise accumulated in the public and private sectors by participating in events and discussions that stimulate ground-breaking thinking on economic development, human rights and education in the US and around the world.
Executive committe ni AY mwenyewe na mke wake mshikaji wake Carlton Masters - Hope Masters! And then Bill CLinton! Bill ni mshikaji wake AY alimpa uongozi wa Southern African Entrprise Developemnt Fund! Na mkewe Hilary alipewa tuzo na SUllivan foundation ili kumwongezea maksi kwa weusi! Wengine bado nawafanyia uchunguzi! But this is a club called friends of AY!Ambassador Andrew Young
Chairman of the Board
Mr. Peter J. Robertson
Vice Chairman of the Board
Mrs. Hope Masters
Special Advisor
Dr. Andrew Brimmer
Treasurer
Board Members
Dr. Bernard E. Anderson Mr. Roderick Gillum
Ms. Connie Wilson Collins Hon. Alexis Herman
Hon. William J. Clinton Hon. Rodney E. Slater
Dr. William Crist Mr. Mark Whitaker
Susuviri,
Ni kweli kuwa waliomlaumu sio weupe peke yake wapo weusi wengi tu ambao kwa lugha kama yako walikuwa ktk payroll ya mtu mweupe. hadi leo wapo weusi wanaompaka mavi Dr. Martin Luther King au Malcom X inategemea na info unazozipata ama kile unachoamini.
Binafsi CV ya Andrew Young and what he did to Africa wakati ule unatosha kabisa. Hayo ya Nigeria sijawahi kuyasikia na sina data zinazomhusisha moja kwa moja. Kisha kumbuka pia labda mimi na wewe tunatofautiana ktk mtazamo wa swala hili kisiasa. AY imefikia wakati kakubali kuwa dunia ya leo (Utandawazi na soko huria) huwezi kuepuka big corporates hata kidogo isipokuwa njia bora ni kujenga chombo chako ambacho kitaweza kuwasiliana na hawa wakubwa ili kuweza kufikia mahala penye nafuu kwa wote. Chombo kitakachoweza kukulinda kukuongoza na pengine kufikiria kama wao ktk kujihami kwako. Hii ndiyo ndoto ya Sullivan kwa Africa na ndio maana hata Uhuru wa South Africa umekuwa wa mseto kati ya wazungu na weusi tofauti kabisa na mategemeo ya wengi. Anachofanya AY hakina tofauti kabisa na malengo ya Sullivan foundation toka mwanzo....
Susuviri, leo hii mimi nafanya kazi na wayahudi tena kwa ukaribu zaidi tofauti na imani niliyokuwa nayo zamani. Sometimes a way out of no way is equal to -If you can beat them join them ili kupata akili za kujijengea ngome ili upate kujilinda pindi utakapo jua silaha ya adui yake.
sasa AY kama amefungua consulting company yake ambayo ni sawa kabisa na law firm eti unaweza kumkataa mteja kwa sababu aliua kweli?...
brother business is business na kuna wakati a good lawyer ni yule anayeweza shinda kesi yenye utta mkubwa kama vile Shapiro na kesi ya OJ Simpson.
Kumlaumu Young ktk maswala ya Bulyanhulu ni upuuzi mtupu kwani ndiye aliyeshinikiza kuja kwa wachunguzi ambao serikali yetu yenyewe ilikubali kuficha ukweli na kisha basi barricks kabla hawajaingia Tanzania tayari Sutton walikwisha ua wale watu. Tatizo kubwa hapa ni kuwa wanasheria walitaka Barricks walipe hasara na majanga yaliyoanchwa na Sutton kitu ambacho hata mimi kama mshauri ningekataa. Zaidi ya hapo serikali yetu ilikataa katu kutokea kwa maswala hayo kwa hiyo mlitaka AY afanye kitu gani?
Seriously hii thread imenisababishia matatatizo ghafla!!.. sasa ninatetemeka na najisikia moyo unakwenda mbio kuliko kawaida!!najisikia mbofumbofu.Inabidi nifanye namna nionane na daktari mapema. Very unfortunate.
Why didn't he deal with Mkapa? was it because Mkapa focus was with EU and AU and not US only?
Kikwete ni Kibaraka wa mabepari. Ni mdhaifu sana wa kufikiri na anafanya mambo kiswahili swahili tu, bila kuwa na fikira sahihi (kwa kukusudia au bila kukusudia)!
Check out what Economist have said about Kikwete 9similar to what we say in here at JF) and compare to what Sinclair, AY and Tudor say about him!
.....
He has a right to run his business as he pleases (AY), however when he showers our incompetent president with all the ecolades, then his intentions as business man sound corrupt!
Same goes with Sinclair, Tudor and others who are always praising incompetent third world leader for the benefit of their companies and nations![/
Safi sana sasa naona tuko pamoja isipokuwa tunatofautiana tu jinsi ya kulitazama swala hili. All I stand for is can we work with them for the benefit of Tanzania?.. YES...then how? ndipo hapo inaingia Sullivan foundation ambayo wengi mnaipinga kwa sababu mnafikiria hapa tutakuwa tuna surrender to these corporates using AY as a bridge not Sullivan foundation and its cause.Do we have to surrender to the whims and dictates of these multi corporations for us to advance? My answer is no. Can we work with them for the benefit of Tanzania? I say Yes. Are we doing it now? The answer is no. And that is why you and I are here debating