FMES,
Good question. Maana hivi sasa AY ana cheo kikubwa tu katika hiyo asasi. Na anajaribu kuiunganisha pamoja na kampuni yake ya GWI, which I think is wrong. Malengo ya Sullivan yalikuwa ni fair trade na kuhakikisha mashirika makubwa ya Kimarekani yanafuata sheria za Marekani hata katika nchi za nje kama iivyokuwa na Afrika kusini ambako kulikuwa hakuna vyama vya kutetea wafanyikazi wakati wa ubaguzi wa rangi. Hii ilisaidia sana kuwapa Waafrika fair treatment kwenye kampuni za Kimarekani na wakaanza kupandishwa vyeo na kupewa training. Baadaye kampuni za Makaburu nazo zikaona they have nothing to lose by giving fair treatment to the Africans. Ilisaidia kuleta mageuzi ndani ya Afrika kusini ambayo kwa vyovyote vile yangehitaji mtutu wa bunduki kuyafikia.
Good question. Maana hivi sasa AY ana cheo kikubwa tu katika hiyo asasi. Na anajaribu kuiunganisha pamoja na kampuni yake ya GWI, which I think is wrong. Malengo ya Sullivan yalikuwa ni fair trade na kuhakikisha mashirika makubwa ya Kimarekani yanafuata sheria za Marekani hata katika nchi za nje kama iivyokuwa na Afrika kusini ambako kulikuwa hakuna vyama vya kutetea wafanyikazi wakati wa ubaguzi wa rangi. Hii ilisaidia sana kuwapa Waafrika fair treatment kwenye kampuni za Kimarekani na wakaanza kupandishwa vyeo na kupewa training. Baadaye kampuni za Makaburu nazo zikaona they have nothing to lose by giving fair treatment to the Africans. Ilisaidia kuleta mageuzi ndani ya Afrika kusini ambayo kwa vyovyote vile yangehitaji mtutu wa bunduki kuyafikia.